Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,726
- 2,255
Mimi naona kama kuna tatizo sehemu fulani.....maana kama UK wanavitambua na sisi Tz hatuvitambui nini ni nini hapo??mbona napata kigugumizi kujau nani anasema ukweli na nani ana viwango sahihi???anyway inabidi tujiridhishe na viwango toka kwenye accredition office ndani ya nchi......ila vigezo vijulikane.maana nami nataka kusoma Masters yangu natafakuri nisije nikaingia mkenge
Mkuu Skills4ever, suala si kuwa hicho chuo "kinatambuliwa UK" bali kuwa kuwa kinatoa kitu cha maana.Hivi vyuo ni kama kampuni hewa ya kufua umeme ya Richmond, iliyosajiliwa sawasawa lakini inafanya kazi hewa.Vyuo vya aina hii huko nje vingi tu na unatoa pesa kidogo na unapewa hiyo PhD, mihuri ni kwa wingi tu.
Ukitaka kuwa weza wakupatie ingalau Professor mmoja wa chuo hicho na wakupe resume yake-HAKUNA.
Respectable learning dunia nzima wahadhiri wana mitandao inayojulikana katika fani mbali mbali.
Kwa kifupi hili li PhD la waziri ni fafa au linaelekea huko.