Mazda CX 5 inanifilisi!

Mazda CX 5 inanifilisi!

Ukuwa tayari kumiliki gari kama hizo.

"kiwa ungekuwa unatumia magari ya Ulaya kama Mercedes Benz au BMW, basi betri pekee inaweza kuwa si chini ya laki 7, hasa ikiwa ni brand ya Bosch.
 
1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.

2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.

3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.

Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.
Hapo wamekupiga vibaya Sana.. Service ya kawaida haifiki au haizidi laki 2
 
1. Wakuu niliagiza Mazda CX 5 ya 2015, 2,200cc (diesel) August 2024 baada ya mwezi na nusu ikawa imeshafika bongo.

2. Nikajipinda nilkaitoa bandarini. Mziki umekuja kwenye kui-maintain daah msala. December nilienda nayo kijijini sasa kule Barabara zetu sio nzuri siku ikanyesha mvua tope kama lote barabaran kulazimisha kupita gari ikaserereka hadi kwenye mti puu taa ya upande wa dereva ikapasuka, kuulizia bei 1.5m TZS! Mpaka leo taa nimeunga na gundi.

3. Service natumia oil Castro 5w30 gharama za kila kitu service nayo kizunguzungu huna laki 7 hujafanya service.

Nipo safarini ila ndinga hii inanifikirisha sana.
Taa pia umepigwa parefu Sana

Mazda CX-5 2015 headlight prices in Tanzania vary, with new headlights potentially costing around TSh 780,000 or more (per piece
Hiyo ni bei ya madalali mtandaoni.. Kwa dealers haizidi usd200
KarParts360-For-2013-2014-2015-2016-Mazda-CX-5-Headlight-Assembly-Pair-Driver-and-Passenger-S...jpeg
.
 
Hivi hii gari ni mbovu au matunzo? Ile Atenza yako ilikuwaje?
Matunzo na Matumizi mi naweza sema. Mfano ikijaga ishu ya DPF ni matumizi. Short trips nyingi inapelekea kuclog na ndio series ya matatizo mengine inakuja.

Atenza iliuzwa baada ya kupunguza trips za highway. Nilikua kwa mwezi kama sijatoka naipeleka atleast Bagamoyo mara moja.
 
Matunzo na Matumizi mi naweza sema. Mfano ikijaga ishu ya DPF ni matumizi. Short trips nyingi inapelekea kuclog na ndio series ya matatizo mengine inakuja.

Atenza iliuzwa baada ya kupunguza trips za highway. Nilikua kwa mwezi kama sijatoka naipeleka atleast Bagamoyo mara moja.
Hizi haziwezi kufanyiwa DPF delete?
 
Fresh kabisa. Unafanya DPF na EGR removal. Ila kuna hasara kidogo sa sijui ni ufundi zinatoa sana moshi.
kaka vp kwema ?samahan ntapata mawasiliano yako inbox nlitak tuoge swala moja directry kuhusu gali... maana nmekutumia message inbox inakataa kaka
 
Back
Top Bottom