MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Mgombea wa CHADEMA ametoka nje katika ofisi ya majumuisho ya kura kisa polisi baada ya kuona mawakala wa CCM wamefika walianza kupiga mabomo ya machozi ovyo kwa hiyo mawakala wengi wa CDM wale wenye form za kuhakiki wameshindwa kufika ili kuhakiki na matokeo waliyopata katika vituo vyao.
Habari kutoka Arusha watu wamewasha mabodaboda kuwahi katika eneo la tukio kuongeza nguvu.

Miji mwema
CCM CDM
A 31 141
B 35 125
C 37 126
Maji ya chai
CCM CDM
A 53 130
B 68 105
C 42 115
D 53 118
E 60 105

Mbuguni kata 18 CDM wamechukua na 3 CCM.
Bwana Kagenzi msimamizi wa uchaguzi Kata 7 zimeshawasilisha matokeo.

Source:Radio one na mlimani tv
 
Sioi hayupo makao makuu ya jimbo matokeo yatapotangazwa!! CCM chaliiiii!
 
uko hapo Arumeru ama uko wapi wewe ndugu yangu.!?
Unanitia roho ya kukesha nikiimba "PEOPLES POWER".

ITV mkurugenzi wa uchaguzi anasema ni matokeo ya kata 7 ndiyo waliyonayo mapaka sasa saa 3:40 na wanayascan na kuyaweka kwenye mfumo.
 
mwanakijiji anasema:


Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
 
yahaya awaponda wakina zito wanao post ujinga kwenye twiter''

Zitto hajapost ujinga kule. Wala hajapost chochote kuhusu Arumeru. Kapost kuhusu matokeo ya chaguzi za udiwani ambazo ni kweli na kumongezi mbunge wa Kigamboni kwa CCM kushinda kushinda kiti cha udiwani huko Kigamboni. Au ndio ujinga huo?
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Kama computer ndo zinatumika kuhesabu kura basi CDM wawe makini sana, i know well what is happening kwenye hizo computer through hiyo Results Management System
 
Huku tukiyapokea matokeo ya awali kwa matumaini, kumbukeni kutangulia sii kufika!. Busanda na Biharamulo ilikuwa hivi hivi, mpaka tunalala usiku wa manane, mji mzima walikuwa wanasheherekea ushindi, kufika asubuhi, CCM ikaibuka kidedea!.

Kwa taarifa tuu, CDF, IGP na Mkurugenzi wa TISS, wako macho usiku kucha huku vijana wa Hosea wakizuga zuga!.

"The end justifies the means!", uchaguzi uliisha!.



Pasco nilikwambia tutakutana siku ya uchaguzi unakumbuka????? Nipo na wewe hadi matokeo ya mwisho

Bibikuku naomba uniuzie hii kesi huyo bwana mdogo kaingia kwenye 18 za CDM leo moto atauona
 
naomba kuuliza tena chadema waliweka ulinzi vijijini??


hili swali naliona hii ni safari ya 3.......mkuu waliweka na huko vijijini ndiko wamkamatwa wazee waliotumiwa na ccm wakiwa anawpeleka kura zaidi ya 1000 kwenye kituo kimojawapo
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
News alert: Magari ya viongozi wa magamba yaanza kuondoka usa River kuelekea Arusha kwa spidi kali. Mtoa habari wangu asema the game is up for CCM -- hawataki aibi ukawakuta pale.

game is up - Used to tell someone that you know what their secret activities or plans are and they cannot continue.

I don't think hawa watu wame give up kama wametangaza kata 7 tu kati ya 14. Nafikiri wanachofanya sasa ni kama vile wapasua miamba wameisha weka baruti kwenye muamba sasa wana-take cover ili wasirukiwe na flying particles once the blaster (Msimamizi) pushes the button (Akibinua meza ya kuhesabia na kutangaza CCM wameshinda).
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom