viongozi wote wa ccm wameondoka arumeru'haijulikani sababu za kukimbia wengine wanadai eti wakitangazwa washindi jeshi la polisi linaweza kuzidiwa nguvu na wananchi wenye hasira'wengine wanadai wanakimbia aibu ya kushindwa'hatulali leo
Makumira A.Ccm 42,cdm 118,B.Ccm 42,cdm 100,C.Ccm 50,cdm 92,D.Ccm 40,cdm 68 Rejao nasikia yuko I.C.U.Magamba mmechokwa na watanzania mtajibebaje?
Makumira A.Ccm 42,cdm 118,B.Ccm 42,cdm 100,C.Ccm 50,cdm 92,D.Ccm 40,cdm 68 Rejao nasikia yuko I.C.U.Magamba mmechokwa na watanzania mtajibebaje?
tumaini makene tunakusubiria mkuu tuhabarishe...
Hizi ni baadhi ya Posts za Mwigulu LM Nchemba wakati wa campaign, ukizisoma sasa hivi ni vichekesho tu, inakua ni kama tunaongelea historia ya miaka mingi nyuma k
hapa akijiamini sana, anasema
sina uhakika kama sasa hivi atakua na skafu yake kama alivoahidi hapa,
hapa alikua anajitapa kwamba wapiga kura wameelewa sana, sasa sijui wameelewa nini, ile hotuba ya lusinde?
hii hapa inanifanya nicheke tu, jamaa alikua hajaujua moto wa nyerere bado
ili isiwe ndefu tumalize na hii