emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,237
Hizi pombe tunakunywa tu, ila sio nzuri na kuacha hatuwezi, Tuombe tu Mungu atupe Hekima tukishalewa...Wanasemsa kijiwe hicho ndiyo cha jamaa...so wengi wanamjua mzee wa misifa sifa..
Alikuwa anadaiwa laki sita ya ulevi wakamdai hadi mkewe akaja kulipa...jamaa akamaindi nani kamdai mkewe? ndiyo akaenda na chuma kusafisha jina
So wamgeona jamaa hayupo sawa wangemtonya mkewe aje kumchukua au police..maana jamaa katishatisha watu muda mwingi tu.