Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Naona leo wote jazba mpaka tunduni, pumuwa kidogo. Kwenye stress wanasema huwezi ku relax, jitahidi kupumuwa ni njia moja ya ku relax na kupunguza munkar. Matokeo utayapata tu, tutakapoamuwa kuyatoa. Kwa kukupunguzia fikra: usifikiri hata kidogo kuwa mnaweza kushinda, sahau.

Kwa vile magamba mmezoea kushinda kwa kuchakachua huna budi kuongea hivyo!
 
GOD forbid these majambazi party(ziziem) from ruining people choice and let the right person for this position to be elected without external influence. AMIN
 
Maralia sugu =Rejao? Msaada plz maana napata utata na kupotea kwa Ms na kuibuka kwa rejao.
 
Naomba uthibitishe ukwel wako maana itv wameacha kutangaza matokeo,je wewe umeyapatia wap?na ni kata gan hzo?onesha jins kila chama kilivyoscore kwa kila kata,usilete habar za kusadikika.
 
quote_icon.png
By Saint Ivuga

Breaking News: Matokeo mpaka sasa ni: KATA CCM CDM
Ntoro 730 (CCM) 302 (CDM); Nguvumali 694 (CCM) 284(CDM); Nkinga 1479 (CCM) 1085 (CDM); Itumba 1079 (CCM) 590 (CDM); Nanga 897(CCM) 645(CDM); Igurubi 925(CCM) 592(CDM); Mbutu 1186(CCM) 1426(CDM); Kinungu 505 (CCM) 263 (CDM); Mwisi 926 (CCM) 992 (CDM); Chabutwa 545(CCM) 581(CDM); Ziba 1053(CCM) 860(CDM); Nyandekwa 691(CCM) 613(CDM)
Hizo ni kata 12... katika hizo 9 CCM imeshinda mpaka sasa CDM ni 3 tu... bado kata 14 ili zifike 26..... Kwa sasa CCM inakula 10710... CDM 8233.

Kwa mujibu wa hizo hesabu zako ina maana mpaka sasa watu wa Igunga bado wanamkubali Rostam Aziz.
 
Usikereke darling, Igunga CCM inaongoza kwa mujibu wa Saint Ivuga.

sor 2 ask u this:hvi ww ni jinsia ya 'ke' kweli?? Maana the way unavyo"argue" sounds 2 'boyish'..
Dnt tek me wrong
 
zittokabwe @Islam66 kaka sio kweli. Hebu ona hizo 18, coincidance? So far
its 46% against 44% bado kata 3
@kaseko @JMakamba #uchaguziIgunga
Sorce zitto katka Twitter
 
Kwa vile magamba mmezoea kushinda kwa kuchakachua huna budi kuongea hivyo!

MwaJ, hata wewe wa Singida unasema hivyo? siamini, unajuwa mie niliishi sana Singida, hiyo Singida East uliopo wewe ni wapi Mkiwa, Manyoni, Itigi? Au mjini lakini East kule Kibaoni?
 
Watasema CCM ndio walioileta mvua kwa makusudi ili waibe kura, utaona, sasa hivi wataanza.

We ukisha comment unasahau muda huo huo ulichoandika? Si ulisema matokeo mtatangaza mkitaka? Sasa mambo ya mvua yameyoka wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom