Matokeo ya 1-1 Liverpool na Man City yaipa faida Arsenal kwenye EPL

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga

Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.

Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
 
Klabu ya Liverpool imetoka sare ya 1-1 dhidi ya Man City katika mchezo mgumu na wenye kutoa uelekeo wa ubingwa wa EPL.

Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Anfield, Man City ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kipindi cha kwanza kupitia John Stones kabla ya Liverpool kusawazisha kipindi cha pili kupitia Mac Allister kwa mkwaju wa penati.

Kwa matokeo hayo, Liverpool yupo nafasi ya pili akiwa na alama 64 huku Man City akiwa na alama 63 katika nafasi ya tatu.
 
Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga

Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.

Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
Habari zako nyingi unazopost ndio huwekwa kwenye chanel ya JF kule Whatsapp. Unaupiga mwingi na jamaa zako wanajua kukubeba
 
Mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga

Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.

Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
Hizi ndo mambo napenda kuona city na liver wakiuana wenyewe kwa wenyewe
 
Hapa umepuyanga mkuu
Nimepuyanga Nin mzee humfungi united pale old trafford umesahau last season kakufanyeje na unakumbuka mara ya mwisho lini
umemfunga united old trafford kwenye ligi njoo kwa City karibu mechi zote pale ETIHAD uwa unabondwa bado uyo Spurs anaitaka Top Four wew ndio unasafari Ngumu kuliko wezako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom