Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Well, Kwanini walipie taasisi za kanisa?

Kwanini wasilipie za kiislamu
Angalia end product kama ni afya au elimu ambayo inahudumia wananchi wote, lakini kama kanisa linataka pesa ili liendeshee shughuli za waumini wake nitasema pia kwamba hio sio busara na kwa serikali yetu ambayo haina dini haipaswi wala isidiliki kufanya hivyo... au ukienda hospitali kuna panadol ambazo ni haramu???
 
Hoja hapa ni kwanini Wasilamu baada ya kuona Wakristu wana MoU na serikali, wao wakakaa kitako na kusubiri muda uende ili baadae wapate sababu ya KULALAMA.their favourite sports, i guess, typical eeh?

Hoja ni kwanini serikali iwapendelee dini moja kwa kutumia pesa za umma (kodi zetu sote?)

Ina maana serikali ni wakristo/kikristo?
 
Angalia end product kama ni afya au elimu ambayo inahudumia wananchi wote, lakini kama kanisa linataka pesa ili liendeshee shughuli za waumini wake nitasema pia kwamba hio sio busara na kwa serikali yetu ambayo haina dini haipaswi wala isidiliki kufanya hivyo... au ukienda hospitali kuna panadol ambazo ni haramu???

Nalipia bado nikienda hospitali yeyote ile iwe ya kanisa au agakhan? SIYO BURE.. Khoja kwanini wapewe wao tu?
 
Wakrito katika hii mada nendeni mkalale.Mmeshindwa kuwatetea maaskofu wenu.Mnaanza kubabaika kushangaa wanaowajibu badala kutoa hoja.Serikali isicheze na madai ya waislamu.
Mkuu Ami, nimeisoma mara kadhaa mada iliyowekwa hao juu, ila kila nikiisoma naona ina mapungufu makubwa. Naomba usaidie kuyataja hayo madai ya waislam. Maana hoja kuu katika waraka huu ni lawama tu na wivu wa wazi kwa wakristo kuwa ndio wanaofaidi matunda ya uhuru na waislam kunyanyaswa. Ningependa sana kujua, ni kivipi hasa wananchi wa nchi hii, hususan waislam wanavyonyanyswa na watawala tangu uhuru.

Nia yangu ni kuelimika zaidi ya kubishana. Maana, si vizuri kupuuzia malalamiko kama yana msingi. Ila kama nia ni kuweka vipengele vya dini kwenye Katiba, sidhani kuwa ni sahihi. Si vipengele vya kuhusu waislam tu, bali hata wakriston na wanaoamini makabila mengine. Katiba ni lazima itoshe kwa kila kipengele na kwa kila mwananchi.
 
Hoja ni kwanini serikali iwapendelee dini moja kwa kutumia pesa za umma (kodi zetu sote?)

Ina maana serikali ni wakristo/kikristo?

Inawapendelea kwa sababu wana akili za kutengeza proposals. Uezi kupata ela bila proposal. Simple. Yaani nyie mpo masjid mnasogoa kucheza bao, dhumna na kunywa gahawa mlizani ruzuku itadondoka tu? Kama hukuenda shule kila kitu breaks bad...really bad..lol
 
Mkuu Ami, nimeisoma mara kadhaa mada iliyowekwa hao juu, ila kila nikiisoma naona ina mapungufu makubwa. Naomba usaidie kuyataja hayo madai ya waislam. Maana hoja kuu katika waraka huu ni lawama tu na wivu wa wazi kwa wakristo kuwa ndio wanaofaidi matunda ya uhuru na waislam kunyanyaswa. Ningependa sana kujua, ni kivipi hasa wananchi wa nchi hii, hususan waislam wanavyonyanyswa na watawala tangu uhuru.

Nia yangu ni kuelimika zaidi ya kubishana. Maana, si vizuri kupuuzia malalamiko kama yana msingi. Ila kama nia ni kuweka vipengele vya dini kwenye Katiba, sidhani kuwa ni sahihi. Si vipengele vya kuhusu waislam tu, bali hata wakriston na wanaoamini makabila mengine. Katiba ni lazima itoshe kwa kila kipengele na kwa kila mwananchi.

Nionavyo mimi nakuona wewe ni mtu unaelewa tunachodai ila kwakuwa unaangalia kwa jicho faida mnayopata wakristo katika upendeleo wa keki ya taifa umeamua kuwa mute (kuwa kipofu kwa makusudi), in summary tunadai haya:-

1. Kwakuwa kanisa lina mkataba na serikali wa kupewa remmittance in millions kutoka serikalini kwa ajili ya ku-finance hospitali per bed increment kila mwaka na kwakuwa waislamu hatukulalamika wakati wote tunaomba maaskofu waache kulalamika kuhusu process ya mahakama ya kadhi kwani ni mazungumzo yetu na serikali na wale viongozi wa serikali Hasa Pinda aache double standard kulishulikia hilo

2. Kwakuwa imeshapita miaka mingi na MoU imewafaidisha wakristo na kupendelea kwa kutoa pesa za umma kwenye taasisi zake ..hizo remmitance ziachwe, au zitolewe pia remmitance of the same scale kwa taasisi za kiislamu au zifutwe zote kama maaskofu wanakasirika pesa kwenda kwa taasisi za kiislamu (is this not just?) is this too much christians? au mmezoea kuchota pesa za serikali? ufisadi?

3. Kwakuwa nchi imeongozwa kwa muda mrefu kwa mgawanyiko wa kidini katika nafasi mbalimbali tunaomba swala hilo liwepo katika katiba, mgawanyiko uzingatie dini na qualifications ila kusiwe na ubaguzi wa kidini
 
Inawapendelea kwa sababu wana akili za kutengeza proposals. Uezi kupata ela bila proposal. Simple. Yaani nyie mpo masjid mnasogoa kucheza bao, dhumna na kunywa gahawa mlizani ruzuku itadondoka tu? Kama hukuenda shule kila kitu breaks bad...really bad..lol

Sasa msipige kelele za epa/richmond/doawans maana na hizo ni proposal?

Proposal za uwizi hadi kanisa mnaona dili?

Sisi hatuhitaji hayo ma-proposal za kijangili ndugu
 
Inawezekana waarabu walifanya hayo unayoseam japo kuwa mengine ni propaganda.Kama walifanya ndio maana tuilipigania na hatimae tujitawale tuondokane na dhulma za wageni wote wawe waarabu au wazungu.Lakini bahati mbaya wazungu waliendelea kutuibia hata baada ya kujitawla kwa kutumia mgong wa kanisa.
Suala la waarabu kuwauwa babu zetu ni propganda ya wakristu ili kujidai eti kubalansi baina ya maovu yaliyofanywa na waarabu na wazungu. waarabu wengi waliokuja huku hawakuwa na sababu za kupeleka watumwa kwao kwa sababu hawakuwa na kazi za kuwatumikisha,hawakuwa na viwanda hata ardhi yao haifai kwa kilimo,ndio maana wengi wao waliokuja huku waliseto kabisa wakachanganyikana na wenyeji.Hadi sasa tunaishi nao hata uswahilini.Mfano mzuri ni wa Sultani aliyehamishia hata makazi yake Zanzibar.Lakini hilo halipo kwa wazungu wao wlikuwa wanakwiba na kuhamishia kwao,tulipowafukuza waliondoka jumla hatunao kama raia isipokuwa wamissoinari waliobakia kuendeleza wizi kama nilivyoutaja

Hivi mtu anayeamini hivi utamfahamisha nini? Mtu anayemtukuza Sultani Said aliyehamishia makao yake kulinda biashara zake ambazo zilikuwa pamoja na biashara ya watumwa? Mtu anaona alitufanyia feva kutoka kwenye ukame wa Muscat kuja kivulini Zanzibar! Mtu anayeamini kuwa waarabu hawakuhitaji watumwa akisahau kuwa babu zake (kama ni mweusi mwenzetu) walihasiwa ili waweze kufanya kazi kwenye harem zao! Mpuuzi huo hajiulizi mbona Mauritania mpaka leo kuna watumwa kwani wana viwanda gani! Mpuuzi huyu asiyejua kuwa huko wanakoenda kuhiji walipiga marufuku utumwa mwaka 1962, na kwa huyo Sultan anayemwabudu mwaka 1970, na anakoenda kuchukua mitumba 1963! Wote hawa kwa nini basi walipiga marufu utumwa kama hawakuwa na watumwa? Hajui kuwa wakati Sultani wa Zanzibar anakabidhiwa Zanzibar mwaka 1963, binamu zake walikuwa wanafuga binadamu wenzao kama mali ghafi.

Mpuuzi huyo na wenzake wengi hawataki kukubali kuwa pale palipojengwa KANISA la Soko Mhogo palikuwa ndiyo soko kuu la watumwa katika kanda yetu. Mpuuzi huyu bado hataki kukubali kuwa jina Bagamoyo lilitokana na kilio cha babu zetu waliokuwa wakipelekwa Zanziba kupigwa mnada kama vile tunavyofanya leo samaki Kigamboni. Mtu kama huyu na wenzake wa ilka yake ni majipu katika uso wa nchi yetu. Kujibishana nao hakuna faida maana wamejaa chuki na sense of entitlement. Hata wapewe nini hawataridhika.

Amandla.......
 
Mkimaliza matamko mtatuambia ili turudi kucheck thread zingine, coz kila siku mnalalamika sie tuko makazini mbona hatuuoni huo upendelea? its quiet unfair kutulazimisha tukubali kua tunaonewa. watu wanapewa positions coz they qualify sio kwa sababu ni wakristo. Mnatuchosha, halafu mnapotosha ukweli. Mnataka kuwafanya watu wasifikirie maendeleo bali wafikirie jinsi wanavyobaguliwa kitu ambacho hakipo. Acheni hizo!
 
Mkimaliza matamko mtatuambia ili turudi kucheck thread zingine, coz kila siku mnalalamika sie tuko makazini mbona hatuuoni huo upendelea? its quiet unfair kutulazimisha tukubali kua tunaonewa. watu wanapewa positions coz they qualify sio kwa sababu ni wakristo. Mnatuchosha, halafu mnapotosha ukweli. Mnataka kuwafanya watu wasifikirie maendeleo bali wafikirie jinsi wanavyobaguliwa kitu ambacho hakipo. Acheni hizo!

Bado hujani confince chochote, wala huajsoma tamko..umekurupuka
 
Najua mlivyo wavivu kusoma, mpe padre atafanya summari halafu uje ulete hoja maana ndio mlivyofundishwa.
Sasa wewe ndio akili matope kabisa..mimi padre ananihusu nini? au unadhania kila mtu asiyekubaliana na upupu wenu ni mkristu? btw, kumbukeni kwamba asilimia kubwa ya watz hawafuati hizo dini zenu za kuchonga, nao sasa mmewaamsha.

Kinyesi hakirudiwi kutizamwa.
 
Sasa msipige kelele za epa/richmond/doawans maana na hizo ni proposal?

Proposal za uwizi hadi kanisa mnaona dili?

Sisi hatuhitaji hayo ma-proposal za kijangili ndugu

Sasa mnazania mtepewa hela kama pocket money? hatuendi hivo, chukueni walau english kozi wajameni? lol
 
Kazi kweli kweli...jamani, jiulizeni ni kwa kiasi gani waislamu wenyewe wamechangia kufikia hapo walipo?? Sio kuanza tuu kuwalaumu maaskofu na mapadri na wachungaji..Waislamu hatutakaa tukafanikiwa kuona tunapewa haki kama tutaendelea kuona kila siku tunaonewa.. tufanye juhudi za kujikwamua kwanza sisi wenyewe. Kwanza sie wenyewe misikitini hatuna umoja na wala hatupendani, kila siku tunanyoosheana kidole, kama tumeshindwa sie kwa sie kupendana na kupeana haki, hivi huko nje tutaipata, tufikirie upya.
 
Kazi kweli kweli...jamani, jiulizeni ni kwa kiasi gani waislamu wenyewe wamechangia kufikia hapo walipo?? Sio kuanza tuu kuwalaumu maaskofu na mapadri na wachungaji..Waislamu hatutakaa tukafanikiwa kuona tunapewa haki kama tutaendelea kuona kila siku tunaonewa.. tufanye juhudi za kujikwamua kwanza sisi wenyewe. Kwanza sie wenyewe misikitini hatuna umoja na wala hatupendani, kila siku tunanyoosheana kidole, kama tumeshindwa sie kwa sie kupendana na kupeana haki, hivi huko nje tutaipata, tufikirie upya.

Unajidanganya...external and internal sources are to be dealt altogether
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom