Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Mabomu ya machozi yanarindima igunga, ffu inamwaga upupu wa mabomu namaji yakuwasha.
 
i propose electronic voting for 2015,mambo ya biometrics tu,tuone kama watapigisha kura marehemu!

hata hapo bado kazi ipo kama watz wameshakata tamaa ya maisha kuna kazi ya kumtoa mtu kwenye hali aliyonayo na kumuweka kwenye hali nzuri hata siku moja sitakaa niamini kwa vituo cdm inaongoza kwa ujumla wamepitwa kwa kura kibao..
tanzania ni nchi ya watu waliokata tamaa ya maisha kitendo cha mtu kujitolea kukukomboa kwenye hiyo hali ni bora akalime shamba lake tu ili maisha yaende..
 
Mpaka sasa jumla kuu ya vyama viwili vinavyochuana kwa karibu ni kama ifuatavyo:CHADEMA=22443 wakati ccm ikiwa na jumla ya kura=26266,Maelezo zaidi ya data tembelea hapa.http://u-turn.co.tz.
 
kweli hapo nakusoma mkuu, hututakiwi kusubiria hata juma moja ili kujikomboa, yatupasasa kufanya hivyo leoleo.
Ila kitu tunachoanza kuona ni hali iliyo wazi ya Watanzania kuanza kukiamini chama mbadala, inatia moyo japo tumechelewa. Kuna watu miaka ya 80 walitaka kumpindua Mwalimu (do not take this seriously) lakini yawezekana walishaona tatizo la nchi hii tangia wakati huo japo approach waliyotumia ndiyo wengi tunai-question!
Ukeli ni kuwa ccm wanatumia gharama kubwa kuhonga wapiga kura na kuchakachua ambapo gharama zilezile zingelitumika kuleta maendeleo watu wangeliwaamini bila hofu!
hata hapo bado kazi ipo kama watz wameshakata tamaa ya maisha kuna kazi ya kumtoa mtu kwenye hali aliyonayo na kumuweka kwenye hali nzuri hata siku moja sitakaa niamini kwa vituo cdm inaongoza kwa ujumla wamepitwa kwa kura kibao..
tanzania ni nchi ya watu waliokata tamaa ya maisha kitendo cha mtu kujitolea kukukomboa kwenye hiyo hali ni bora akalime shamba lake tu ili maisha yaende..
 
vyovyote itakavyokuwa, ni somo tosha kwa magamba na 2015 tunalibeba hilo jimbo
 
  1. Hii imekaaje mgombea ubunge kutopiga kura katika jimbo lake? Tume ya uchaguzi ina utaratibu gani katika kuhamisha haki ya mgombea kutoka jimbo jingine kwenda kupigia kura jimbo analogombea? Mkanganyiko huu unatakiwa kufanyiwa kazi na tume hali kadhalika katiba ya nchi.
Nasikia hata Rais wa Zanzibar wa sasa naye hakupiga kura mwaka jana huko Znz. Kwani hakujiandikisha kule
 
Kila mmoja anatoa matokeo anayoyataka, wengine wanaongea hivi wengine vile Nape Nnauye ametangaza ushindi halafu akaukana. Regia mtema kampa hongera mzee wa wake za watu na chama chake. BBC wamesema matokeo mpaka saa sita mchana. CCM wametangaza ushindi tangia asubuhi.

Je huu ndio utaratibu? Je wananchi wapiga kura wa Igunga hawana haki ya kuujua ukweli.

Mtu yeyote awe mbunge, kiongozi wa chama au serikali anayeleta uzushi ni hayawani na hafai kuongoza hata ngedere. Wananchi waliacha shughuli zao wakakaa kwenye foleni ili kumchagua mtu wanayetaka awaongoze. Hawakufanya hivyo ili kuleta masihara bali walikuwa na nia dhabiti na ya dhati. Kuendelea kuwadhihaki bila kuwapa majibu stahiki ni uhayawani na uhuni mkubwa.

Tunataka matokeo sio vibwagizo wala siasa za vichochoroni.
 
Bado but jaribu kubofya kwenye hiyo link ya u-turn kwa dodosa za wazamivu ndo inasemeka mambo yalivyokuwa,By the way tusubiri saa9.00 Alasiri tusikie wataleta habari gani.
 
Hawajashinda CCM wala CDM walioshinda ni wana Igunga! tuache malumbano ya kisiasa tufanye kazi za ujenzi wa taifa letu!
 
Hv Protace Magayane alisema matokeo yatatoka ndani ya masaa 24 au 48?
 
Ndetichia, uliyekata tamaa ni wewe peke yako na ufinyu wako wa mawazo.Saa ya ukombozi ni sasa!
 
hawashindi kwa kukubalika bali kwa kuchakachua. But time will come and save our rights
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom