Maumivu ya moyo....!!!

Maumivu ya moyo....!!!

Unaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..

Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?

Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo
kuto...mba..na wato...mb...ane wao halafu uwafanyie na sherehe na usawa huu wa msema kweli mpenzi wa mungu ...mimi hapana nikumpa live tu asepe aende kwa huyo anayemridhisha
 
Aiseeeee japo sio mimi lakini mapigo ya moyo hapa yananienda mbio,nimejisikia vibaya sana.

Pole sana mkuu,jikaze na chukua uamuzi stahiki.
 
Hata mwanaume never trust anyone in dis world watu yamekuwa mapretender kama nin mmi niliona bora nimtumikie Mungu tu ndo anaweza nipuuzea moto sku ya kuna kwangu ila sio mtu mwenye miguu miwilo
Na kwa mambo kama haya ndio tunazidi kuwachukia ni kula na kusepa tuu ndio kazi iliobaki,
 
Pole sana ni mama careen au mwingine? Kuchapiwa kunauma jamani khaa alafu kwa mwanaume walah!! Njoo tunywe tu upoteze maana ukiendekeza stress utajikuta segerea...
 
Pole sana mkuu. Tuliza kichwa na moyo usijepata vidonda vya tumbo huyo Binti hakufai.

Leo unaumia na itachukua muda lakini utapona na kusahau na maisha yataendelea atakuja mwingine atakayekuwa tulizo lako ambaye anastahili upendo na uaminifu wako.

Time is the best healer.
 
Nimerud tena baada ya kusoma maoni ya wenzangu..kumwacha ilihali umejua kila kitu ni jambo moja ila kumwacha huku unaendelea kumkumbuka ni jambo lingine,

Nilisema mwite sehem yenye ushahid wakiwa na yule jamaa bila wao kujua ulichopanga,then hakikisha jamaa anakuja na mtu wake,halaf hakikisha unakua na mtu aliekua anajua mahusiano yake,waambie huku ukitabasam,unaumia sana ndio tena sana tu,onyesha plastic smile kwa wakat huo,toa ushahidi wote hadharan,kaa waambie kwa utaratib kua umeamua kuwaacha waendelee na mapenz yao,tena mshukuru kwa good time mliyoshare pamoja,usirushe tusi lolote wala ngumi,tulia na uwaage kwa bashasha kabsa,hiyo ndio adhabu kuu kuliko adhabu zote,watateseka sana kulko wewe,maana yeye ndio ameamua kukuacha ila sio wewe,chanzo cha mahusiano yenu kutoweka ni yeye so japo utamtamkia wewe kua nmekuacha ila yeye ndio alianza kutoka nje na rafik yako unaemuamini na kumuheshimu,wataumia sana kwa kwel,watateseka na dhambi hyo kulko wewe mara mia...pole tena ndugu
 
kuto...mba..na wato...mb...ane wao halafu uwafanyie na sherehe na usawa huu wa msema kweli mpenzi wa mungu ...mimi hapana nikumpa live tu asepe aende kwa huyo anayemridhisha
Usithubutu kumwacha mtu kwa hasira,unaacha kwa sherehe kabsa ila wajue maumivu yako na furaha yako
 
Utoe adhabu kwani umeoa? Au umetoa barua? Unajulikana kwao kisheria?
Unataka utoe adhabu afu umuache au uendelee nae? Una ujasiri wa kumuacha?
Kwa kifupi wanawake wengi tu hawawezi kutulia kwenye mahusiano kwa na mtu mmoja muhimu ni hsshima tu.
Kama unaweza kumuacha muache bila adhabu na kama huwezi kausha tu kama hujaona kitu.
Wanawake ndivyo walivyo na usingeona hiyo kitu usingehisi chochote.
Fanya maamuzi ya busara
Mhh Huyu Mtoa Comment mbona kama Mshikaji aliyekuwa anamtafuna huyo Demu... Siyo kwa Comment hii.. Kumbe anawajua kiundani haswa mumeona hii comment?
 
Helw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me.
Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendan nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one. Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a larget step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have. Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu this is what I found ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....View attachment 531363View attachment 531364View attachment 531365
Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa.tumekua watu wazima. Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
Pole sana mkuu ndio wanawake walivyo, usidhani ukimwacha utapata bora kuliko yeye!

Hebu jiulize kati ya wanawake uliowahi kua nao hukuwahi kuduu na mke wa mtu, mchumba au mpenzi? Kama ndio basi chukulia kawaida samehe maisha yaendelee,
Pia kumweleza ukweli ni muhimu sana ajue uchafu wake, na kama bado hamna mtoto haraka sana mtie mimba na umwambie tutaenda pima damu ili aogope kukusakizia mimba isio yako!
Pia kama mna mipango ya ndoa potezea na achana na hiyo Habari maana hawa ukishajilock kwao na ndoa wanakua wajeuri sana, unampa moyo tuu soon tutafunga lakini huna mpango huo,
Kujua kwako hakujakufanya umjue tabia yake tuu bali kumekufanya ujue mubashara tabia za wanawake zilivyo, pia usisahau kujikumbusha kua kama tatizo ni wewe basi kila mwanamke utakaekua nae atakua kama huyo!
 
Unajipa pressure bure mkuu, tupo ktk nchi ya ujamaa
 
Nenda katafute dada poa and then panga naye deal.Mpeleke kwako na muite mchumba wako chumbani na funga chumba halafu muonyeshe hizo swaga zake kwenye simu na rafikiyo na umwambie unamgegeda huyo dada poa live akishuhudia anavyokojoleshwa mapema.
 
Hii kauli "nina mpenzi wangu napendananae sana" futa kwanza, hauko sahii, kile ukiwazacho sicho akiwazacho mwenzio.
Ushauri. Mwanaume wa kweli hufikiri zaidi kuhusu maisha sio Wanawake, fanya maamuzi ya busara ya hali ya juu na yatageuka hazina ktk maisha yako huku yakiwa kaa la moto mioyoni mwao kila wakuonapo au wakukumbukapo.
Wakutanishe sehemu tulivu ya kinywaji au msosi, kila mtu aagize apendacho, lipa bili yote, mkisha kula au kunywa, waonyeshe ushahidi wako wote.
Wambie umewasamehe bure wawe huru.
Wewe jikite kutafuta maisha yako bila kuwafikiria na hutopungukiwa na chochote. Kuwaza kuwatenda unyama ni kuvuruga maisha yako pasipo na sababu ya msingi, hili halijajitokeza kwa bahati mbaya, amini ni mipango ya Mungu kukuepusha na mtu asiesahihi ktk maisha yako ya ndoa.
 
Nayahisi maumivu yako, nakumbuka swala la kusalitiwa na rafiki aliekuwa kama ndugu kwa msichana niliyempenda kwa dhati sana mwaka 2013. Nililia, nilisikitika, nilisononeka sana! Ila jamaa hakuwa na time wala msichana hakuwa na time na mimi. Nilikubali, nikainuka nikajikongoja nikaondoka.

Sikuwahi kumtukana jamaa wala kumtukana yule binti. Ningekusihi tu ndugu, jikaze, jipe moyo, jipe muda haya yote yataisha.
 
Back
Top Bottom