Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Jamani naona kama mnaboa vile, hii mana inahusu matokeo ya uchanguzi Igunga ila mmetuhamisha hadi flow ya matokeo hatuipati tena, kwanini msitumie busara zenu, kama mnazo hayo yenu mtumiane via utaratibu mwingine?????Mmesababisha hii thread kupoteza mvuto kwa wanaofwatilia matokeo ya uchaguzi Igunga na kwingineko. Huu mtazamo wangu tu.

Sasa utakaa kimya kungoja matokeo? si bora ukalale? matokeo mpaka sasa CCM inaongoza, kwa mujibu wa kada wa chadema Saint Ivuga.
 
Hii ngoma ya UPDATE inaonekana bado haijapata mchezaji HAPA JF kila mmoja anatoa analofahamu yeye ili kuvutia kwake hv mzee wa vijana wanaungua kama Solar panel amepata kura ngapi? Na vipi khs boxer Mahona ameangukia pua?
 
Ndgu wana jf, najua mapipoooooz power sasa hivi wanaharisha harisha, kwan mpaka sasa kutoka jikoni ofisi ya mkurugenzi ccm wanaongoza kw zaidi ya kura elfu 4 ya kata zote 26.....chadema puwaaaaaaa,,,nimeamini chadema ni wasindikizaji... bila kusahau ccm imeshnda kata 17 kati ya 22, kumbe watz bado wanakiamini chama cha mapinduzi!!! ccm oyeeeeed
Mimi siaaamini mpaka nipate habari kamili kutoka kwa Mkulugenzi.Messenger anaweza kuchakachua.
 
Duu! Rejao acha jazba, ila ucjal utapona tu tuko pamoja nawe.
 
CCM won 49% against Chadema 45%

Nakumbuka ulisema huna chama, kama ni hivyo tupe source ya habari yako, vinginevyo nitajua umeingia upande wa magamba wakati wenzako wanaukimbia.
 
Nakumbuka ulisema huna chama, kama ni hivyo tupe source ya habari yako, vinginevyo nitajua umeingia upande wa magamba wakati wenzako wanaukimbia.

Nimeona post ya Islam,....i trust him.
So far chadema wamefanya vyema ingawa nauhakika ccm wame chakachua
 
kwa hiyo ile nguvu ya mawaziri wote na ahadi uongo ndo inaleta kura elfu 4?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom