Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Jamani hatujalala vipi bado matokeo rasmi hayajatangazwa na tume au vipi?mbona wanatuzingua tu? Igunga ni ndogo sana iweje uchaguzi umeisha zaidi ya masaa 14 sasa hawajatangaza matokeo rasmi?kunani pale nec igunga?tupeni matokeo baanaa!
 
Hongereni CCM kwa ushindi, hongereni Chadema pia kwa kuwatoa jasho ccm.
 
Mpaka sasa saa 11.20 alfajiri matokeo bado tu?hata kama wangepigakura watu milioni 5 basi kuhesabu kura ingekua tayari sembuse watu chini ya 80elfu masaa 15 bado hawajatangaza matokeo?nchi hii inamambo kwelikweli.
 
Hongereni CCM kwa ushindi, hongereni Chadema pia kwa kuwatoa jasho ccm.
we mzee wa ufipa katavi au kawajense au makanyagio au nsemulwa au ibindi au kasokola je wameshatangaza matokeo rasmi?kama una data za matokeo rasmi tumwagie.
 
Jamani hatujalala vipi bado matokeo rasmi hayajatangazwa na tume au vipi?mbona wanatuzingua tu? Igunga ni ndogo sana iweje uchaguzi umeisha zaidi ya masaa 14 sasa hawajatangaza matokeo rasmi?kunani pale nec igunga?tupeni matokeo baanaa!

Bado wako busy na uchakachuaji maana namba zao hazikubaliani kabisa.
 
Tanzani uchaguzi uliokuwa huru ni ndoto kuja kutokea. Wamechakachua matokeo na NAPE ameshatangaza kadri alivyo pewa mikakati.
 
we mzee wa ufipa katavi au kawajense au makanyagio au nsemulwa au ibindi au kasokola je wameshatangaza matokeo rasmi?kama una data za matokeo rasmi tumwagie.
Makanyagio......msimamizi wa uchaguzi hajatangaza matokeo rasmi, lakini haya yanayowekwa na wadau humu yanaonyesha ccm kushinda.
 
Makanyagio......msimamizi wa uchaguzi hajatangaza matokeo rasmi, lakini haya yanayowekwa na wadau humu yanaonyesha ccm kushinda.
asante mzee wakwetu katavi. Je madukani wapajua?je mpanda hoteli?azimio,katumba,milala,kasokola,mpn ndogo,ifukutwa,kibo,shanwe,msakila,majengo,misunkumilo,aaah nimekumbuka mbalisanaaa,
 
asante mzee wakwetu katavi. Je madukani wapajua?je mpanda hoteli?azimio,katumba,milala,kasokola,mpn ndogo,ifukutwa,kibo,shanwe,msakila,majengo,misunkumilo,aaah nimekumbuka mbalisanaaa,

ngoja mchakato wa Igunga uishe ndo mkumbushane UFIPA
 
Usimshukuru tu baba yako,mshukuru na baba wa mwenzako aliemkimbiza baba yako.
 
Kumekucha sasa ni saa 12 asubuhi tar.3.10.11 sasa ni zaidi ya masaa 14 tokea wameanza kuhesabu kura chini ya 80elfu lakini matokeo hayajatangazwa kwahakika nchi hii tuna safarindefu sana kufikia karne ya sayansi na teknologia inayohubiriwa kila uchao,kweli dunia hii ya utandawazi cc bado tupo nyumasanasanasana.
 
mh Kuna kitu kinaitwa mchakachuo wa mawazo na akili Aka knwoldge defence ndo Naona inatumiwa na Chama flan ngoja 2one mwisho
 
ngoja mchakato wa Igunga uishe ndo mkumbushane UFIPA
bajabiri tumechoka tumekesha mpk sasa matokeo rasmi hakuna,wacha tujiliwaze kujikumbusha mambo ya kwetu Ufipa. Ugali kwa mlenda na migebuka.
 
Naona dalili za Uchakachuzi dhidi ya hawa Magamba,sijui ngoja tusubirie Makamanda watueleze nn kimejiri zaidi
 
Nampa hongera sana Dr.
Umetuwakilisha vyema!
Nawapongeza pia CDM kwa kuwa wasindikizaji wazuri. Jitahidinini tena 2015 labda mnaweza kuimprove idadi ya kura kidogo
 
Matokeo bado yanahesabiwa kwahiyo mnaotupa matokeo ya flani kashinda muache kiherehere tume itatangaza yenyewe haiitaji msaada wenu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom