LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,621
Unaruhusu ila sema sio gari hiyo. Ingekia Ist wala usingesikia milio hiyo😂Uchumi wako bado hauruhusu kumiliki gari.
Unaruhusu ila sema sio gari hiyo. Ingekia Ist wala usingesikia milio hiyo😂Uchumi wako bado hauruhusu kumiliki gari.
Ni sahihiPole sana mkuu, gari kama hiyo usitegemee matengenezo kama ya IST nk. Ukitaka kumiliki gari kuna mambo mengi ya msingi ya kujiuliza, usikurupuke!
Mambo yasiwe mengi kifupi wewe bado huna uwezo wa kumilia aina hiyo ya gari.1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Nilikua na pick up Ford bantam iliua alternator nikakimbia dukani nikajua bei kubwa watasema 1m daah nikakutana na 2.5m na sehemu zingine 3m nikaacha gari nilipoenda SA niliikuta kwa rand 3500 kwa kipindi kile ilikua sawa na Tsh 500,000 tu na baadhi ya seal nilinunua Tsh 50,000 tu sawa na rand 300 zote bei niliyokua naambiwa Arusha ni vitu laki kadhaa utacheka uende kwenye parts za land cruiser huko ndio bei kichaa zipo huko..Ndo maana bongo gari inachukuliwa kama anasa
Lak2. 5Angekua na rav 4 au Suzuki Escudo unadhan bei ya taa ingekua 1.5m?
😂😂😂😂😂Chief kukopa 30m ni kaz rahis sana kuliko kuitafuta hata laki 5 tu
😁😁😁😁😁😁😁Chief kukopa 30m ni kaz rahis sana kuliko kuitafuta hata laki 5 tu
1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Miaka 10? Soma tena ueleweUnakaaje na gari Miaka 10? Labda pickup au ya Biashara, lakini ya kutembelea ? Hapana
😄 🤣 kama tajiri aliempa mama yake mjengo mkubwa, ila mama alikuwa smart, akamwambia mwambia " Mwanangu nani ataihudumia na kulipia matengenezo?Pole Mkuu vifaa vya gari navyo vikiwa ghali ni msala. Hata kama gari ulipewa zawadi lazima uchechemee kama umekanya mav
Mambo hayo,Bado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M
😂😂😂😂😂😂Mambo hayo,
Mtu anaweka umeme analalamikia luku.
Gari kaibonda mwenyewe
Mkuu, jamaa kwenye uzi wake hajasema kuwa gari lina shida ila amesema linamfilisi kwa kuwa vipuri vyake na service ni vya gharama sana. Mfano hiyo service, ni kama amewatahadharisha wengine wataotaka kununua CX5, wajue wanachokiingiaSasa hapo kosa au shida ni gari au ni wewe mzee? Yaani userereke uingie kwenye korongo paah gari ivunje taa useme shida ni gari?🤔
Pole kwa changamoto mkuu. Wabongo hawasomi details labda mpake iwe ni mtihani😄😄Tofautisha UBOVU na KUFILISI. Sijazungumzia UBOVU Bali ughali wa vifaa vya CX 5 (Taa kubwa ya mbele 1.5m tofauti na gari nyingi za ukubwa zinazofanana)
Chombo chochote cha moto huwaga akuna ugumu wa kuinunua hata kama ni pikipiki. Linapokuja sual la service ndio watu huchanganyikiwa.Bado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M