Hahahaaaaa kumbe upo, muda sijakuona mamaa!!why dear?
sikukuu hii nilikuwa nimekumbatiwa kitaa na RRONDOHahahaaaaa kumbe upo, muda sijakuona mamaa!!
Mkuu jela pabaya muepuke shetani, unaweza sana tu kuishi bila yeye maana ulikuwa na maisha kabla yake. Chukulia hii kama mtihani na daraja la kukukomaza tu maishani. Ukubwa sio kukimbiza miaka na kuvunjia viwembe kidevuni tu, bali kuweza kukabili hali kama hizi hapa kwa uthabiti. Likuepukalo lina kheri nawe, mshukuru Mungu kakuonesha SHETANI ambaye wewe ulipanga kabisa kumfanya sehemu ya maisha yako na hakika ungejuta kuliko ulivyoumia na hili. Songa mbele huku ukiamini wewe ni imara sasa kuliko jana, wa kwako alishapangwa na Mungu just let this go.Helw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me.
Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendan nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one. Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a larget step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have. Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu this is what I found ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....View attachment 531363View attachment 531364View attachment 531365
Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa.tumekua watu wazima. Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
Pole sana.. mwache mwanamke na mwambie kila kitu ili ajue usalit wake..lkn pia mchane jamaa akoHelw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me.
Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendan nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one. Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a larget step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have. Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu this is what I found ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....View attachment 531363View attachment 531364View attachment 531365
Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa.tumekua watu wazima. Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
Mkuu unajiuliza nn akat sio mkeo wa ndoa ???? ....andaa mgegedo mmoja wa mwisho wa kibabe tena cheza kama wanao ekti pono Yale manigga then piga chini

Hapana usilipe ubaya kwa ubaya muendelezo wake ni mbaya. Mungu anajua kwanini alimwonyesha arekebishe hiyo simu ndio akaona sms. Funzo kubwa sana hiliDah sms tu mimi nimepagawa sasa jee huyo aliyefanya uuuwi mimi pia nimesikia wivu huyo niwakuloga afe
Pole sana mkuu
Tena asuuze tigo kabsaMkuu unajiuliza nn akat sio mkeo wa ndoa ???? ....andaa mgegedo mmoja wa mwisho wa kibabe tena cheza kama wanao ekti pono Yale manigga then piga chini
Nimeipenda hii mbinu yan imekaa kisaikolojia zaidUnaumia sana,una maumivu ambayo yanakufanya ufikirie mbalii sana,unafikiria labda wewe una tatizo au labda humkidhi haja zake,au kuna something ana kimiss kwako,bt kiukwel unaumia,,pole sana..
Sasa wewe mwenyewe hujui cha kufanya bt je ushauri upi haswa unaotaka kutoka hapa jukwaani??? Je unataka kusikia unachokiwaza wewe kuhusu kumwacha au unataka tukupe ushauri kwa jinsi tunavyoona wanajamvi?
Kama mm ingekua ni wewe,kwanza ningeumia kias ila sio sana,na ningemshukur Mungu kwa kinifunulia nisilokua najua,na pia ningejitahid kukaa kimya kwa siku nzima bila kuchukua uamuz wwte,then natafuta muda mzr wa kupanga apointment ya jamaa,demu wako na km jamaa ana mke unamwambia aje nae kabisa,na ndugu yako anaemfaham shemej yke vzr,,mnakaa mnaandaa chakula na vinywaji,mnapoanza kula tu,unatoa ushahid wte hadharan,halaf unawaambia kila kitu,nimewasamehen na kuanzia leo we mwanamke mapenz yetu yamefika mwsho,na wewe brother nmekusamehe ila mungu atanilipia,then unasema haya tuendelee kula. Ila hakikisha kwamba unaacha kwel kwel,na uache kwa tabasam bila kuonyesha chuki,then baada ya mwez uone km hawajakonda...na kitakachowakuta wataomba pooo