Mazda CX 5 inanifilisi!

Mazda CX 5 inanifilisi!

Hiyo service ya 700K unakuwa unabadili na kitu gani?

Cabin filter,oil filter,air filter na fuel filter?

Castro 5W30 kwa mkoa haivuki 130K tena garage za kishua zenye mambo ya 18% VAT uchochoroni 110K.
 
Ntakua SA wiki ijayo tuma picha hapa hapa nikuulizie bei ya hiyo taa ntakuuzia kati ya laki saba Mpya au used itapungua kidogo ila inakua vizuri tu hata hizo service kit ukihitaji vyote nakutueletea kwa bei ndogo mpaka air cleaner yake hata brake pad cha msingi nitumie VIn yake kwa taa picha.
Malipo unafanya baada ya mzigo wako kufika daslm.
 
Ntakua SA wiki ijayo tuma picha hapa hapa nikuulizie bei ya hiyo taa ntakuuzia kati ya laki saba Mpya au used itapungua kidogo ila inakua vizuri tu hata hizo service kit ukihitaji vyote nakutueletea kwa bei ndogo mpaka air cleaner yake hata brake pad cha msingi nitumie VIn yake kwa taa picha.
Malipo unafanya baada ya mzigo wako kufika daslm.
 

Attachments

  • images (41).jpeg
    images (41).jpeg
    38.3 KB · Views: 27
Bado hujasema, kama gari ni 30 million plus umeweza kuilipia. Sioni ugumu wa wewe kuweza kuinunulia taa ya 1.5M
Hahah kuna watu hudhani kwa sababu wana uhakika wa kupata 40K ya mafuta per day basi wanaweza kumiliki gari kumbe gari inahitaji huduma zaidi ya mafuta.

Taa tu 1.5 mill toka Dec mwaka jana sasa tunaenda kuugawa mwaka na hajanunua siku chuma ikidai gear box au mswaki (maana engine mzima ni shughuli nyengine) itakuwaje?
 
Back
Top Bottom