MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
viongozi wote wa ccm wameondoka arumeru'haijulikani sababu za kukimbia wengine wanadai eti wakitangazwa washindi jeshi la polisi linaweza kuzidiwa nguvu na wananchi wenye hasira'wengine wanadai wanakimbia aibu ya kushindwa'hatulali leo
 
kiongozi tafadhali endelea ku-update schedule yako ya matokeo umepita mda mrefu bila ya wewe kuonyesha vituo vingine ambavyo matokeo yake yako tayari. naona huku Tayari ITV wametutosa
 
kutoka kwa kamanda lema ccm imechukua kata 3 chadema 14...kwa sasa ni kujumlisha matokeo ya jumla ccm wamejaribu kuja na matoke yao uchakachuaji unashindikana kabisa ndani yupo lema na nilishasema ccm walitabiriwa kuchukua kata 5 lakini tuliahidi kuzipunguza na tumezipunguza...piposss powerrrrrrrrrrr
 
kutoka kwa kamanda lema ccm imechukua kata 3 chadema 14...kwa sasa ni kujumlisha matokeo ya jumla ccm wamejaribu kuja na matoke yao uchakachuaji unashindikana kabisa ndani yupo lema na nilishasema ccm walitabiriwa kuchukua kata 5 lakini tuliahidi kuzipunguza na tumezipunguza...piposss powerrrrrrrrrrr

safi sana cdm, imebaki segerea sasa. Ngoja nianze kumpapasa mama Narubongo kusheherekea ushindi wa kijana
 
Wapi Tuntemeke na vibaraka wao waliosema CDM inashindwa??
 
Hizi ni baadhi ya Posts za Mwigulu LM Nchemba wakati wa campaign, ukizisoma sasa hivi ni vichekesho tu, inakua ni kama tunaongelea historia ya miaka mingi nyuma k

hapa akijiamini sana, anasema

Sijawahi kuwapa wachungaji kalenda za CCM. HABARI YA MATOKEO AMA KULA KWANGU TUTAJUA TAR MOSI

sina uhakika kama sasa hivi atakua na skafu yake kama alivoahidi hapa,
Baridiiiiiii tar mosi nina uhakika na nitakuwa na skafu shingoni na kwenye mikono yote miwili nikishangilia. Unatamani sana nipate aibu lakini sio arumeru labda jua litokee magharibi kwenda mashariki

hapa alikua anajitapa kwamba wapiga kura wameelewa sana, sasa sijui wameelewa nini, ile hotuba ya lusinde?
Utaona tar mosi kama walielewa au la. Reading from their faces wameelewa sana ndio maana inakuuma. CCM INASHINDA

hii hapa inanifanya nicheke tu, jamaa alikua hajaujua moto wa nyerere bado
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA

ili isiwe ndefu tumalize na hii
April kumi Sioi Sumari anakwenda kuapishwa. Anayebisha aombe uzima mpaka siku hiyo. CCM NI NA ONE
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom