jimjamtz
Senior Member
- Mar 13, 2008
- 153
- 28
Kweli tuombe mungu maana jamaa wanalijua panga vibaya mno!!tuombe Mungu tumalize kwa amani!
Kweli tuombe mungu maana jamaa wanalijua panga vibaya mno!!tuombe Mungu tumalize kwa amani!
hilo neno(red) linatamkwa na watu kama lusinde sio wewe mkuu
Weka hiyo link ya mwanakiji nawengine tuisome maana leo siyo siku nzuri sana.
wakuu kama chaguzi za tanzania ndio hivi ccm itatawala milele'arumeru viongozi wote wa kitaifa chadema wapo pale lakini bado ni ngumu je kwa nchi nzima itakuwaje?? Mimi naona tanzania tusitegemee free fredom
Kama kweli mshindi atakuwa ni Chadema, basi naona watanzania taratibu wanaanza kuwa na uelewa hasa wa kutambua kuwa wako hivyo walivyo kutokana na sera mbovu za CCM. Binafsi nitafurahi sana kama Chadema atatangazwa officially mshindi wa Arumeru mashariki.
Hapo mnamwonea bure, neno lolote linaweza tamkwa na mtu yeyote.
hilo neno(red) linatamkwa na watu kama lusinde sio wewe mkuu
Ila rekebisha hilo neno kwenye red Mkuu.
hilo neno(red) linatamkwa na watu kama lusinde sio wewe mkuu
Jamani, samahani mbona baadhi ya vituo data zinatofautiana na zinazoonyeshwa na Star tv?
siyo mtu wa kaliba ya kitila.....unataka kuniambia kitila nae is a person who cannot think beyond the next meal?
Leo nitaMalima hadi asubuhi!
Leo nitaMalima hadi asubuhi!
Mkuu kwani chadema hawana computer specialist wao???