Maumivu ya moyo....!!!

Maumivu ya moyo....!!!

Kaka polee saana..ila ulifanya kosa kumuamini rafiki yako hadi kwa manzi wako..

[HASHTAG]#kaeni[/HASHTAG] chini muongee na mjue wapi mlikosea..!!
ametomb.w.a mnaongea nini sasa hapo mkuu?? aanze kusimulia jamaa anayompiga mpini au?? binafsi moyo huo sina!!
 
Inauma sana...
Mungu atakupa nguvu na ujasiri...

Ili ajue unajua anachokifanya... Tell her alafu stay positive...


Cc: mahondaw
 
Jamaa bado analewa au.. Au Bidada yeye ndiyo Financer nini... Jamaa kakubali kuwa mpole
 
Helw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me.
Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendan nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one. Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a larget step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have. Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu this is what I found ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....View attachment 531363View attachment 531364View attachment 531365
Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa.tumekua watu wazima. Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
Mwanangu pole sana, ila temana naye mungu atakupa mwanamke mwingine atakaye kupenda kwa dhati .
 
Achana nae!! Hacra hasara, sajili mchezaji mwengine mechi iendelee
 
mi nakushauri usiachane naye kwanza, maana ukimwacha hapa kati hiyo hali itakuwa mno smooth afu ataendelea na huyo jamaa kwa uhuru zaidi UTAKUJA KUJINYONGA BURE.

Usimwache tena, ongeza mapenzi ya kuigiza kaa naye karibu, usionyeshe dalili yoyote.

Wakati huo...,
1. mtafutie huyo jamaa adhabu inayomstahili, kama alikuwa anajua kuwa huyo ni demu wako afu yeye akaendelea hivo hivo kipimo ni chako

2. tafuta alternative yake kwanza. hata kama ni temporary.

3. mfukuze huyo, kwa kumshusha heshima, kipimo ni chako.

make sure baada ya kuachana naye haendelei tena na huyo jamaa, narudia tena make sure haendelei tena na huyo jamaa kwa afya yako.

Endelea na maisha yako. hakustahili wewe.
Kisasi uh!!!!
Not good.
 
Ingekuwa imekuuma usingeweza kupost humu jf. Saivi ungekuwa central unashikiliwa kwa moja au zaidi ya makosa yafuatayo:
1. Shambulio la kudhuru mwili
2. Kupiga mtu kichwani kwa kitu kizito/ncha kali
3. Attempted murder
4. Murder
5. ALL THE ABOVE

Wanaume wengine mnauaibisha uumbaji wa Mungu.
 
Unaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..

Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?

Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo
Mkuu kula like ya nguvu
 
Brother hizo issue za kawaida sana shukuru Mungu kuwa umeona kabla hujamuoa maana Mungu amekuonyesha mapema kuwa huyu sio wako...no need ya kujistress sababu kuna watu kwenye maisha yetu wanakuja kwa ajili ya kutufunza jambo ili lifuatalo tujirekebishe..funzo lako hapa ni usimuamini rafiki au mtu yeyote kwa 100% na pia mwanamke hasa ambaye hujamuoa bado yawezekana usiwe peke yako kwenye mahusiano sababu naye anachagua bado. Nakushauri achana na huyo mdada sababu kacheat na mshkaji wako kabisa which is very bad...muache na mueleze sababu bila kumwambia umeona msg ila mshkaji usimuambia kula bati atajadiliana na demu wake sababu wanaume huwa hatugombanii wanawake hasa madem wasio wake zetu.
 
Mimi kilichonichosha hapa ni rafiki na mtu uliyekuwa unamchukulia as a good friend /broher.

Jamani wasichana /wadada acheni kufanya hivi.
I am not supporting immorality behaviours but, its better if she would have done with a guy who is not a friend of her boyfriend.

Its pathetic.
 
Pole sana mkuu lazima eid uione chungu usikague simu ya mwenzio ungemaliza tu kilichokupeleka mengine ungeachana nayo angalia sasa hapo unaweza kufwa ujue
 
Hapo wa kulaumiwa ni mdada. Ningelikuwa mimi hayo mahusiano yangeishia hapo na huyo jamaa alotembea nae nisingemwambia chochote wala kumfanya lolote. Shukuru mungu kwa kila jambo umeepushwa na mengi.
 
Unaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..

Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?

Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo

Mkuu wewe ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom