Mawaziri waghushi vyeti

Serikali ya kifisadi inatetea watenda maovu yote wakiwemo wakupuaji wa mabilioni ya walipa kodi wa Tanzania na hata waliogushi vyeti vya elimu yao. Watanyamaza kimya kama hawajui au kusikia juu ya kashfa hii nzito.
Mahanga yupo CDM sasa.
 
Siyo
Dr Nchimbi E
Dr Matayo David Matayo
Dr Mary Nagu
Dr Makongoro Mahanga
Dr Kamala D

Mbona wapo wengi is more than 4 waliofichwa majina hapo!!

hao siyo kweli miongoni mwao tunawajua wapi wamesomea PDH zao.andikeni mambo ya ukweli msiwachafue watu kwa chuki binafsi.
 
Verting ipo. Waziri Nagu aliipata hiyo Ph.D wakati tayari ni Waziri. Naomba tutenganishe Ph.D fake na zile toka un accredited universities.
Sifa za kuwa Mbunge ni elimu ya angalau kidato cha 4. Sifa ya kuwa rais ni elimu (angalau) ya chuo kikuu. Amani Karume ameukwaa urais bila elimu ya chuo kikuu. Msomi wa Ph.D ya ukweli Zanzibar, Dr. Gharib Bilali alifnyiwa zengwe. Dr. Salim alipogombea naye alipigwa zengwe.
Huu ni udhibitisho tuu kuwa accademic credentials za viongozi wetu sio issue ndio maana JK ametulia kimya.
Tufike wakati tujiulize GPA ya Mkulu ikoje?. Kwa nini hakufanya Masters. Majibu ya maswali hayo yatathibitisha kwamba shule nene sio issue, issue ni kuwa mpiga domo mzuri wa kuinadi ilani ya uchaguzi kwa wananchi na CCM itaendelea kutawala milele!.
Umekuwa mjinga siku nyingi bosi wangu
 
Ni mwenyekiti wa Chama kipi alizungusha sifuri a.k.a yai matokeo ya kids to cha sita.
 
Back
Top Bottom