kaka kuokoa maisha yako ni wajibu wako wa kwanza kabisa, kwanza mie siwezi kukaa bar ambayo kuna jamaa kalewa afu anatoa chuma anakisafisha safisha pale mezani kisha kukirudisha kiuononi, hapo ni fastaa lipa bill sepa...Suala siyo kijiwe chake wala mkewe, mara madeni mara kutisha watu. Kuwalaumu hao waliokimbilia vyumbani kuokoa maisha yao.
Si kila mtu anaweza kukabiliana na tukio la hatari tena lenye kuhusiana na silaha ya moto, hawapaswi kulaumiwa hata kidogo.
Mkuu umenichekesha, itakuwa ni Tiss bandia huyoTISS aliyekimbia atafutwe na anyongwe.
Sijui kwa Tanzania lakini Ulaya ukienda bar yoyote ukiwa umelewa chakari hakuna anayekuuzia pombe. Hata ukiwa bar na ukanywa kupitiliza na kuanza kusinzia au kuyumba yumba unatolewa nje fasta. Nchi nyingi ndivyo ilivyo. Tanzania inawezekana kusiwe na sheria lakini ni vizuri sana kutoamuuzia mtu aliyelewa kupindukia pombe. Hoja za mwanzisha thread zina mashiko kabisa. Hatua zilitakiwa kuchukuliwa mara alipoanza kutoa silaha mara kwa mara huku amelewa.Umeandika nini sasa? Yani hapa unakuja na nadharia za kiduanzi kweli. Hivi ni sheria gani inasema mtu akija kwenye bar yako akiwa ameshalewa usimuuzie pombe?
Sheria inakataza usiuze kwa underage tu. Hata haikatazi kunywa kupita kiasi, kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo.
Una hoja nzuri sana japo kuna watu wanakebehi. Mmiliki/msimamizi wa Bar mwenye busara hatauza kilevi kwa mtu ambaye tayari yuko chakari. Na pia kama ulivyosema, hatua za kuita polisi zilitakiwa zichukuliwa mara alipoanza kutoa toa silaha yake huku amelewa.Mauaji yaliyotokea hivi karibui katika eneo la Sinza ndani ya Lemax Bar yaliyosababisha vijana wawili kupoteza maisha baada ya marehemu aliyekuwa anamiliki bastola huku akifanya mambo ambayo ni kinyume na kanuni na tataratibu wa umiliki mpaka kufikia kitendo cha kuua na kujiua
Kwanza nianze kwa kutoa uhalisia kuwa mimi sikwepo katika eneo la tukio ila naandika kwa kutumia shuhuda mbalimbali zilitolewa na watu
Bora umenielewa mkuu , kuna walevi wabishi sana humu jamii forumSijui kwa Tanzania lakini Ulaya ukienda bar yoyote ukiwa umelewa chakari hakuna anayekuuzia pombe. Hata ukiwa bar na ukanywa kupitiliza na kuanza kusinzia au kuyumba yumba unatolewa nje fasta. Nchi nyingi ndivyo ilivyo. Tanzania inawezekana kusiwe na sheria lakini ni vizuri sana kutoamuuzia mtu aliyelewa kupindukia pombe. Hoja za mwanzisha thread zina mashiko kabisa. Hatua zilitakiwa kuchukuliwa mara alipoanza kutoa silaha mara kwa mara huku amelewa.
Mkuu nadhani wengi walikuwa wanafiria hawezi kupoteza network mpaka aue kirahisi namna hiyo. Unajua sasa hivi ni kwa sababu tukio limeshatokea ndiyo maana tunaona makosa kwa urahisi. Wengi walidhani ni ulevi tu na asingeweza kufika hatua ya kuua.Mkewe ingetakiwa amu report anyang'anywe hyo bastola maana alikuwa anajulikana tabia yake ya ukorofi. Ona Sasa kaacha familia yatima na sisi wanawake ujasiri wa kuwa na wagonjwa wa akili huwa tunautoa wapi aisee
Yatupasa kuwalinda watu wanaokengeuka tusichukulie poa tu kwa kweli, bastola yataka mtu asiye na mihemko ya hovyo hovyo.Mkuu nadhani wengi walikuwa wanafiria hawezi kupoteza network mpaka aue kirahisi namna hiyo. Unajua sasa hivi ni kwa sababu tukio limeshatokea ndiyo maana tunaona makosa kwa urahisi. Wengi walidhani ni ulevi tu na asingeweza kufika hatua ya kuua.
Mkuu umenichekesha, itakuwa ni Tiss bandia huyo
Baa zipi una maanisha?Kwani kwenye mabaa siku hizi hakuna kukaguliwa wakati wa kuingia ndani.
Labda kama huwajui polisi wa tzHaujanielewa nasema hivi , hawa jamaa tayari walishaona dalili za hatari walitakiwa kufanya juhudi za kutoa taarifa mapema katika mamlaka za usalama ili kumuweka marehemu katika mikono salama , kwa maana hiyo isingefikia hatua ya kukimbilia vyumbani....
barBaa zipi una maanisha?
Huyo kama kweli ni TISS alitakiwa aepushe mapema tu hayo mauaji.Mkuu umenichekesha, itakuwa ni Tiss bandia huyo
Umeandika nini sasa? Yani hapa unakuja na nadharia za kiduanzi kweli. Hivi ni sheria gani inasema mtu akija kwenye bar yako akiwa ameshalewa usimuuzie pombe?
Sheria inakataza usiuze kwa underage tu. Hata haikatazi kunywa kupita kiasi, kuambiwa usinywe kupita kiasi ni unatahadharishwa tu wala sio katazo.