Mawakili wa Serikali kuweni makini sana kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Kumbe hawa akina Jumanne ndiyo walimbamkia meno ya Tembo yule mzee mstaafu, kumbe na wengine wameshasimamishwa kazi, na wengine akina Sabaya wameshafungwa.
Kwa hiyo hawa mashahidi wana mazoea ya kubambikia watu ushahidi.
Wakati wa Mahita baba wa Mahita wa sasa, huyu mtoto alikuwa wapi? kama alishakuwa polisi tayari si inawezekana alihusika katika suala la wale wa madini!
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Mbona tayari Taifa lishadhalilika !
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Jaji itabidi atumie nguvu nyingi kuunga mkono hoja za mawakili wake
 
Kumbe hawa akina Jumanne ndiyo walimbamkia meno ya Tembo yule mzee mstaafu, kumbe na wengine wameshasimamishwa kazi, na wengine akina Sabaya wameshafungwa.
Kwa hiyo hawa mashahidi wana mazoea ya kubambikia watu ushahidi.
Wakati wa Mahita baba wa Mahita wa sasa, huyu mtoto alikuwa wapi? kama alishakuwa polisi tayari si inawezekana alihusika katika suala la wale wa madini!
yote yanawezekana. Laana za baba zao ni hadi kizazi cha nne
 
Tunaposema Magufuli yupo kuzimu Jehenamu mnadhani huwa tuna vhuki binafsi?

Huyo jamaa alikuwa ni zaidi ya shetani alijukuwa anaipeleka nchi motoni, ila Mungu ni mwema amemuondowa bila umwagaji damu.

Kwakweli tunapaswa kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa hili.
Hata Membe leo kasema watanzania wanafuraha baada ya jiwe kudanja
 
Kutetea ukweli ni kitu rahisi sana lakini kuteta uongo hata ukiwa makini vipi watakushika tu. Ni ngumu sana kunyoosha uongo. ni rahisi kusema nilimwona mtu jana saa fulani na mahaala fulani hakiwa na fualani. Ukitunga uongo utashikwa tu maana kwanza ukisema ulimwona saa fulani ataleta shaidi na vidhibitisho kwamba kwa wakati huo hakuwa sehemu hiyo.
Ndio kawaida ya ukweli. Mawakili wa serikali wao wameshakula Advance hawajali matokeo ya kesi
 
Wenzako wako makini ku justify hukumu ambayo tayari iko magogoni inangojea kusomwa tu,hapo ni kama unampigia mbuzi gitaa. Hao wameahidiwa mamilioni ya fedha na vyeo hivyo interest ya nchi siyo kipaumbele chao.
Baada ya hapo akina kidando na akina Esther wanakula uteuzi wa ujaji
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Una umri gani mkuu?
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Mimi nipo nje ya nchi. Naomba nisiitaje hiyo nchi, lakini kuna magwiji fulani ya mambo ya intelijensia wa nchi hii wamepewa kazi maalum ya kufuatilia kila kinachoendelea kwenye hiyo kesi. Nimewashuhudia kama mara nne hivi kila session ya kesi inapoisha wanafunga ukurasa wa taarifa zao huku wakitikisa kichwa. Kinachorekodiwa hapa ni nchi yetu na vyombo vyetu vya dola. Naipenda nchi yangu sana. Ningekuwa na mamlaka ningeamuru kesi hii ifie ilipofikia maana inaanika uozo mkubwa wa nchi yetu hasa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na uongozi wa nchi kwa ujumla. Rais Mama Samia alianza vizuri, lakini anakoelekea sielewi kwanini haoni hatari mbele!
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Ugaidi huwa ni kifungo cha maisha ama kunyongwa..sasa wanataka Mh. Mbowe atiwe haiani kwanushahidi huu wa uto...

Kingai na timu yake pia walikosea sana kuandika scripts kiasi kwamba inawapa wakati mgumu sana mawakili wa Serikali kwenye re- examination.

So far timu ya utetezi ipo safi na inafanya kazi nzuri, yaani kama leo hukumu inaandikwa hamna kesi humo...mbowe na wenzake ni huru.
 
Mimi nipo nje ya nchi. Naomba nisiitaje hiyo nchi, lakini kuna magwiji fulani ya mambo ya intelijensia wa nchi hii wamepewa kazi maalum ya kufuatilia kila kinachoendelea kwenye hiyo kesi. Nimewashuhudia kama mara nne hivi kila session ya kesi inapoisha wanafunga ukurasa wa taarifa zao huku wakitikisa kichwa. Kinachorekodiwa hapa ni nchi yetu na vyombo vyetu vya dola. Naipenda nchi yangu sana. Ningekuwa na mamlaka ningeamuru kesi hii ifie ilipofikia maana inaanika uozo mkubwa wa nchi yetu hasa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na uongozi wa nchi kwa ujumla. Rais Mama Samia alianza vizuri, lakini anakoelekea sielewi kwanini haoni hatari mbele!
Hakuna atakayekwamini kwa kauli yako hii.
 
Basically, kesi hii inamchafua mama sana. Nahisi kuna watu waliitengeneza mapema kabisa ili kumletea doa ambalo ni sustainable. Well, mbowe siyo kwamba ni msafi.

Ni mchafu tu lakini timing ni mbaya sana. Mawakili wa mbowe seem to be very very good players katika hii game.

Mama angehangaika na maisha ya mwananchi maskini na kuachana na haya yanayomwangusha. Hawa wananchi maskini ni wabaya kuliko hata ugaidi wenyewe.

Kwa sasa wameshaanza kumsema vibaya kuhusu bei za vitu kupanda na maisha kuwa magumu. Nchi hii ni very complex.

Wanafiki wengi sana plus deep state na ule mfumo mwingine wa kidunia ambao pia ni hatari zaidi.
Nani msafi kuliko Mbowe?Wewe ni msafi kiasi gani.Mama umepotea njia
 
Natamani wale wabeba mabango wakakutane na mama huko huko mbele aliko.
Kila mmoja wetu abebe bango, sio tutegemee wati fulani ndio watubebee mabango
Wakimfunga Mbowe maandamano yaanze tuone kama watatufunga wote.
birdman2.png
 
Mashahidi wanakaangwa mithili ya dagaa kwabeseni la mafuta!! khikhikhiiikhiiikhiiiiiii.... Chya watu wanamaroho!! Unamvika mwenzio ugaidi... kweli??
 
Meko alikuwa zaidi ya shetani..
Mungu ni mwema sana, akalifyekelea mbali ..muuwaji mkubwa yule..
Wapi umewahi kuona mtu anakufa Nchi inalipuka kwa shangwe..?!
Kama inakuuma kajining'inize kwenye mti umfuate huko jehanam.
Mtamtukana JPM bure jililieni ninyi na watoto wenu kwa uasi wenu.Lazima mkono wa sheria
 
Ukaburu ni itikadi,si rangi ya mtu.. Hata mandela alifungwa kwa ugaidi...
 
Back
Top Bottom