Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Nyinyi nadhani ndo wabebaji wa mabox ya kura bandia, wawezaje kusema mmeshinda wakati matokeo bado yanatangazwa???nyinyi wezi siku zenu zinahesabika. Jueni kuwa siku zote haki haijawahi kushindwa na dhuruma.Who is a loser? Me or U?
Am always in the winning side.
We have won..well done CCM!