Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,846
Wananunulia sifa 😹Bado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M
Wananunulia sifa 😹Bado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M
Kipengele aje nacho yeye mteja umenyooka..!! 😹Haya njoo uchukue milioni 15 uepuke hizo shida.
Sina mbamba..Kipengele aje nacho yeye mteja umenyooka..!! 😹
Ndio biashara, apime inamlipa au lah, ye si anaona shida, sisi tunataka kununua hiyo shida.Atakuona una dharau wakati unataka kumtua mzigo!
Sasa tunaenda kiangazi ni muda wa kuweka taa mpya za corolla yangu ,hakika matope yameichafua gari la ukoo .Ntakua SA wiki ijayo tuma picha hapa hapa nikuulizie bei ya hiyo taa ntakuuzia kati ya laki saba Mpya au used itapungua kidogo ila inakua vizuri tu hata hizo service kit ukihitaji vyote nakutueletea kwa bei ndogo mpaka air cleaner yake hata brake pad cha msingi nitumie VIn yake kwa taa picha.
Malipo unafanya baada ya mzigo wako kufika daslm.
Hakika vita ni kaliHuu ndo ushauri unaofaa akiagiza online ni hela ndog mnooo uku bongo wenyew boashara zao wapo kwa ajili ya kukomoana tu ndio maana daily wanapigia kelele wachina wanaofanya biashara pale kariakoo
Anacho lalamika anasema kuimiliki mazda cx-5 ni gharama..Sasa hapo kosa au shida ni gari au ni wewe mzee? Yaani userereke uingie kwenye korongo paah gari ivunje taa useme shida ni gari?🤔
Poa KamandaWiki ijayo tukijaaliwa uzima J5 ntakua Jozi ingawaje ntafika J3 ila hiyo siku ntakua na nafasi ya kwenda kuangalia hiyo taa ntakujulisha hapa hapa kwa mpya na used yake..
Mzanzibar una Critical Thinking ya viwango 🙌Bado hujaonyesha ubovu wa hiyo gari.
Zaidi umeonyesha uzembe wako.
Kijijini kwao wangejuaje kama anamiliki gari?
Hahah kuna watu hudhani kwa sababu wana uhakika wa kupata 40K ya mafuta per day basi wanaweza kumiliki gari kumbe gari inahitaji huduma zaidi ya mafuta.
Taa tu 1.5 mill toka Dec mwaka jana sasa tunaenda kuugawa mwaka na hajanunua siku chuma ikidai gear box au mswaki (maana engine mzima ni shughuli nyengine) itakuwaje?
Nimejichanganya kununua hiki kichomiHahahaha gari sio lelemama likiamua kukuchapa invoice.
Mazda toka lini ikawa na parts bei juu mkuu ni vile wauzaji wanaamua kuweka mazingira magumu tu hiyo ni sawa na VW polo au GTI parts zake sio bei kubwa shida wauzaji wa Tanzania wanaua sana...Hahah kuna watu hudhani kwa sababu wana uhakika wa kupata 40K ya mafuta per day basi wanaweza kumiliki gari kumbe gari inahitaji huduma zaidi ya mafuta.
Taa tu 1.5 mill toka Dec mwaka jana sasa tunaenda kuugawa mwaka na hajanunua siku chuma ikidai gear box au mswaki (maana engine mzima ni shughuli nyengine) itakuwaje?
Wauzaji TZ wanakomoa haswa. Ni kama bumper la mbele la Vanguard Ilala 2.5m TZSMazda toka lini ikawa na parts bei juu mkuu ni vile wauzaji wanaamua kuweka mazingira magumu tu hiyo ni sawa na VW polo au GTI parts zake sio bei kubwa shida wauzaji wa Tanzania wanaua sana...
Na hilo ni used utakuta limeungwa ungwa na moto hata Ford ranger raptor wanauza bei hiyo hiyo...Wauzaji TZ wanakomoa haswa. Ni kama bumper la mbele la Vanguard Ilala 2.5m TZS
Ndo maana bongo gari inachukuliwa kama anasaNa hilo ni used utakuta limeungwa ungwa na moto hata Ford ranger raptor wanauza bei hiyo hiyo...
Mil 19Una bei gan?
Chief kukopa 30m ni kaz rahis sana kuliko kuitafuta hata laki 5 tuBado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M
Ndugu bado hujaona uzembe wako katika hilo?Tofautisha UBOVU na KUFILISI. Sijazungumzia UBOVU Bali ughali wa vifaa vya CX 5 (Taa kubwa ya mbele 1.5m tofauti na gari nyingi za ukubwa zinazofanana)