twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
Na wao ITV wana viherehere.wanavyoshupalia matokeo ya igunga kana kwamba ni uchaguzi wa nchi nzima.yaani si jambo zuri hata kidogo.ni sawa na kuchochea mapinduzi.ni ushabiki wa kijinga kabisa.mbona MV ISLANDER ilipozama hawakuwa na vihelehele namna hii.shikeni jembe mkalime toka kwenye TV .CCM hata kwa kuchakachua LAZIMA ishinde.