Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
TBC1 wameongea na msimamizi wa uchaguzi wa Igunga, amesema matokeo yatatangazwa saa mchana
bajabiri tumechoka tumekesha mpk sasa matokeo rasmi hakuna,wacha tujiliwaze kujikumbusha mambo ya kwetu Ufipa. Ugali kwa mlenda na migebuka.
Bado tu hamjakubali kushindwa?Matokeo bado yanahesabiwa kwahiyo mnaotupa matokeo ya flani kashinda muache kiherehere tume itatangaza yenyewe haiitaji msaada wenu!!
Vijana kipindi hiki ndio wameichagua CCM! By 2015 CDM itakuwa imekufa!Hiyo attachment ya updates inaniacha hoi. Ina maana Tume haina karatasi rasmi? Vituo vimeandikwa kwa mkono, mwee!
Matokeo ya Igunga, vyovyote iwavyo yanalichimbia CCM kaburi 2015, Jeshi kubwa la vijana wa shule za Sekondari Kata na Vyuo wataingia kupiga kura na huo ndo mwisho wa CCM.
Nape analalamika kuna mtu anatumia jina lake vibaya hapa JF, hivyo hausiki na matokeo yaliyotolewa kwa ID ya "Nnauye Jr"
ccm wamepata kura elfu26,chadema wamepata kura elfu22 by songoro mkurugenzi wa mawasiliano ya umma wa ccm.kati ya kata26 ccm wameshinda kata17.chanzo channel10.
From channel ten,mkurugenz wa mawasiliano ccm,anadai ccm imeshinda.