ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 689
- 1,126
Shukrani Mkuu umenipa jibu kwenye Uzi wangu wa kuhitaji ushauri kuhusu Mazda CX-5.
Hapa umetupiga.Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Haiuziki iyoUza mkuu usije filisika
Atakutana na DPF, Oil Dilution, Overheating, Oil Pressure rise.. unapungua kilo 5 kwa mweziSiku ikishushwa engine si utajifia!
Kuna uzi nilishauri mtu anunue kirikuu au vitz wakaniona mshamba😂1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Kuna watu wanachonga Lenzi ya Taa.. bei nzuri.. instead of kununua mpya kachongeshe lenzi. (COVER)
Iyo kweli utasikia bado kidogo niingie mtaroniWabongo wakielezea ujinga na uzembe wao ndiyo wanajiona wajanja
Nasikia zinapiga stick kwelikweli, kuna jamaa yangu amefanikiwa kui-offload na ameagiza 2.5 liter Petrol powered engine nadhani hapa ata enjoy sanaAtakutana na DPF, Oil Dilution, Overheating, Oil Pressure rise.. unapungua kilo 5 kwa mwezi
huyu hana gari hyo castol oil 5w30 ni 170,000 + FILTERS 50,000 hyo laki saba ameitoa wapi , then taa za CX5 hata laki 3 haifiki hz gari tunazo ni mwaka wa 3 sasa na majanga tunapata lakini sio kwa hizo gharama anazozitajaMtoa mada ni muongo asiye na aibu.
Service ya laki 7 kwenye Mazda ni uongo kabisaa!!! Hiyo Castrol Oli unayotumia ni Aina gani? Kama kumwaga oil na kubadilisha filter haiwezi kufika laki 7 pia tofautisha Kati ya kufanya service na kufanya matengenezo