Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Dr Rwaitama anahojiwa now SIBUKA tv, maneno anayoyanena kuhusu CCM najiuliza uyo mzee ambaye ni CCM masalia kapata wapi huu ujasiri.
Huyo mzee ukimpz mike utzjutia maana anavyoongea yaani jamaa haogopi kitu zaidi ya Mungu.
 
Jifurahisheni tu nyie subirini matokeo kutoka vijijini ndio mtashanga ccm itakavyopaa
 
Hivi Rostam na maela yote aliyowakwapulia wadanganyika akufanya maendeleo jimboni? Siku zote nilijua Igunga ni maziwa na asali kumbe mdebwedo. CCM kama Igunga itaenda Upinzani ni hakika 2015 kama Zambia.dalili za mvu mawingu
 
yaani CUF pamoja na kupewa Helikopta ya bure na bwana zao yaani wamefulia ile mbaya.. hata ile possibilities ya kuzigawa kura sioni hapa.
CUF inakufa kabisa ibaki kulekule Pemba
 
Matokeo ya Vijijini mchuano ni kati ya CCM na CUF na mgombe wa CDM ameachwa kwa mbali...na inadaiwa hii ni kutokana na shambulio la mkuu wa wilaya.
 
Hawa jamaa isije ikawa wameanza kuhesabu kwenye kata jeuri ili wabalansi namba mwisho!
 
Hapa hakuna cja vijijini wala mjini kote tulikuwepo
 
Katika vitu0 10 CHADEMA ina 695 na CCM 597 Haaaaaaaaaaaa MAGAMBA PLENI :::SOS ITV
 
tuwaombee. lazima kukubali kuwa kuna wenzetu ndani ya chama (CCM) wamechoka!
 
dk 39, Van Der Vaat aipatia Tottenham Goli la kwanza,Tottenham 1 -
Arsenal
 
Ndiyo maana yake, kura 1 au 7 nini maana yake ya kupiga kampeni kipindi chote tena chama kikongwe kama CUF.[/QUO

SIWALIJITAPA KUWA CUF NI CHAMA CHA KITAIFA? UTAIFA UPO WAPI KWA KUPATA KURA ZA NAMBA ZA VIATU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom