Verting ipo. Waziri Nagu aliipata hiyo Ph.D wakati tayari ni Waziri. Naomba tutenganishe Ph.D fake na zile toka un accredited universities.
Sifa za kuwa Mbunge ni elimu ya angalau kidato cha 4. Sifa ya kuwa rais ni elimu (angalau) ya chuo kikuu. Amani Karume ameukwaa urais bila elimu ya chuo kikuu. Msomi wa Ph.D ya ukweli Zanzibar, Dr. Gharib Bilali alifnyiwa zengwe. Dr. Salim alipogombea naye alipigwa zengwe.
Huu ni udhibitisho tuu kuwa accademic credentials za viongozi wetu sio issue ndio maana JK ametulia kimya.
Tufike wakati tujiulize GPA ya Mkulu ikoje?. Kwa nini hakufanya Masters. Majibu ya maswali hayo yatathibitisha kwamba shule nene sio issue, issue ni kuwa mpiga domo mzuri wa kuinadi ilani ya uchaguzi kwa wananchi na CCM itaendelea kutawala milele!.