Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,919
Hahaahaaa! Mkuu Foundation is a skin coloured cosmetic...unaijua hii kitu?hebu nieleze mkuu alitoboa baada ya hapa..Mh Joseph Mbilinyi akizungumza (Michuzijr Blog). - YouTube au hapa pia? Sugu_Interviwe Part_1.flv - YouTube .link ya kwanza inamuonyesha sikio la kushoto, link ya pili inaonekana kwenye sikio la kulia kama ulimkuta kavaa hereni sawa yaweza kuwa alibana na ikampendeza huko,watu aliowaomba awawakilishe au mpinzani wake angeliona hilo sidhani kama angelifumbia macho jambo hilo,