Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
Kumbe hawa akina Jumanne ndiyo walimbamkia meno ya Tembo yule mzee mstaafu, kumbe na wengine wameshasimamishwa kazi, na wengine akina Sabaya wameshafungwa.
Kwa hiyo hawa mashahidi wana mazoea ya kubambikia watu ushahidi.
Wakati wa Mahita baba wa Mahita wa sasa, huyu mtoto alikuwa wapi? kama alishakuwa polisi tayari si inawezekana alihusika katika suala la wale wa madini!
Kwa hiyo hawa mashahidi wana mazoea ya kubambikia watu ushahidi.
Wakati wa Mahita baba wa Mahita wa sasa, huyu mtoto alikuwa wapi? kama alishakuwa polisi tayari si inawezekana alihusika katika suala la wale wa madini!