Hii ndio expereince yangu kwa mwaka mmoja na Mazda CX-5

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,057
2,217
Habari wakuu,

Mwishoni mwaka Jana niliagiza Mazda cx-5 2.2cc diesel ya mwaka 2015 maneno yalikuwa mengi sana before sijanunua hii gari,lakini Kwa kuwa professional yangu ni engeering nikasema wacha nicheck na watu wa ulaya nipate maelezo ya kina kuhusu hii gari na wenzetu Kenya hapo maana wao Kwa east Africa hii gari ni kama Toyota harrier vile na demio kwao ni kama IST hapa TZ.

Kwa kuangalia reviews za ulaya huko mtandao mjini YouTube nikapata ujuzi on how to handle Mazda cx-5
Naomba watu wajue hili kwanza kabla ya kukurupuka na kelele kuwa Mazda cx-5 ni gari ambayo haiwezi kuhimili mikiki mikiki ya mazingira yetu haya na kingine husema Mazda inachemsha sana na kuua engine mara ooh Mazda inataka mafuta safi na wengine wakanda mbali zaidi na kusema Mazda-5 inataka diesel yenye low sulphur content ambayo Kwa kitaalamu huitwa euro 4 diesel

Kabla sijaendelea kumbuka hii gari ndio best SUV duniani huko na ilishinda kuwa SUV Bora namba moja huko duniani Kwa mwaka 2017-2022 mfululizo pia hawa ndio walichochea Subaru kuja na design mpya ya Forester na Toyota kuja na design mpya ya Toyota highlander katika kipengele cha comfortablity, speed, acceleration, ground clearance, body design na exterior na interior design maana huko ndiko walikopigwa Subaru na toyota Kwa maana ipi Mazda anakupa vitu vyote vilivyopo Kwenye model za brand kubwa za magari let's say Toyota land cruiser LC series,bmw x series,Mercedes Benz E series na braebun katika gari ya kawaida kama Mazda cx-5
Haya ndio nilyojifunza huko mtandaoni katika tathmini za wataalam wa magari ulaya na Amerika

1. SPARE
Mazda cx-5 inataka spare original sio kanjanja siku hizi naona spare zipo na spare za injini inataka mpya sio za mtumba

2. EASY TO MAINTAIN
Oil ni 5w30 iwe Castro,liqui molly au Atlantic original zote la sivyo utaua pistoni na cylinder block

3. MAFUTA
Kweli inataka diesel safi ambayo ina low sulphur ambayo ndio hii tunatumia maana Kwa sasa duniani hakuna refinery inayoproduce diesel na petrol yenye zaidi ya 50g/mole au 10ppm Kwa sababu ya sera za mazingira kubalishwa duniani

4. SKY ACTIVE TECHNOLOGY
MAZDA CX-5 ina teknolojia kwenye engine na mafundi wengi walistruggle kuielewa kote duniani sio bongo tu,hata Kenya hapo mwanzoni walipambana sana mpaka wengine wakasafri mpaka soutn Africa kwenda kupata training ya teknolojia ya SKY ACTIVE ambayo Mazda anaitumia kote duniani

5. FUEL COMSUPTION
Hapa Mazda aliwatesa sana kinatoyota na brand zingine kubwa na ndio maana na hii gari na teknojia yao sky active imeifanya Mazda kuwa na gari zilizo na ulaji mzuri wa mafuta yaani kama safari ndefu na hamna kusimama wala kupunguza mwendo Kwa ajili ya matuta na tochi Mazda cx-5 inakupa 18-22km/L Kwa dereva mzuri iache ichanganye taratibu using'ang'anie acceleration pedal

6. COMPRESSION RATIO
Mazda CX-5 na nyinginezo zinazotumia sky active technology Zina compression ratio kubwa sawa nilisema compression ratio yaani uwiano wa mafuta kuchomwa vs umbali wa piston kurudi juu kugandamiza mafuta na na kuyachoma hii ni Kwa gari zote za petrol na diesel

7. CYLINDER DEACTIVATION TECHNOLOGY
Hii technology Kuna baadhi ya brand Tena kubwa kubwa walijaribu wakashindwa maana engine nyingi zilizingua ila Mazda ameweza kabisa kivipi cylinder deactivation Kwa lugha rahisi kama gari ina piston nne basi mbili huchoma mafuta na mbili husaidia kutoa moshi Kwa msaada wa EGR YAANI EXHAUST GAS RECYCLING hivyo baada ya umbali wa kilomita 80 Kuna sensor za joto na oil na coolant hupelekea taarifa kwenye ECU kuwa hizi piston zimepata joto sana hamsha hizi zilizo idle.
tuache hapo maana hii ni shule ndefu sana

8. TWIN TURBO AND VARIABLE INTAKE MANIFOLD
Hii ndio sababu Mazda CX-5 diesel na petrol na model nyingine za Mazda za diesel kuwa na nguvu,kuchanganya haraka Kwa gari za diesel kama ya petrol, low engine noise kama gari ya petrol yaani ukiikuta Mazda ya diesel za sasa hivi zinamlio mkubwa that means Kuna kitu hakiko sana either ni camshaft and timing chain imelika Kwa kutoweka oil sahihi au kiasi kidogo cha oil

9. DRIVING EXPERIENCE,INTERIOR SPACE,DESIGN AND ENTERTAIMENT
Mie ni mpenzi wa safari na muziki na entertainment zingine so hapa Mazda-5 inakupa mziki wa hali ya juu Kwa speaker za BOSE sound system ikiwa na speaker nane mziki umechujwa na unasikia chombo kimoja kimoja kilichopigwa na base ya kutosha huna haja ya kwenda Kwa dick sound ila hii sound system mara nyingi hupatikana kwenye MAZDA CX-5 XD VERSION space ya booty au trunk ni kubwa unaweka mashangazi kaja ya kutosha space ya ndani ya seat ni ya kutosha yaani unanyosha miguu unakuja wew na abiria wako.

10. STABILITY AND CONTROL
MAZDA Iko stable sana hasa zile za AWD maana mie zilikona za kutoka mageti ya darajani kuelekea uhasibi au bandarini mie huwa nalala na 100km/hr kama safari ndefu hapo lazima nikuache,steering wheel inarespond hara Kutoka na maamuzi ya dereva

11. COOLANT BYPASS
Yes of course hii ni tatizo Kwa maeneo yenye joto na hili likijitokeza majimbo ya kusini ya marekani ambapo Kuna hali ya juu ya joto na jangwa hivyo basi Mazda wali design coolant bypass za chuma(metallic) na kuwapa dealers wote wazifunge kwenye magari ila Kwa Yale majimbo ya kaskazini ya marekani hii hali haikujitokeza kwanini waliweka coolant za plastic huchelewa kupata ubaridi na kukifanya iwe na joto la kawaida ili ichanganye Kwa haraka maana ubaridi huongeza viscosity ya kimiminika ila wakasahau maeneo yenye joto

12. DPF (DIESEL PARTICULATE FILTER)
Watu wengi wamekuwa wakitishwa eti DPF ni tatizo tatizo kwangu mie hajawahi kuwa tatizo maana kwenye gari yangu huwa inajifanyania regeneration mara Kwa mara nimekuwa nikifuatilia
Ni salama zaidi kuiacha kuliko kufanya DPF delete maana Unaweza kuanzisha ugonjwa mwingine kwenye engine maana gari ya diese yenye DPF huwa exhaust yake kama ya petrol tu huwezi kukuta inamasizi meusi Yale maana Yale ni mabaki ya diese lambayo haijawa completely burned hivyo DPF huyachoma kabisa na kutoa gasi tu ambayo ni Nitrogen oxide (NOX) ambayo hunyonywa na masega Yale

13. ENGINE BAY
MAZDA CX-5 ina engine kubwa iliyokuwa compacted sehemu ndogo hivyo fundi lazima ajue kuwa ana deal na engine ambayo Iko very complex and compacted at smaller space Kwa maana hyo basi ukita kufungua vacuum pump lazima utoe battery ,hose za coolant na utoe baadhi ya cable za fuse box,Kwa hyo kama fundi kichwa maji atasahau kurudisha baadhi ya vitu mahala pake hivyo kuanzisha tatizo kingine.

14. MAZDA CX-5 ENGINE SENSOR
MAZDA CX-5 ni gari yenye sensor nyingi sana ndio maana lipotokea tatizo message kwenye dash board hutokea haraka na hukwambia Nini cha kufanya au kama issue ni kubwa engine na turbo huwa zinazima ili kuepusha parts nyingine zisiharibike na mara nyingi ukiona message ya vehicle engine malfunction ,au vehicle system malfunction usiendeshe gari park ili uokoe vifaa vingine vya engine ila kama message inasema vehicle system inspection required basi ujue ni tatizo la kawaida na Unaweza kufika Kwa fundi ukalitatua

15. DIAGNOSIS
Kwa wale mafundi nyundo please mzisiguse Mazda za mwaka 2012 na kuendelea mtaharibu gari za watu maana Mazda za sasa huwezi kuzitengeneza mpaka ufanye diagnosis na ECU itakwambia shida ipo wapi na fundi aanzie wapi

Kwa Leo naishia hapa I hope
umeelimika
Nakaribisha maswali
Karibuni
 

Attachments

  • IMG_20241011_093247.jpg
    IMG_20241011_093247.jpg
    142.2 KB · Views: 9
  • IMG_20241011_100558.jpg
    IMG_20241011_100558.jpg
    219.9 KB · Views: 9
  • IMG_20241011_100551.jpg
    IMG_20241011_100551.jpg
    344.3 KB · Views: 20
  • IMG_20240916_135550.jpg
    IMG_20240916_135550.jpg
    196.8 KB · Views: 12
  • IMG_20240916_135557.jpg
    IMG_20240916_135557.jpg
    202.2 KB · Views: 12
  • IMG_20240722_091654.jpg
    IMG_20240722_091654.jpg
    478.7 KB · Views: 5
Congratulations kaka na asante kwa feedback nzuri.

Kwa upande wangu sina maswali, ila naomba niulize kwa niaba ya wengine:

  • Gharama za coolant bypass na signs za mwanzo kama bypass yako imekufa (ya plastic)
  • Oil bora na original uliko nunua kwa Dar.
  • Service kubwa uliyofanya hadi sasa toka ununue.
Nadhani wengi tunavyotaka kununua gari cha kwanza ni kujua gharama za uendeshaji.

Na unapendekeza gereji gani (sio kwa ubaya wala Tangazo).
 
Habari wakuu,

Mwishoni mwaka Jana niliagiza Mazda cx-5 2.2cc diesel ya mwaka 2015 maneno yalikuwa mengi sana before sijanunua hii gari,lakini Kwa kuwa professional yangu ni engeering nikasema wacha nicheck na watu wa ulaya nipate maelezo ya kina kuhusu hii gari na wenzetu Kenya hapo maana wao Kwa east Africa hii gari ni kama Toyota harrier vile na demio kwao ni kama IST hapa TZ.

Kwa kuangalia reviews za ulaya huko mtandao mjini YouTube nikapata ujuzi on how to handle Mazda cx-5
Naomba watu wajue hili kwanza kabla ya kukurupuka na kelele kuwa Mazda cx-4 ni gari ambayo haiwezi kuhimili mmiliki mikiki ya mazingira yetu haya na kingine husema Mazda inachemsha sana na kuua engine mara ooh Mazda inataka mafuta safi na wengine wakanda mbali zaidi na kusema Mazda-5 inataka diesel yenye low sulphur content ambayo Kwa kitaalamu huitwa euro 4 diesel

Kabla sijaendelea kumbuka hii gari ndio best SUV duniani huko na ilishinda kuwa SUV Bora namba moja huko duniani Kwa mwaka 2017-2022 mfululizo pia hawa ndio walichochea Subaru kuja na design mpya ya Forester na Toyota kuja na design mpya ya Toyota highlander katika kipengele cha comfortablity, speed, acceleration, ground clearance, body design na exterior na interior design maana huko ndiko walikopigwa Subaru na toyota Kwa maana ipi Mazda anakupa vitu vyote vilivyopo Kwenye model za brand kubwa za magari let's say Toyota land cruiser LC series,bmw x series,Mercedes Benz E series na braebun katika gari ya kawaida kama Mazda cx-5
Haya ndio nilyojifunza huko mtandaoni katika tathmini za wataalam wa magari ulaya na Amerika

1. SPARE
Mazda cx-5 inataka spare original sio kanjanja siku hizi naona spare zipo na spare za injini inataka mpya sio za mtumba

2. EASY TO MAINTAIN
Oil ni 5w30 iwe Castro,liqui molly au Atlantic original zote la sivyo utaua pistoni na cylinder block

3. MAFUTA
Kweli inataka diesel safi ambayo ina low sulphur ambayo ndio hii tunatumia maana Kwa sasa duniani hakuna refinery inayoproduce diesel na petrol yenye zaidi ya 50g/mole au 10ppm Kwa sababu ya sera za mazingira kubalishwa duniani

4. SKY ACTIVE TECHNOLOGY
MAZDA CX-5 ina teknolojia kwenye engine na mafundi wengi walistruggle kuielewa kote duniani sio bongo tu,hata Kenya hapo mwanzoni walipambana sana mpaka wengine wakasafri mpaka soutn Africa kwenda kupata training ya teknolojia ya SKY ACTIVE ambayo Mazda anaitumia kote duniani

5. FUEL COMSUPTION
Hapa Mazda aliwatesa sana kinatoyota na brand zingine kubwa na ndio maana na hii gari na teknojia yao sky active imeifanya Mazda kuwa na gari zilizo na ulaji mzuri wa mafuta yaani kama safari ndefu na hamna kusimama wala kupunguza mwendo Kwa ajili ya matuta na tochi Mazda cx-5 inakupa 18-22km/L Kwa dereva mzuri iache ichanganye taratibu using'ang'anie acceleration pedal

6. COMPRESSION RATIO
Mazda CX-5 na nyinginezo zinazotumia sky active technology Zina compression ratio kubwa sawa nilisema compression ratio yaani uwiano wa mafuta kuchomwa vs umbali wa piston kurudi juu kugandamiza mafuta na na kuyachoma hii ni Kwa gari zote za petrol na diesel

7. CYLINDER DEACTIVATION TECHNOLOGY
Hii technology Kuna baadhi ya brand Tena kubwa kubwa walijaribu wakashindwa maana engine nyingi zilizingua ila Mazda ameweza kabisa kivipi cylinder deactivation Kwa lugha rahisi kama gari ina piston nne basi mbili huchoma mafuta na mbili husaidia kutoa moshi Kwa msaada wa EGR YAANI EXHAUST GAS RECYCLING hivyo baada ya umbali wa kilomita 80 Kuna sensor za joto na oil na coolant hupelekea taarifa kwenye ECU kuwa hizi piston zimepata joto sana hamsha hizi zilizo idle.
tuache hapo maana hii ni shule ndefu sana

8. TWIN TURBO AND VARIABLE INTAKE MANIFOLD
Hii ndio sababu Mazda CX-5 diesel na petrol na model nyingine za Mazda za diesel kuwa na nguvu,kuchanganya haraka Kwa gari za diesel kama ya petrol, low engine noise kama gari ya petrol yaani ukiikuta Mazda ya diesel za sasa hivi zinamlio mkubwa that means Kuna kitu hakiko sana either ni camshaft and timing chain imelika Kwa kutoweka oil sahihi au kiasi kidogo cha oil

9. DRIVING EXPERIENCE,INTERIOR SPACE,DESIGN AND ENTERTAIMENT
Mie ni mpenzi wa safari na muziki na entertainment zingine so hapa Mazda-5 inakupa mziki wa hali ya juu Kwa speaker za BOSE sound system ikiwa na speaker nane mziki umechujwa na unasikia chombo kimoja kimoja kilichopigwa na base ya kutosha huna haja ya kwenda Kwa dick sound ila hii sound system mara nyingi hupatikana kwenye MAZDA CX-5 XD VERSION space ya booty au trunk ni kubwa unaweka mashangazi kaja ya kutosha space ya ndani ya seat ni ya kutosha yaani unanyosha miguu unakuja wew na abiria wako.

10. STABILITY AND CONTROL
MAZDA Iko stable sana hasa zile za AWD maana mie zilikona za kutoka mageti ya darajani kuelekea uhasibi au bandarini mie huwa nalala na 100km/hr kama safari ndefu hapo lazima nikuache,steering wheel inarespond hara Kutoka na maamuzi ya dereva

11. COOLANT BYPASS
Yes of course hii ni tatizo Kwa maeneo yenye joto na hili likijitokeza majimbo ya kusini ya marekani ambapo Kuna hali ya juu ya joto na jangwa hivyo basi Mazda wali design coolant bypass za chuma(metallic) na kuwapa dealers wote wazifunge kwenye magari ila Kwa Yale majimbo ya kaskazini ya marekani hii hali haikujitokeza kwanini waliweka coolant za plastic huchelewa kupata ubaridi na kukifanya iwe na joto la kawaida ili ichanganye Kwa haraka maana ubaridi huongeza viscosity ya kimiminika ila wakasahau maeneo yenye joto

12. DPF (DIESEL PARTICULATE FILTER)
Watu wengi wamekuwa wakitishwa eti DPF ni tatizo tatizo kwangu mie hajawahi kuwa tatizo maana kwenye gari yangu huwa inajifanyania regeneration mara Kwa mara nimekuwa nikifuatilia
Ni salama zaidi kuiacha kuliko kufanya DPF delete maana Unaweza kuanzisha ugonjwa mwingine kwenye engine maana gari ya diese yenye DPF huwa exhaust yake kama ya petrol tu huwezi kukuta inamasizi meusi Yale maana Yale ni mabaki ya diese lambayo haijawa completely burned hivyo DPF huyachoma kabisa na kutoa gasi tu ambayo ni Nitrogen oxide (NOX) ambayo hunyonywa na masega Yale

13. ENGINE BAY
MAZDA CX-5 ina engine kubwa iliyokuwa compacted sehemu ndogo hivyo fundi lazima ajue kuwa ana deal na engine ambayo Iko very complex and compacted at smaller space Kwa maana hyo basi ukita kufungua vacuum pump lazima utoe battery ,hose za coolant na utoe baadhi ya cable za fuse box,Kwa hyo kama fundi kichwa maji atasahau kurudisha baadhi ya vitu mahala pake hivyo kuanzisha tatizo kingine.

14. MAZDA CX-5 ENGINE SENSOR
MAZDA CX-5 ni gari yenye sensor nyingi sana ndio maana lipotokea tatizo message kwenye dash board hutokea haraka na hukwambia Nini cha kufanya au kama issue ni kubwa engine na turbo huwa zinazima ili kuepusha parts nyingine zisiharibike na mara nyingi ukiona message ya vehicle engine malfunction ,au vehicle system malfunction usiendeshe gari park ili uokoe vifaa vingine vya engine ila kama message inasema vehicle system inspection required basi ujue ni tatizo la kawaida na Unaweza kufika Kwa fundi ukalitatua

15. DIAGNOSIS
Kwa wale mafundi nyundo please mzisiguse Mazda za mwaka 2012 na kuendelea mtaharibu gari za watu maana Mazda za sasa huwezi kuzitengeneza mpaka ufanye diagnosis na ECU itakwambia shida ipo wapi na fundi aanzie wapi

Kwa Leo naishia hapa I hope
umeelimika
Nakaribisha maswali
Karibuni
Hii gari naikubali sana. Hasa nyeupe
 
Garage nzuri ni Kwa DOCTOR MAZDA chang'ombe,MANAMBA SINZA,SANCHO MBEYA hawa Wanazijua Mazda ile kiundani

Service nilizofanya Kwa sasa ni kutoa steering rack,CV axle,wishbone bush,nilimwaga oil nikaweka liqui molly agent wao yupo mikocheni barabara ya cocacola

Mie nilitembelea bypass ya plastic Kwa miezi 9 na nilienda safari ndefu nyingi ingawa nilikuwa napendelea kutembea usiku Kwa safari ndefu
Bongo bypass inauzwa 120000 kufunga 30000 jumla ni 150000 Kwa sasa
Mie Kwa kuwa huwa naagiza mizigo kutoka ughaibini bypass nilinunua china kwa tsh 35000
Nikafungiwa Kwa 30000 jumla 65000/=
bypass nzuri ni zile metallic white au greenish metallic hizo ndio za Mazda ORIGINAL usikubali zile nyeusi huwa sio ORIGINAL na hazifit kwenye clamp Pin ORIGINAL zilizokuja na gari[B/]
DPF Sijatoa Hadi hii Leo na gari Iko vizuri tuGharama za uedeshaji zipo chini Kwa sababu MAZDA CX-5 KWA MJINI MATUMIZI TA MAFUTA NI 11-13KM/L NI SAWA NA TOYOTA IST TU
 
Kilasiku nawaambia watu kuwa matunzo Sahihi kwenye magari ndiyo kipaumbele namba moja kama unashindwa kufanya service ya maana utakuja kulaumu.
Fikiria gari imetumika Japan zaidi ya miaka 10 na ikija hapa bongo inakufa baada ya miezi SITA hapa lazima tatizo liangukie Kwa mmiliki Tu

Mwakani na Mimi nitakuja kuwapa mrejesho juu ya Subaru forester XT(wengi wanaogopa XT Kwaajili ya turbo lkn ukifuata masharti yake hasa Kwa kutumia oil ya Castrol, liqui Molly na Atlantic huku ukibadilisha air cleaner baada ya miezi SITA utafaulu)
 
Congratulations kaka na asante kwa feedback nzuri.

Kwa upande wangu sina maswali, ila naomba niulize kwa niaba ya wengine:

  • Gharama za coolant bypass na signs za mwanzo kama bypass yako imekufa (ya plastic)
  • Oil bora na original uliko nunua kwa Dar.
  • Service kubwa uliyofanya hadi sasa toka ununue.
Nadhani wengi tunavyotaka kununua gari cha kwanza ni kujua gharama za uendeshaji.

Na unapendekeza gereji gani (sio kwa ubaya wala Tangazo).
Kaka na ww tukuulize hili swali kwenye atenza
 
Kilasiku nawaambia watu kuwa matunzo Sahihi kwenye magari ndiyo kipaumbele namba moja kama unashindwa kufanya service ya maana utakuja kulaumu.
Fikiria gari imetumika Japan zaidi ya miaka 10 na ikija hapa bongo inakufa baada ya miezi SITA hapa lazima tatizo liangukie Kwa mmiliki Tu

Mwakani na Mimi nitakuja kuwapa mrejesho juu ya Subaru forester XT(wengi wanaogopa XT Kwaajili ya turbo lkn ukifuata masharti yake hasa Kwa kutumia oil ya Castrol, liqui Molly na Atlantic huku ukibadilisha air cleaner baada ya miezi SITA utafaulu)
Oil og kwa dar zinapatikana wapi mkuu?
 
Oil og kwa dar zinapatikana wapi mkuu?
Mkuu Mimi nipo kariakoo miaka mingi sehemu Ambazo utapata oil original ni msimbazi kwenye barabara iliyokuwa unatumika na daladala za tegeta zamani, pia huku gerezani mtaa wa kiungani/Livingstone kuna duka kubwa la wahindi wanaitwa SAI hapa mkuu utapata oil za aina mbalimbali tena kwa bei nzuri Sana.

Ukienda shaurimoyo kuna maduka mengi Ila wengi wao ni wahuni Ila Kwa hawa wahindi wa kiungani ndiyo salama zaidi
 
Mkuu Mimi nipo kariakoo miaka mingi sehemu Ambazo utapata oil original ni msimbazi kwenye barabara iliyokuwa unatumika na daladala za tegeta zamani, pia huku gerezani mtaa wa kiungani/Livingstone kuna duka kubwa la wahindi wanaitwa SAI hapa mkuu utapata oil za aina mbalimbali tena kwa bei nzuri Sana.

Ukienda shaurimoyo kuna maduka mengi Ila wengi wao ni wahuni Ila Kwa hawa wahindi wa kiungani ndiyo salama zaidi
Was born kiungani na sikukuu mbele yetu shule ya kisarawe,nitafanya mchakato niende livingstone na kiungani nikiwa bongo dec,shaurimoyo wahuni wengi,washaua gari ya jamaa kwa oil fake,hivi lile duka la spare la saba bado lipo?
 
Kilasiku nawaambia watu kuwa matunzo Sahihi kwenye magari ndiyo kipaumbele namba moja kama unashindwa kufanya service ya maana utakuja kulaumu.
Fikiria gari imetumika Japan zaidi ya miaka 10 na ikija hapa bongo inakufa baada ya miezi SITA hapa lazima tatizo liangukie Kwa mmiliki Tu

Mwakani na Mimi nitakuja kuwapa mrejesho juu ya Subaru forester XT(wengi wanaogopa XT Kwaajili ya turbo lkn ukifuata masharti yake hasa Kwa kutumia oil ya Castrol, liqui Molly na Atlantic huku ukibadilisha air cleaner baada ya miezi SITA utafaulu)
Hahaha huu mrejesho wako nausubiri mkuu mimi Feb tu hapo nagonga mwaka na hii chuma ila so far kila kitu kinaenda poa naona wese tu inabugia as time goes on nasubiri nikafanye service may be itakuwa na heshima kidogo 7.3 Km/L na ilikuja ikiwa 7.8 Km/L
 
Hahaha huu mrejesho wako nausubiri mkuu mimi Feb tu hapo nagonga mwaka na hii chuma ila so far kila kitu kinaenda poa naona wese tu inabugia as time goes on nasubiri nikafanye service may be itakuwa na heshima kidogo 7.3 Km/L na ilikuja ikiwa 7.8 Km/L
Mkuu ya kwako ni XT ?
Nataka kushare experience kidogo
 
Back
Top Bottom