Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.
Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.
Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.
Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.
Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.
Ni hayo tu.