Man City Vs Arsenal | Ngao ya Jamii | Wembley Stadium | 06.08.2023

Andre-Pierre

JF-Expert Member
Nov 4, 2019
328
1,209
Leo kuna mchezo mkubwa sana pale England. Ni mchezo wa ngao ya jamii, Man City Vs Arsenal.

Man City ni bingwa mtetezi wa EPL pamoja na FA Cup hivyo atakutana na Arsenal aliyeshika nafasi ya pili msimu uliopita.

Miaka ya karibuni Arsenal amekuwa kibonde wa Guardiola, watu wanatarajia labda Arsenal atajitutumua leo.

Mechi itakuwa live kuanzia Saa 12:00 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki kupitia ulimwengu wa mabingwa Dstv.

Tupia ubashiri wako
 
Come on Gunners
Screenshot_20230806-131717.png
 
Leo kuna mchezo mkubwa sana pale England. Ni mchezo wa ngao ya jamii, Man City Vs Arsenal.

Man City ni bingwa mtetezi wa EPL pamoja na FA Cup hivyo atakutana na Arsenal aliyeshika nafasi ya pili msimu uliopita.

Miaka ya karibuni Arsenal amekuwa kibonde wa Guardiola, watu wanatarajia labda Arsenal atajitutumua leo.

Mechi itakuwa live kuanzia Saa 12:00 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki kupitia ulimwengu wa mabingwa Dstv.

Tupia ubashiri wako
Mende kaangusha kabati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom