Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Hata mimi nimeshangaaService gani ya oil na filter laki 7?toa ufafanuzi au service mpka uweke tairi mpya zote!!!!
Hata mimi nimeshangaaService gani ya oil na filter laki 7?toa ufafanuzi au service mpka uweke tairi mpya zote!!!!
Kweli taa ni TSH 900,000 ... TU nimeshanunua niliagiza Nairobi MTAA WA kinyarigaPole sana mkuu
Kumbe umeahiza Nairobi? Nikajua umenunua BongoSio
Kweli taa ni TSH 900,000 ... TU nimeshanunua niliagiza Nairobi MTAA WA kinyariga
avatar ya huyu jamaa inaonyesha maisha yake akiwa kijana mdogo! Hahahahaha!Ukitaka kuiuza uje pm chap
Tafuta pesa Gen Z, hata pilkipiki ununue uendeshe!Gari mav mav
. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Taa pia umepigwa parefu Sana1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.
2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.
3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Hivi hii gari ni mbovu au matunzo? Ile Atenza yako ilikuwaje?Atakutana na DPF, Oil Dilution, Overheating, Oil Pressure rise.. unapungua kilo 5 kwa mwezi
Matunzo na Matumizi mi naweza sema. Mfano ikijaga ishu ya DPF ni matumizi. Short trips nyingi inapelekea kuclog na ndio series ya matatizo mengine inakuja.Hivi hii gari ni mbovu au matunzo? Ile Atenza yako ilikuwaje?
Hizi haziwezi kufanyiwa DPF delete?Matunzo na Matumizi mi naweza sema. Mfano ikijaga ishu ya DPF ni matumizi. Short trips nyingi inapelekea kuclog na ndio series ya matatizo mengine inakuja.
Atenza iliuzwa baada ya kupunguza trips za highway. Nilikua kwa mwezi kama sijatoka naipeleka atleast Bagamoyo mara moja.
Fresh kabisa. Unafanya DPF na EGR removal. Ila kuna hasara kidogo sa sijui ni ufundi zinatoa sana moshi.Hizi haziwezi kufanyiwa DPF delete?
kaka vp kwema ?samahan ntapata mawasiliano yako inbox nlitak tuoge swala moja directry kuhusu gali... maana nmekutumia message inbox inakataa kakaFresh kabisa. Unafanya DPF na EGR removal. Ila kuna hasara kidogo sa sijui ni ufundi zinatoa sana moshi.
Rumion ukiua gear box labda uweke ATF badala ya CVT yake recommend unles rumion is the bestNa rumion inaua gear box kinoma