Mauaji yaliyotokea hivi karibui katika eneo la Sinza ndani ya Lemax Bar yaliyosababisha vijana wawili kupoteza maisha baada ya marehemu aliyekuwa anamiliki bastola huku akifanya mambo ambayo ni kinyume na kanuni na tataratibu wa umiliki mpaka kufikia kitendo cha kuua na kujiua
Kwanza nianze kwa kutoa uhalisia kuwa mimi sikwepo katika eneo la tukio ila naandika kwa kutumia shuhuda mbalimbali zilitolewa na watu mbalimbali juu ya scenerio ya tukio zima
Kwanza nianze tu kwa kusema hata kama ni biashara yaani kupata pesa ilikuwa siyo vyema kumuuzia pombe kwa mtu ambaye amekunywa usiku mzima nje ya eneo lako kisha kuja katika bar nyingine akiwa amelewa alafu wewe mmiliki wa bar bado unaendelea kumuuzia wakati unaona huyu binadamu ameishalewa hili nalo ni jambo lakini pia ni chanzo cha mauaji mwenye bar ahojiwe vizuri ili next time awe na akili juu ya biashara yake
Pili ni kwa watu wengine waliokuwa hapo bar wakiendelea kunywa katika mazingira hatarishi , nao walikuwa na uwezo wa kuzia hayo mauaji, kwa mfano marehemu mmiliki wa bastola pale alipoanza kutoa bastola yake huku akiwa na wenge la kilevi basi wale jamaa wengine kwa haraka walitakiwa kutoa taarifa polisi ili waje kumkamata na kumaliza jambo nasema wale waliokimbilia vyumbani hawakutakiwa kukimbia ila walitakiwa kutoa taarifa mapema tu ili jambo liishe mapema
Tatu ni kwa huyu afisa wa serikali ambaye inasemekana ni usalama wa taifa sijui ni wa kikosi gani huyu jamaa mana sijamuelewa, binafsi naona huyu usalama nae ni feki tu, tunaposema usalama maana yake ni amani
Sasa tujiulize ni afisa gani wa usalama unaeona sehemu uliyopo haina usalama alafu upo upo tu kama vile haujui majukumu yako? Hata kama yeye majukumu yake hayausiki kukamata mtu wa namna hiyo alishindwa nini kutoa taarifa kwa mamlaka zingine zikaja kumkamata?
Tunalaumu tukio kutokea lakini tunamlaumu marehemu ila hata wale wote waliokuwepo katika tukio nao ni sehemu mauaji hayo.
Mwisho
Pia soma:
Kwanza nianze kwa kutoa uhalisia kuwa mimi sikwepo katika eneo la tukio ila naandika kwa kutumia shuhuda mbalimbali zilitolewa na watu mbalimbali juu ya scenerio ya tukio zima
Kwanza nianze tu kwa kusema hata kama ni biashara yaani kupata pesa ilikuwa siyo vyema kumuuzia pombe kwa mtu ambaye amekunywa usiku mzima nje ya eneo lako kisha kuja katika bar nyingine akiwa amelewa alafu wewe mmiliki wa bar bado unaendelea kumuuzia wakati unaona huyu binadamu ameishalewa hili nalo ni jambo lakini pia ni chanzo cha mauaji mwenye bar ahojiwe vizuri ili next time awe na akili juu ya biashara yake
Pili ni kwa watu wengine waliokuwa hapo bar wakiendelea kunywa katika mazingira hatarishi , nao walikuwa na uwezo wa kuzia hayo mauaji, kwa mfano marehemu mmiliki wa bastola pale alipoanza kutoa bastola yake huku akiwa na wenge la kilevi basi wale jamaa wengine kwa haraka walitakiwa kutoa taarifa polisi ili waje kumkamata na kumaliza jambo nasema wale waliokimbilia vyumbani hawakutakiwa kukimbia ila walitakiwa kutoa taarifa mapema tu ili jambo liishe mapema
Tatu ni kwa huyu afisa wa serikali ambaye inasemekana ni usalama wa taifa sijui ni wa kikosi gani huyu jamaa mana sijamuelewa, binafsi naona huyu usalama nae ni feki tu, tunaposema usalama maana yake ni amani
Sasa tujiulize ni afisa gani wa usalama unaeona sehemu uliyopo haina usalama alafu upo upo tu kama vile haujui majukumu yako? Hata kama yeye majukumu yake hayausiki kukamata mtu wa namna hiyo alishindwa nini kutoa taarifa kwa mamlaka zingine zikaja kumkamata?
Tunalaumu tukio kutokea lakini tunamlaumu marehemu ila hata wale wote waliokuwepo katika tukio nao ni sehemu mauaji hayo.
Mwisho
Pia soma: