The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Naomba wazazi na walezi kama mimi tukumbushane kuwaelimisha watoto wetu wa kiume na hasa wa kike kuhusu mazingira hatarishi ya kupelekea unyanyasaji wa kingono au ubakaji.
Nimeona mada kule twitter mabinti wengi wakieleza namna walivyobakwa na kuwataja wabakaji wao na kutaka wachukuliwe hatua.
Ni jambo jema kabisa kwa mtoto wa kike kuja hadharani na kutamka wazi kuhusu alivyobakwa au alivyonyanyaswa kingono na kuwataja wabakaji.
Malalamiko ya kubakwa yametolewa hasa na wanafunzi waliosoma shule za mtaala wa Cambridge. Binafsi nilidhani ni kwenye hizi shule zetu za kata.
Je, ni kwanini matukio ya ubakaji yanazidi kuongezeka?
Nimeona mada kule twitter mabinti wengi wakieleza namna walivyobakwa na kuwataja wabakaji wao na kutaka wachukuliwe hatua.
Ni jambo jema kabisa kwa mtoto wa kike kuja hadharani na kutamka wazi kuhusu alivyobakwa au alivyonyanyaswa kingono na kuwataja wabakaji.
Malalamiko ya kubakwa yametolewa hasa na wanafunzi waliosoma shule za mtaala wa Cambridge. Binafsi nilidhani ni kwenye hizi shule zetu za kata.
Je, ni kwanini matukio ya ubakaji yanazidi kuongezeka?