Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,650
- 6,088
- Thread starter
- #961
Nakumbuka uzini tumaini alianza kwa mbwembwe alipopotea tu mambo yakawa yameharibika, lisije likajirudia hili leo
Mfumo unaendelea kupokea matokeo very effectively and efficiently, mpaka sasa tumeweza kupata matokeo ya kata zote 17. CCM wameweza kuongoza kata 3, CHADEMA kata 14. Tunachopmabana sasa kucompute ni percentage pia kuhakikisha fomu tunazipata maana kama mjuavyo fomu ndiyo ndiyo ushindi. Kazi inaendelea wakuu.