Mawakili wa Serikali kuweni makini sana kwenye kesi ya Mbowe na wenzake

Tunaposema Magufuli yupo kuzimu Jehenamu mnadhani huwa tuna vhuki binafsi?

Huyo jamaa alikuwa ni zaidi ya shetani alijukuwa anaipeleka nchi motoni, ila Mungu ni mwema amemuondowa bila umwagaji damu.

Kwakweli tunapaswa kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa hili.

Unaamini aliondoshwa na Mungu, basi kweli kuna miungu wengi!
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Sasa unasema wajitahidi kubumba kesi kwa akili? Nawe sijakuelewa
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Kuwaambia "KUWENI MAKINI" tu, mimi nadhani haitoshi na haiwasaidii kujua makosa yao kwa sababu mpaka hatua hiyo wenzako wanajua kila wafanyalo liko sahihi...

Nafikiri, ingekuwa jambo jema sana uchambuzi wako Prof Koboko ungejikita kwenye mapungufu yao na namna ya kurekebisha...

Au ndiyo kama wale wasemao, "...aaah, anajua makosa yake na kama hajui shauri lake....!!???"
 
Tunaposema Magufuli yupo kuzimu Jehenamu mnadhani huwa tuna vhuki binafsi?

Huyo jamaa alikuwa ni zaidi ya shetani alijukuwa anaipeleka nchi motoni, ila Mungu ni mwema amemuondowa bila umwagaji damu.

Kwakweli tunapaswa kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa hili.

Ntakua wa kwanza kutoa iyo sadaka.hakua mtu yule.roho mbaya alafu eti anatetea wanyonge
 
Kuwaambia "KUWENI MAKINI" tu, mimi nadhani haitoshi na haiwasaidii kujua makosa yao kwa sababu mpaka hatua hiyo wenzako wanajua kila wafanyalo liko sahihi...

Nafikiri, ingekuwa jambo jema sana uchambuzi wako Prof Koboko ungejikita kwenye mapungufu yao na namna ya kurekebisha...

Au ndiyo kama wale wasemao, "...aaah, anajua makosa yake na kama hajui shauri lake....!!???"
Na wewe,mpaka uambiwe??huoni makosa???
 
Basically, kesi hii inamchafua mama sana. Nahisi kuna watu waliitengeneza mapema kabisa ili kumletea doa ambalo ni sustainable. Well, mbowe siyo kwamba ni msafi.

Ni mchafu tu lakini timing ni mbaya sana. Mawakili wa mbowe seem to be very very good players katika hii game.

Mama angehangaika na maisha ya mwananchi maskini na kuachana na haya yanayomwangusha. Hawa wananchi maskini ni wabaya kuliko hata ugaidi wenyewe.

Kwa sasa wameshaanza kumsema vibaya kuhusu bei za vitu kupanda na maisha kuwa magumu. Nchi hii ni very complex.

Wanafiki wengi sana plus deep state na ule mfumo mwingine wa kidunia ambao pia ni hatari zaidi.
Kuna mambo matatu yanakuja mbele kwenye kesi hii, hasa hukumu

1. Hata kama serikali ya ccm itashindwa
Kwa uwazi kabisa,italazimisha
Mbowe afungwe,ikijua hakuna
Mamlaka itakayo wahukumu

2. Kuwahonga mawakili wa mbowe
3. Mawakili kutishiwa na serikali

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndiyo zaidi ya shetani kwa kuwauzia watz madawa ya kulevya ikiwemo vyeti feki. Huwezi kumsahau alichokufanya mpaka utakufa unamkumbuka tu. Mwenzako kazi alishamaliza wewe endelea kuhangaika tu.
Meko alikuwa zaidi ya shetani..
Mungu ni mwema sana, akalifyekelea mbali ..muuwaji mkubwa yule..
Wapi umewahi kuona mtu anakufa Nchi inalipuka kwa shangwe..?!
Kama inakuuma kajining'inize kwenye mti umfuate huko jehanam.
 
Lakini kwa wale wanaoamini kwamba hii serikali imepanga kumfunga Mbowe kwa njia yoyote ile je, tujiulize hii serikali itajihami vipi kiuchumi kutokana na ukweli kwamba wafadhili wao hawataunga mkono hatua hiyo?

Tunaona tu pale Sudan sasa hivi jinsi Jenerali Al Burhan alivyo na wakati mgumu hadi anamlamba miguu waziri mkuu aliyemuangusha akimuomba akubali kuongoza serikali mpya ya mpito na hii ni baada ya Marekani na World Bank kuiondolea Sudan ufadhili.

Sasa ndipo mimi ninapojiuliza, hii serikali ya kichovu ya Tanzania itahimili vipi mazingira magumu kama hayo ya kuondolewa ufadhili na ikumbukwe vema kwamba moja ya sababu zilizofanya Samia akataliwe na utawala wa Biden ni swala la hii "Kesi".

Ukweli ni kwamba kupanda kwa gharama ya maisha tunayo shuhudia sasa kwa kiasi kikubwa inasababishwa na kupungua kwa "The Donor Support" toka wakati wa utawala wa Magufuli hadi leo na inaonekana kwenye utawala huu wa Samia hali itakuwa mbaya zaidi kwa sababu amedanganywa aweke maslahi yake na chama chake juu ya maslahi mapana ya taifa. Tusubiri tuone.
 
Kama wakili Msomi ninaomba kuwashauri mawakili wa Serikali wakiongozwa na ndugu yangu Robert Kidando ambaye namheshimu sana, msifanye kazi kwa mazoea mtalitia taifa aibu.

Kuweni makini katika kufanya kila jambo mMhakamani kila hatua achaneni na mazoea, Ugaidi si kitu cha mchezo hamjui tu. Msichukulie poa kila kitu hata kama majibu ya hukumu mnayo ninyi.

Hawa Mawakili upande wa utetezi wako very careful na concentration yao ni kubwa mno kwenye hii kesi. Wapo tayari kwa lolote kuonesha dunia kuwa kesi hii ni ya kubumba na haina mashiko yeyote.

Sasa ninyi hamko makini mnazidi kuiweka wazi kesi hii ni ya namna gani. Hamuelewi kabisa kuwa kesi hii ni tofauti ziingine zilizowahi kutokea hapa nchini.

Hii kesi ina interests za watu wengi sana ndani na nje ya nchi msiwe wazembe. Msimpe Jaji kazi ya ziada kuhangaika na nyie.

Ni hayo tu.
Maagizo ya bibi ushungi
 
Wewe ndiyo zaidi ya shetani kwa kuwauzia watz madawa ya kulevya ikiwemo vyeti feki. Huwezi kumsahau alichokufanya mpaka utakufa unamkumbuka tu. Mwenzako kazi alishamaliza wewe endelea kuhangaika tu.
Alitaka kumaliza ushetani wake Sir God akampa red card! akarudi zake kuzimu ya ziwa la moto! Jamaa linaungua si mchezo!! Nyie vishetani vidogo vidogo hamna impact tena!
 
Kuwaambia "KUWENI MAKINI" tu, mimi nadhani haitoshi na haiwasaidii kujua makosa yao kwa sababu mpaka hatua hiyo wenzako wanajua kila wafanyalo liko sahihi...

Nafikiri, ingekuwa jambo jema sana uchambuzi wako Prof Koboko ungejikita kwenye mapungufu yao na namna ya kurekebisha...

Au ndiyo kama wale wasemao, "...aaah, anajua makosa yake na kama hajui shauri lake....!!???"
Kujikita kwenye makosa ya wanasheria wa serikali ni kazi ya ziada, kila mstari wao kuna tatizo, ataweza?
 
Kuanzia Shahid wa kwanza hadi wa 6, kula Shahid maelezo yake yanapishana na yale ya awali... utetezi wao ni typing error 🙄
 
Tunaposema Magufuli yupo kuzimu Jehenamu mnadhani huwa tuna vhuki binafsi?

Huyo jamaa alikuwa ni zaidi ya shetani alijukuwa anaipeleka nchi motoni, ila Mungu ni mwema amemuondowa bila umwagaji damu.

Kwakweli tunapaswa kumtolea Mungu sadaka ya shukrani kwa hili.
Umeongea ushuzi mkubwa.....
 
Meko alikuwa zaidi ya shetani..
Mungu ni mwema sana, akalifyekelea mbali ..muuwaji mkubwa yule..
Wapi umewahi kuona mtu anakufa Nchi inalipuka kwa shangwe..?!
Kama inakuuma kajining'inize kwenye mti umfuate huko jehanam.
Magu alitindua tigo yako!!.??
una hasira kisirani na chuki
 
Kumfanya kila mtu adanganye n kaz ngumu , Tuwaonee huruma hao wanasheria wa cri-kali maan kuufany uongo uonekan ukwelii dah


FB_IMG_1636088386825.jpg
 
Back
Top Bottom