Mawaziri waghushi vyeti

Mimi sidhani kama hii ni big deal as long as huyo mtu hakuforge hicho cheti kutoka kwenye hiyo university. Kuna nchi nyingi tuu ambazo azitambui degree, masters or universities from certain countries and universities especial those countries which are classified as developing countries.

Mfano: New Zealand hawatambui degree ya aina yoyote kutoka UDSM au University yoyote ya Tanzania. Sasa ndugu zanguni mtaniambia kwamba watu wote waliopata Degree/masters/Phds kutoka UDSM, Mzumbe etc wameforge hizo degree kwasababu New-Zealand hawazitambui?

Watanzania msipende kudakiwa issues, someni muunderstand what is the argument behind the story na ndio muunze kuongea..

Pia ndugu zanguni tofautisheni maana ya kutambulika kwa university in a certain country na kugushi (forging) a degree…

Mkuu, unachojaribu kutetea hakiingii akilini na hata mifano unayotoa ni sheer conjecture kwa sababu baadhi yetu wenye qualifications kutoka UDSM tunafundisha kwenye highly repected universities kwenye nchi zilizoendelea kuliko New Zealand. Hoja hapa ni mchezo mchafu ulioingia Tanzania wa watu literally "kununua" degrees kwenye vyuo vya mtandao visivyo na hadhi ya vyuo! Wewe umesikia wapi Ph.D ya mwezi moja? Umesikia wapi Ph.D inayopatikana kabla ya Diploma? Unavyojieleza unaonyesha dalili tosha za kuwa graduate wa hivyo vyuo taka.
 
Future-Tanzania,
Kitu unachosahau ni kwamba hawa ma Phd fake wa Bongo hawakuchukua hizo Phd ili waende nchi za nje. Wanazitumia kwa matanuzi yao kisiasa Bongo.
 
Well maybe you were luck that time.. Now days my dear they don’t accept degrees from certain countries due to the teaching quality. If you have time check their website for skilled immigrant. They have stated clearly which degree certificates they accept from which country. When did u teach at Waikato?

New Zealand sio nchi pekee ambayo inakataa degree from Tanzania. Zipo nyingi sana. Na always arguments behind it ni quality of teaching and competence of those graduates in the working world.

Pia kitu ambacho Tanzania tunasahau watanzania ni kwamba ni working world especial in developed countries working experience mattes not what you learn from universities. Angalieni graduates wanaomaliza UDSM hawajui kitu.. hii sio dharau but its reality

serikari ianze kuweka more effort into mixing education na vocational training (work experience). Hii itawezesha wanafunzi kujua practical side of what they are being taught at university level and itasaidia kuwezesha good quality of research done by our universities.


Future-Tanzania,

Nafikiri umechanganya requirements za hiyo skilled immigration na kutambuliwa kwa elimu ya nchi fulani.

Lengo la skilled immigration ni kwa ajili ya watu wale wenye uwezo mkubwa ingawaje ukija kwenye utekelezaji wake hata watu wa kawaida wanaweza kupenya humo. Kwahiyo wame target wanafunzi kutoka baadhi ya vyuo ambavyo wao wanaona vinatoa elimu kubwa au wana ufahamu kuhusu elimu yao. Haina maana wanaoingia kwa njia zingine hawawezi kuajiriwa kwa kutumia hivyo vyeti.


Mimi nina kaufahamu kazuri kuhusu skilled immigration ya UK, ambayo kwasasa inafanana sana na hiyo ya Australia au New Zealand.

Mtu kama ha qualify kwenye hiyo skilled immigration bado anaweza kupata kazi kupitia categories zingine.
 
Originally Posted by future-Tanzania View Post
Well maybe you were luck that time.. Now days my dear they don't accept degrees from certain countries due to the teaching quality......Pia kitu ambacho Tanzania tunasahau watanzania ni kwamba ni working world especial in developed countries working experience mattes not what you learn from universities. Angalieni graduates wanaomaliza UDSM hawajui kitu.. hii sio dharau but its reality.

mwongo wewe mkubwa! tena unasema uongo waziwazi.

Hata huko New zealand, kuna watu waliomaliza UDSM tena 2004 wamekubaliwa kusoma Masters huko na mmoja wao ameajiriwa kabisa. The same UK kuna jamaa ameajiriwa tena na Serikali ya Uingereza (yeye ni Mganda lakini kasoma UDSM).

acha uongo bana, ni kweli kuwa vyuo vyetu vinamatatizo lakini si kwamba wanaomaliza hawajui kitu.

Nimeshuhudia kwa macho yangu Watanzania wanavyofanya vizuri katika vyuo vya Ulaya a Asia katika Masters na PhD, mpaka ma=professor wa huko wanawashawishi kubakia huko. ebu tuache kujidharau pasipo sababu.
 
You all have made your points clear, but Commonwealth University looks very shady to me. I have double checked and it is even embarrasing for so called Minister to even give a name of such institution. In fact in their website they state that their degrees might not recognized in other countries or institution. This school is in Birtish Virgin Islands, not England. Please just browse the website thoroughly and see for yourself. I also was surprised by how much it cost to receive a phd from commonwealth. I think we should ask the Waziri what was his research on jamani? I think that will verify a whole lot. He can also make it public to read his findings. I feel that many ministers would do anything to be callled doctors. Is it necessary to have a phd to run for an office? Also look at the difference between this website capella university website(which is an online university) and the commonwealth open university.
Thanks
 
Well maybe you were luck that time.. Now days my dear they don’t accept degrees from certain countries due to the teaching quality. If you have time check their website for skilled immigrant. They have stated clearly which degree certificates they accept from which country. When did u teach at Waikato?

New Zealand sio nchi pekee ambayo inakataa degree from Tanzania. Zipo nyingi sana. Na always arguments behind it ni quality of teaching and competence of those graduates in the working world.

Pia kitu ambacho Tanzania tunasahau watanzania ni kwamba ni working world especial in developed countries working experience mattes not what you learn from universities. Angalieni graduates wanaomaliza UDSM hawajui kitu.. hii sio dharau but its reality

serikari ianze kuweka more effort into mixing education na vocational training (work experience). Hii itawezesha wanafunzi kujua practical side of what they are being taught at university level and itasaidia kuwezesha good quality of research done by our universities.

Hapo red napata picha fulani kuhusu wewe..., laiti kama ningejua umesoma wapi? umesoma nini? kwa kiwango gani na unafanya nini...., au nawe ni mmoja wao?
 
Jamani hili tulipata kulijadili kwa kirefu miaka mitatu iliyopita. Walichofanya TCU ni ku-formalise yale ambayo yamekuwa mitaani kwa muda mrefu. Inabidi tumpongeza Mayunga Nkunya kwa kuthubutu kuchukua hatua, maana tulikuwa tunaelekea pabaya-watu wanaibuka from no where wanasema wana masters, wana PhD, ebo!

Endeleeni kubishana, lakini tulikwisha kufika hitimisho kitambo kuwa hawa wenzetu hizo elimu zao wamebambikiziwa, hazina hata chembe ya kiwango hicho wanachojiita. Hata hivyo wanaweza kuendelea kujiita madaktari madamu hiyo inawapa furaha mioyoni mwao lakini haina maana kwamba kujiita ndio unakuwa!
 
Kubalini msikubali UDSM ya miaka before late 90's sio ya leo! Kiwango cha kutambulika kimataifa kimepungua. UDSM Wanafunzi wachache sana wanafauru kikweli. Wengi wanafauru kutokana na mtoto wa nani au kulala na leacturer gani. Mnabisha? Sasa kama watu wanafauru kwa namna hiyo How would you think they will survive in business world?

Kuhusu PhD, Bongo sasa hivi imekuwa fashion mtu kuitwa doctor etc.. kama mtu moja alivyosema hapa ni kwamba having a PhD or not it is very much depend on what you are doing as a career. If you are lecturer or researcher fair enough or if you are doing PhD for hobbies then it’s much better. ila ukweli unabaki PhD will never make you to survive in the Global business and it doesn’t make you competent in the business world unless you have a well good work experience. Na ndio maana kuna watanzania wengi tuu Europe wanasoma kwa sifa kuitwa madoctor and at the end of the day kazi hawapati Europe wanasema wazungu ni wabaguzi mbona wengine wanapata?

Tanzania tuendeleni kusoma, na sasa hizi kuna opportunities nyingi za long distance courses from world wide reputable universities. Hizi course zinasaidia watu kubalance family, work and university life. Ila tu ukitaka kufanya hivyo inabidi uwe makini maana kuna watu wengi matapeli kwenye internet na pia never go for cheap courses compare the prices and kama ikionekana tuu cheap then something isn’t right.
 
Tatizo jingine ni kuona mtu ana PhD ya English Language lakini hawezi kuongea kiingereza wala kukiandika.
 
Hapo red napata picha fulani kuhusu wewe..., laiti kama ningejua umesoma wapi? umesoma nini? kwa kiwango gani na unafanya nini...., au nawe ni mmoja wao?

kuhusu nimesoma wapi, nafanya nini siwezi kusema humu, i dont think anyone has the right to know!! what do you mean by ‘au wee ni mmoja wao?’
 
.........sidhani kwa kutokuwepo kwenye list ndio inamaanisha kutoitambua degree za bongo...........


.......Sidhani kama kuna mtu anasema Waziri ka-forge cheti.......Ndugu yangu hata ukitaka Cheti sasa hivi.......mimi naweza kumwambia mwanangu akakutengenezea PhD/Masters certificate nzuri sana........nikakupatia.......hautakuwa ume-forge

hiyo PhD itatoka university gani? reputable? i am sure the answer is NO! kama ni itatoka UK or America itakuwa ni kutoka kwenye Vyuo ya £1000 a year.. ndio maana watu wanatembea na miguu kuwezesha wanao wasome expensive univerisities kwaajili ya hizi issue


No.........hayuko qualifield kwenye in the field of expertise kutokana na hiyo PhD feki kwani haikubaliki hata kwenye nchi hiyo hiyo alikoipata

kwa hii hapo juu kama umesoma vizuri kwenye comment zangu before nimesema vizuri kabisa kama university inakubalika kwenye nchi hiyo au zingine then yuko qualified..

Let me assume you are correct.......then why rush for un-genuine Masters and PhDs

Thax for this.. watanzania tunapenda sana masifa ya kipuuzi



Manage the work?.......which work.....remember specialised field need a specialised person......and ofcourse this differ in the level of educatio

kama umekaa Abroad na umefanya kazi as a professional then utajua kwamba some of people on top dont have PhD. wamemake to the managerial level according to their working experience. na wengine ata wanasoma huku wanafanya kazi



Wrong....because it depends na area/level unayofanyia kazi
Yes depend on your career na pia your life plan ila what is important is to look at where you will gain more expertise


Mwl Kichuguu naona keshakuwekea mfano mzuri tu...wa kwake yeye mwenyewe....

huyo Mwl Kichuguu alifundisha lini huko? na aligraduate UDSM lini? na alifanya post graduate wapi?
 
Future Tanzania na wengine,

Tusiwe na mawazo mafupi. PhD ni shahada yenye heshima yake. Kama umeipata kihalali na umefanya yanayotakiwa kufanywa mpaka ukaipata, nakuhakikishia hutakosa kazi. Ni cheti chenye heshima sana. na kwa upande wangu mtu mwenye PhD yake namheshimu sana.

Hivi kweli wewe unataka kuniambia mwenye PhD yake na wewe mwenye degree yako moja au Masters muombe kazi World Bank..watakuchukua wewe yeye wamuache? Unless kweli hiyo PhD haina relevance hapo...lakini ukweli ni kwamba he stands better chances than you and me. mashirika kama World Bank au UN..ukiwa na PhD yako una uhakika kabisa kwamba career progression yako iko assured maana una uwezo wa ku-compete na wengine vizuri. Hata wakitaka kupunguza..wewe utakuwa wa mwisho (ofcourse PhD lazima ireflect na utendaji-lol). Ndo maana wazee ambao wamekaa UN miaka mingi..wengi ni wale wenye shule zao. Na kwa sababu unashindana na watu wa mataifa mengine, kusurvive ni vyema uwe na shule ndefu. MAANA WENZETU HUKO MAJUU PhD siyo anasa..ni qualifications za kawaida.

Tuache old thinking kwamba ukisoma PhD basi wewe utakuwa mwalimu au hutapata kazi..my friend that kind of thinking is long dead! Kuna mashirika kama huna PhD ndugu yangu unajiona kabisa uko out of the system...utakuwa mtu wa kutegemea (affimative action ya waafrika kwenye kupandihwa vyeo) Unless if you only think Local basi PhD haina "maana" but if you think global? Ohhh PhD is the way to go. Naamini leo hata ukija kuomba kazi bongo serikalini..na PhD yako..Iam sure watakupa kazi tena ya maana. enzi za ukiwa na PhD eti hupati kazi..zilishakufa long time sana...

Kwa wale wenye nia ya kusoma PhD please do it! the rewards will be enormous. Utafanya kazi popote duniani if you want to. Na kama huna hiyo PhD siyo vyema kuwadiscourage wenzako. Watoto wa kizungu ukiomba kazi nao huko World Bank..mtu ana miaka 25 au 26 tayari ana PhD..wewe huyo miaka 40 hata masters ya kuunga unga..harafu unategemea kijana anyimwe kazi? By the way PhD speaks alot about inteleectual aptitude ya mtu..kumbuka hakuna shule ya experience.

Ofcourse PhD za kununua za akina Nagu and Co..HIZO tutazipinga mpaka kufa! Ila PhD kama ya ndugu yangu Kitila Mkumbo ambaye kaihangaikia..eti leo unasema haina maana? you must be kiding yourself!
 
Last edited:
Future Tanzania na wengine,

Tusiwe na mawazo mafupi. PhD ni shahada yenye heshima yake. Kama umeipata kihalali na umefanya yanayotakiwa kufanywa mpaka ukaipata, nakuhakikishia hutakosa kazi. Ni cheti chenye heshima sana. na kwa upande wangu mtu mwenye PhD yake namheshimu sana.

Hivi kweli wewe unataka kuniambia mwenye PhD yake na wewe mwenye degree yako moja au Masters muombe kazi World Bank..watakuchukua wewe yeye wamuache? Unless kweli hiyo PhD haina relevance hapo...lakini ukweli ni kwamba he stands better chances than you and me. mashirika kama World Bank au UN..ukiwa na PhD yako una uhakika kabisa kwamba career progression yako iko assured maana una uwezo wa ku-compete na wengine vizuri. Hata wakitaka kupunguza..wewe utakuwa wa mwisho (ofcourse PhD lazima ireflect na utendaji-lol). Ndo maana wazee ambao wamekaa UN miaka mingi..wengi ni wale wenye shule zao. Na kwa sababu unashindana na watu wa mataifa mengine, kusurvive ni vyema uwe na shule ndefu. MAANA WENZETU HUKO MAJUU PhD siyo anasa..ni qualifications za kawaida.

Tuache old thinking kwamba ukisoma PhD basi wewe utakuwa mwalimu au hutapata kazi..my friend that kind of thinking is long dead! Kuna mashirika kama huna PhD ndugu yangu unajiona kabisa uko out of the system...utakuwa mtu wa kutegemea (affimative action ya waafrika kwenye kupandihwa vyeo) Unless if you only think Local basi PhD haina "maana" but if you think global? Ohhh PhD is the way to go. Naamini leo hata ukija kuomba kazi bongo serikalini..na PhD yako..Iam sure watakupa kazi tena ya maana. enzi za ukiwa na PhD eti hupati kazi..zilishakufa long time sana...

Kwa wale wenye nia ya kusoma PhD please do it! the rewards will be enormous. Utafanya kazi popote duniani if you want to. Na kama huna hiyo PhD siyo vyema kuwadiscourage wenzako. Watoto wa kizungu ukiomba kazi nao huko World Bank..mtu ana miaka 25 au 26 tayari ana PhD..wewe huyo miaka 40 hata masters ya kuunga unga..harafu unategemea kijana anyimwe kazi? By the way PhD speaks alot about inteleectual aptitude ya mtu..kumbuka hakuna shule ya experience.

Ofcourse PhD za kununua za akina Nagu and Co..HIZO tutazipinga mpaka kufa! Ila PhD kama ya ndugu yangu Kitila Mkumbo ambaye kaihangaikia..eti leo unasema haina maana? you must be kiding yourself!

Masanja,

Mashirika gani hayo? labda Tanzania. Wengine tuko kwenye very competitive and high skilled industry lakini haihitaji mtu uwe na Ph.D na hata wale wenye Ph.D hutasikia hata siku moja wakijiita Dr. Huwezi kujua wanazo labda mpaka awe rafiki au itokee kwenye mengineyo.

Ph.D ni muhimu sana kwenye vyuo vikuu na kwenye research institutions. Sio muhimu kabisa serikalini labda kama ni mshauri wa jambo fulani.

Mtu mwenye Ph.D aliyeisomea kikweli kweli ni hatua kubwa kwenye maisha maana inahitaji muda na commitment ya kutosha. Ndio maana hata kwenye jamii wana heshima yao. Ila hata hiyo World bank uliyoisema unaweza kuachwa mtu mwenye Ph.D na akachukuliwa mtu mwenye Masters. Inategemea unafanya kwenye nini.
 
Mfano: New Zealand hawatambui degree ya aina yoyote kutoka UDSM au University yoyote ya Tanzania.…

As we all know that, New Zealand, Australia, now UK and other countries (too many to mention) have very strictly policies on skilled immigration due to the fact that they want to protect their economy interest and their people. Hence they do research on each countries teaching quality at universities level and they state clearly on their immigration website what university and countries they accept degrees from. Ukienda kwenye some of these developed countries immigration websites find your country of original (Tanzania) then angalia university gani toka Tanzania zinakubalika. For New-Zealand none!
MwanaFA bongo flava ana advanced diploma ya Insurance(kama sijakosea) akakula MSc Finance coventr univ Uk....
Why do think watanzania wengi wanamaPhd na wanakosa kazi wakienda Abroad?
sasa wewe una Phd yako ya kulina asali nani akuajili?......
 
Kamala,Nchimbi, Mary Nagu,mahanga,Mathayo David,Dialo na wenzao wengi hawana udaktari wa digrii za uhakika ila uhuni tu.
inatakiwa wote wafutwe ubunge/uwaziri kwani wamedanganya wananchi (wapiga kura)kuwa wao ni madaktari.

Naric haihusiani na uhakiki wa vyuo vikuu sawa na TUC,Bwana Kamala aache kutuzuga ajiuzulu haraka sana na wapinzani watumie mwanya huo kuwaambia wapiga kura wa Nchimbi na group lote hili kuwa wamedanganywa na wabunge wao.
 
huyo Mwl Kichuguu alifundisha lini huko? na aligraduate UDSM lini? na alifanya post graduate wapi?

....duuuhh....wewe inaelekea una mataizo makubwa sana...hata kusoma ni mvivu....duuhh!!......haya hebu angalia hapa Mwl Kichuguu alivyokujibu........

Hebu fafanua una maana gani kusema kuwa New Zealand hawatambui degree za Tanzania. Mimi niliwahi kufundisha kwenye
School of Science & Engineering hapo University of Waikato,
New Zealand, nikiwa na degree ya UDSM.
 
Future Tanzania na wengine,

Tusiwe na mawazo mafupi. PhD ni shahada yenye heshima yake. Kama umeipata kihalali na umefanya yanayotakiwa kufanywa mpaka ukaipata, nakuhakikishia hutakosa kazi. Ni cheti chenye heshima sana. na kwa upande wangu mtu mwenye PhD yake namheshimu sana.

Hivi kweli wewe unataka kuniambia mwenye PhD yake na wewe mwenye degree yako moja au Masters muombe kazi World Bank..watakuchukua wewe yeye wamuache? Unless kweli hiyo PhD haina relevance hapo...lakini ukweli ni kwamba he stands better chances than you and me. mashirika kama World Bank au UN..ukiwa na PhD yako una uhakika kabisa kwamba career progression yako iko assured maana una uwezo wa ku-compete na wengine vizuri. Hata wakitaka kupunguza..wewe utakuwa wa mwisho (ofcourse PhD lazima ireflect na utendaji-lol). Ndo maana wazee ambao wamekaa UN miaka mingi..wengi ni wale wenye shule zao. Na kwa sababu unashindana na watu wa mataifa mengine, kusurvive ni vyema uwe na shule ndefu. MAANA WENZETU HUKO MAJUU PhD siyo anasa..ni qualifications za kawaida.

Tuache old thinking kwamba ukisoma PhD basi wewe utakuwa mwalimu au hutapata kazi..my friend that kind of thinking is long dead! Kuna mashirika kama huna PhD ndugu yangu unajiona kabisa uko out of the system...utakuwa mtu wa kutegemea (affimative action ya waafrika kwenye kupandihwa vyeo) Unless if you only think Local basi PhD haina "maana" but if you think global? Ohhh PhD is the way to go. Naamini leo hata ukija kuomba kazi bongo serikalini..na PhD yako..Iam sure watakupa kazi tena ya maana. enzi za ukiwa na PhD eti hupati kazi..zilishakufa long time sana...

Kwa wale wenye nia ya kusoma PhD please do it! the rewards will be enormous. Utafanya kazi popote duniani if you want to. Na kama huna hiyo PhD siyo vyema kuwadiscourage wenzako. Watoto wa kizungu ukiomba kazi nao huko World Bank..mtu ana miaka 25 au 26 tayari ana PhD..wewe huyo miaka 40 hata masters ya kuunga unga..harafu unategemea kijana anyimwe kazi? By the way PhD speaks alot about inteleectual aptitude ya mtu..kumbuka hakuna shule ya experience.

Ofcourse PhD za kununua za akina Nagu and Co..HIZO tutazipinga mpaka kufa! Ila PhD kama ya ndugu yangu Kitila Mkumbo ambaye kaihangaikia..eti leo unasema haina maana? you must be kiding yourself!


Massanja,
To be honest with you, I think you are kind of person who believes education is Civilization and simply because someone has a PhD then she/he knows everything na anaitaji heshima. Don’t get me wrong , Sijakataa PhD is a wonderful thing if you do it with passion on the subject however you cant do it without working experience.

I am not sure what you really understand about PhD but it is a hell of a job!

Also you said something very ridicule! PhD guarantees you a job. Please be reality maybe what you refer is in Tanzania. Let me tell you something Buddy, I have friends who went direct to do PhD etc with no working experience. One it took them so long because they had no practical side of subjects and two to-dates they still can’t get a jobs because of having no good CV than academic CV! Don’t forget they also went to the top 10 World rank university!

All I can say.. If someone wants to do PhD do for yourself and your family not for some heshima za kijinga za watanzania kuitwa DR also do it when is the right time and you have working experience.

Tanzanians are so intelligent but we luck work experiences which will help us to sustain global business culture.
 
Future Tanzania na wengine,

Tusiwe na mawazo mafupi. PhD ni shahada yenye heshima yake. Kama umeipata kihalali na umefanya yanayotakiwa kufanywa mpaka ukaipata, nakuhakikishia hutakosa kazi. Ni cheti chenye heshima sana. na kwa upande wangu mtu mwenye PhD yake namheshimu sana.

Hivi kweli wewe unataka kuniambia mwenye PhD yake na wewe mwenye degree yako moja au Masters muombe kazi World Bank..watakuchukua wewe yeye wamuache? Unless kweli hiyo PhD haina relevance hapo...lakini ukweli ni kwamba he stands better chances than you and me. mashirika kama World Bank au UN..ukiwa na PhD yako una uhakika kabisa kwamba career progression yako iko assured maana una uwezo wa ku-compete na wengine vizuri. Hata wakitaka kupunguza..wewe utakuwa wa mwisho (ofcourse PhD lazima ireflect na utendaji-lol). Ndo maana wazee ambao wamekaa UN miaka mingi..wengi ni wale wenye shule zao. Na kwa sababu unashindana na watu wa mataifa mengine, kusurvive ni vyema uwe na shule ndefu. MAANA WENZETU HUKO MAJUU PhD siyo anasa..ni qualifications za kawaida.

Tuache old thinking kwamba ukisoma PhD basi wewe utakuwa mwalimu au hutapata kazi..my friend that kind of thinking is long dead! Kuna mashirika kama huna PhD ndugu yangu unajiona kabisa uko out of the system...utakuwa mtu wa kutegemea (affimative action ya waafrika kwenye kupandihwa vyeo) Unless if you only think Local basi PhD haina "maana" but if you think global? Ohhh PhD is the way to go. Naamini leo hata ukija kuomba kazi bongo serikalini..na PhD yako..Iam sure watakupa kazi tena ya maana. enzi za ukiwa na PhD eti hupati kazi..zilishakufa long time sana...

Kwa wale wenye nia ya kusoma PhD please do it! the rewards will be enormous. Utafanya kazi popote duniani if you want to. Na kama huna hiyo PhD siyo vyema kuwadiscourage wenzako. Watoto wa kizungu ukiomba kazi nao huko World Bank..mtu ana miaka 25 au 26 tayari ana PhD..wewe huyo miaka 40 hata masters ya kuunga unga..harafu unategemea kijana anyimwe kazi? By the way PhD speaks alot about inteleectual aptitude ya mtu..kumbuka hakuna shule ya experience.

Ofcourse PhD za kununua za akina Nagu and Co..HIZO tutazipinga mpaka kufa! Ila PhD kama ya ndugu yangu Kitila Mkumbo ambaye kaihangaikia..eti leo unasema haina maana? you must be kiding yourself!

....duuuhh....wewe inaelekea una mataizo makubwa sana...hata kusoma ni mvivu....duuhh!!......haya hebu angalia hapa Mwl Kichuguu alivyokujibu........[/QUOTE]

Ogah!

nimekuuliza huyu kichuguu alifundisha Waikato university lini? maana tusiwe tunaonge vitu vya 90's 70's AMBAPO UDSM WAS WELL KNOW FOR ITS QUALITY.. NDIO MAANA NIKAULIZA ALIMALIZA DEGREE UDSM LINI NA ALIFANYA WAPI MASTERS MAANA THAT MATTERS AS WELL.. so miss/mr Ogah naomba uwe unafatilia maongezi sio kulipuka lipuka
 
Massanja,
To be honest with you, I think you are kind of person who believes education is Civilization and simply because someone has a PhD then she/he knows everything na anaitaji heshima. Don’t get me wrong , Sijakataa PhD is a wonderful thing if you do it with passion on the subject however you cant do it without working experience.

I am not sure what you really understand about PhD but it is a hell of a job!

Also you said something very ridicule! PhD guarantees you a job. Please be reality maybe what you refer is in Tanzania. Let me tell you something Buddy, I have friends who went direct to do PhD etc with no working experience. One it took them so long because they had no practical side of subjects and two to-dates they still can’t get a jobs because of having no good CV than academic CV! Don’t forget they also went to the top 10 World rank university!

All I can say.. If someone wants to do PhD do for yourself and your family not for some heshima za kijinga za watanzania kuitwa DR also do it when is the right time and you have working experience.

Tanzanians are so intelligent but we luck work experiences which will help us to sustain global business culture.

geez.......Guys......you see now?........... mshikaji wee andika unachokijua aisee na wala si vinginevyo........ni ushauri tu........
 
....duuuhh....wewe inaelekea una mataizo makubwa sana...hata kusoma ni mvivu....duuhh!!......haya hebu angalia hapa Mwl Kichuguu alivyokujibu........[/QUOTE]

Ogah!

nimekuuliza huyu kichuguu alifundisha Waikato university lini? maana tusiwe tunaonge vitu vya 90's 70's AMBAPO UDSM WAS WELL KNOW FOR ITS QUALITY.. NDIO MAANA NIKAULIZA ALIMALIZA DEGREE UDSM LINI NA ALIFANYA WAPI MASTERS MAANA THAT MATTERS AS WELL.. so miss/mr Ogah naomba uwe unafatilia maongezi sio kulipuka lipuka

.......Ndio maana anaitwa "Kichuguu".......au hata na hilo inabidi uelimishwe........duuh
 
Back
Top Bottom