Mohamed Shossi said:Usidhani Waislam wanatatizizo na MoU ya wakiristo na serikali ila wana tatizo jinsi MoU hiyo ilivyosainiwa "kwa mlango wa nyuma" bila ya public kuwa aware.
Mohamed Shossi,
..MOU haikusainiwa kwa siri.
..Bakwata walikuwa observers wakati wa mchakato mzima uliopelekea kusainiwa kwa MOU.
..pia MOU ilisainiwa kipindi ambacho Raisi wa Jamhuri alikuwa Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
..katika baraza lake la mawaziri kulikuwa na Waislamu wengi tu wenye heshima zao kama Prof.Kighoma Malima,Amrani Mayagila[r.i.p],Fatuma Said Ali, Balozi Ahmed Hassan Diria[r.i.p], Juma Hamad Omar,Ali Ameir Mohamed etc.
..nakushauri utafute hapa Jamii Forums thread inayohusu MOU na utakutana na michango mingi sana itakayokufungua macho kuhusu suala hili.
..jambo la kujiuliza ni kwamba, MOU imesainiwa 1992, sasa kwanini Waislamu mpaka leo hawajajishughulisha kuandaa MOU baina yao na serikali?
..vilevile ni vizuri ieleweke kwamba Waislamu nao wamekuwa wakipewa misaada mingi tu bila kulazimika kuwa na MOU. mfano mmoja ni hii taasisi ya Bakwata ambayo imeanzishwa na serikali na imekuwa ikisaidiwa kifedha na serikali kwa muda mrefu.