Kuna watu Wana ujinga mwingi sana. Yaani ulinunua gari lako kwenda nalo kijijini ni shida tena!kiongozi mbona kama unaanza kumwonea wivu uyu jamaa? hutaki wanakijiji nao wajue kama saivi jamaa nayeye anamiliki mnyama mwenyewe CX5
Ushauri mzuri huu. Watu wanapuuzia sana hili. Au ukute hata pesa ya Nina kubwa hana. Kuna jamaa juzi alikuwa ana vimba na F range ya 2023. Kuizoom ikagundulika hata bima Haina imexipre; tukabaki kumuonea huruma likitokea la kutoka ajaibonda sehemu.Mwana jamii mwenzetu ,Connections amepata changamoto ya gari yake Mazda, tumpe maneno ya faraja , pia kata b ima kubwa ( Complihensive) ili ikulinde kwenye majanga haya
Jipinde nunua taa mpya halafu tafuta bwege mmoja muamishie msiba1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Kwanini uipitishe kwenye mitope? Kulikuwa na ulazima kwenda nayo kijijini kipindi cha mvua? kama umamake kupata fedha za kununua cx5 ndiyo ushindwe kupata 1.5m ya taa?
Takataka1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Na ulofa, gari nzuri zina gharama kuzimudu. Tafuta escudo inayolingana na hali ya maisha yako.Bado hujaonyesha ubovu wa hiyo gari.
Zaidi umeonyesha uzembe wako.
Na rumion inaua gear box kinomaRumion taa 180k tu, popote unapata hata mbagala kizuiani.
New model?Tafuta Corolla au Premio new model
Hapa katupiga. CX5 Oil Filter na Oil laki 2 unamaliza kila kitu.Service gani ya oil na filter laki 7?toa ufafanuzi au service mpka uweke tairi mpya zote!!!!