Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Leo kuna mchezo mkubwa sana pale England. Ni mchezo wa ngao ya jamii, Man City Vs Arsenal.
Man City ni bingwa mtetezi wa EPL pamoja na FA Cup hivyo atakutana na Arsenal aliyeshika nafasi ya pili msimu uliopita.
Miaka ya karibuni Arsenal amekuwa kibonde wa Guardiola, watu wanatarajia labda Arsenal atajitutumua leo.
Mechi itakuwa live kuanzia Saa 12:00 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki kupitia ulimwengu wa mabingwa Dstv.
Tupia ubashiri wako
Man City ni bingwa mtetezi wa EPL pamoja na FA Cup hivyo atakutana na Arsenal aliyeshika nafasi ya pili msimu uliopita.
Miaka ya karibuni Arsenal amekuwa kibonde wa Guardiola, watu wanatarajia labda Arsenal atajitutumua leo.
Mechi itakuwa live kuanzia Saa 12:00 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki kupitia ulimwengu wa mabingwa Dstv.
Tupia ubashiri wako