Mwigulu ule moto wa mwanzo umeishia wapi!?

Mwigulu ule moto wa mwanzo umeishia wapi!?

CHADEMA mmejiandaa lakini kulinda kura zenu?? Mmeshapata mawakala wa kuaminika wa vituo vyote vya. Kupigia kura? Ohoooh msije na hadithi za kuchakachuliwa baada ya tarehe 01/04!! Mkicheza hawa jamaa wanawapiga bao mapemaaaaaaa.
 
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA
 
Kazi yako ni nzuri sana, nashukuru kwa mgawo wa jana pale Leganga, nilibahatika kupokea elfu Ishirini, nitaituma kwa CHADEMA kwa ajili ya kuichangia.
Kula ccm kulala chadema!
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA
 
Comrage Mwigulu,
Pole kwa kazi.
Hivi mbunge wa Singida aliyetajwa jana kuwa ni mzinzi katika harambee ni nani?
 
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA
Kwanza nimecheka sana! Hivi ni kwanini watu wote wasiyoipenda Chadema wanampenda Zitto?
Yaani mashabiki,wanachama na viongozi wote wa CCM na CUF ikitokea thread yoyote hapa jamvini
inayomuhusu Zitto au Chadema basi ni lazima wawe upande wa Zitto! Hivi ni kwanini?
Yaani leo hii imefikia steji Mwigulu anapendekeza Zitto aende Arumeru kuliko kiongozi yeyote wa CDM?
Kwahiyo wabunge wote wa CDM na viongozi wote hawana akili isipokuwa Zitto peke yake? Mmh!
Mmh inakuwaje wapinga CDM wote wanampenda Zitto tu?
 
Sina mashaka na Arumeru. CCM INASHINDA KWA KISHINDO UTAONA. MIMI NAENDELEA NA KAZI YA HADHARAN NA MIKAKATI UTAPATA MAJIBU. UNAFIKIRI SLAA ANALIALIA BURE? NADHANI CDM IJE SIKU MOJA ITUME MTU KAMA ZITO ANAWEZA KUWA NA JIPYA HAWA WANAOTUMWA HAWANA NENO JIPYA SUBIRI MWONE. KAZI MAHASIRA TU HAMNA HOJA
Najua kiboko yako VN amekutuliza na husikiki kabisa, hiyo ni namba nyingine, ichokoze siku moja uone moto wake, babu yenu alijaribu kubip akapigiwa akaondoka bila kuaga sijui kama atarudi tena.
 
boloji hakutajwa wa singida bali iramba na nilivyomwelewa alikuwa anamaanisha mimi mkuu. Ila labda tuongelee arumeru bro kwa iramba kaka muda bado tutatathmini kwa sasa yeye kama alidhan ana kampen through harambee tuombe uzima tutajua nani zaidi. Iramba ndio walinichagua wakiona nafaa watanichagua wakiona sifai wataniacha hili sio lakubishania maana wenye mamlaka ni wana iramba ndg. Mimi nitafanya nilichonauwezo nacho hukumu juu yao
 
boloji hakutajwa wa singida bali iramba na nilivyomwelewa alikuwa anamaanisha mimi mkuu. Ila labda tuongelee arumeru bro kwa iramba kaka muda bado tutatathmini kwa sasa yeye kama alidhan ana kampen through harambee tuombe uzima tutajua nani zaidi. Iramba ndio walinichagua wakiona nafaa watanichagua wakiona sifai wataniacha hili sio lakubishania maana wenye mamlaka ni wana iramba ndg. Mimi nitafanya nilichonauwezo nacho hukumu juu yao
Well tuongee ya Arumeru, kama mnajiamini kushinda kwanini mlitaka kuongeza vituo hewa 55?
 
Kwanza nimecheka sana! Hivi ni kwanini watu wote wasiyoipenda Chadema wanampenda Zitto?
Yaani mashabiki,wanachama na viongozi wote wa CCM na CUF ikitokea thread yoyote hapa jamvini
inayomuhusu Zitto au Chadema basi ni lazima wawe upande wa Zitto! Hivi ni kwanini?
Yaani leo hii imefikia steji Mwigulu anapendekeza Zitto aende Arumeru kuliko kiongozi yeyote wa CDM?
Kwahiyo wabunge wote wa CDM na viongozi wote hawana akili isipokuwa Zitto peke yake? Mmh!
Mmh inakuwaje wapinga CDM wote wanampenda Zitto tu?

Kwasababu zitto hana chuki za kidini na ubaguzi kama viongozi wengine wa chadema

Ila Zitto kuwa chadema flag bearer anaota ndoto za alinacha hajui hicho chama kiko kwa ajili ya kina nani?

Anatumika kama toilet paper wanamtafutia kona ndogo wamtimue..
 
Kwasababu zitto hana chuki za kidini na ubaguzi kama viongozi wengine wa chadema

Ila Zitto kuwa chadema flag bearer anaota ndoto za alinacha hajui hicho chama kiko kwa ajili ya kina nani?

Anatumika kama toilet paper wanamtafutia kona ndogo wamtimue..

atimke tu chadema si baba wala mama yake.mbona vyama vipo vingi anaweza join chochote mshawishn aje ccm.cdm ipo moyoni mkuu watu tu mavumbi akuna atakae dumu wala ajuae kesho
 
boloji hakutajwa wa singida bali iramba na nilivyomwelewa alikuwa anamaanisha mimi mkuu. Ila labda tuongelee arumeru bro kwa iramba kaka muda bado tutatathmini kwa sasa yeye kama alidhan ana kampen through harambee tuombe uzima tutajua nani zaidi. Iramba ndio walinichagua wakiona nafaa watanichagua wakiona sifai wataniacha hili sio lakubishania maana wenye mamlaka ni wana iramba ndg. Mimi nitafanya nilichonauwezo nacho hukumu juu yao
VIP! Leo umepata kidosho cha kukuliwaza?
 
atimke tu chadema si baba wala mama yake.mbona vyama vipo vingi anaweza join chochote mshawishn aje ccm.cdm ipo moyoni mkuu watu tu mavumbi akuna atakae dumu wala ajuae kesho

Atafukuzwa karibuni hasa akiendelea kuomba nafasi za wateule i.e. Mbowe na Slaa..

Atatimuliwa bure, namshauri awe na tabia za kawawa na nyerere..ndivyo wakubwa wanavyotaka hasa wa aina yake..
 
Alitokea hapa last week nikampa tshu tshu za uso sijamsikia tena JF, Arumeru, kwenye Magazeti wala kwenye Video labda anaumwa au kapata Mjane wa kuvinjari nae sijui mke wake anamatatizo gani huyu Jamaa mpaka apende kutafuta wake wa Masikini wa Tanzania sababu ya Pesa zake, namuachia Mungu aisee.

Mwigulu yapo sana leo alikuwa kwenya kampeni zote mpaka jioni
 
Back
Top Bottom