Mkurugenzi Wa Mashirika
Member
- Oct 23, 2022
- 97
- 99
Matatizo yote ya taifa letu yanatokana na kutokujua kiingereza vizuri na msingi mbovu wa kiingereza.
Huo ndio ukweli lazima tuuseme. Ukiingalia mataifa yote yanayotumia kiingereza kama official language yanatuzidi sana kwenye maendeleo na kutekeleza mambo muhimu.
Watu wao wako very seriously linapokuja swala la mambo muhimu tofauti na watanzania waliokaririshwa kiingereza hadi masomo.
Chukulia mfano Zambia, Kenya n.k.
Huo ndio ukweli lazima tuuseme. Ukiingalia mataifa yote yanayotumia kiingereza kama official language yanatuzidi sana kwenye maendeleo na kutekeleza mambo muhimu.
Watu wao wako very seriously linapokuja swala la mambo muhimu tofauti na watanzania waliokaririshwa kiingereza hadi masomo.
Chukulia mfano Zambia, Kenya n.k.