Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,455
- 10,869
Usisahau za wale WAZUNGU waliomegewa Loliondo na ambao wanaondoka na wanyama wetu kuwapeleka ULAYA! Au wale WAZUNGU ambao wanawinda wanyama wetu na A.K. 47! Na yule pilot MKRISTU aliyekamatwa red-handed akisafirisha dhahabu nje ya nchi lakini MKATOLIKI mwenzake ALI Hassan Mwinyi akamwachia akidai mama yake alimlilia sana! Na yule MKRISTU aliyesaini mikataba ya madini HOTELINI ambamo amewapa carte blanche waheshimiwa hao kukomba madini yetu. Juhudi zako za kuonyesha kuwa WAKRISTU NA WAZUNGU peke yao ndio wanaohujumu taifa letu ni lazima ziungwe mkono na wale wote wanaolitakia mema taifa letu.
Amandla.....
Mkuu ndo maana nakwambia "hawa jamaa" hawajui kujenga hoja! Wanalamikia BAKWATA..kwamba iko useless kwa sababu iliundwa na serikali...leo wanataka serikali hiyo hiyo iwaundie mahakama ya kadhi....akili iko wapi..wamesahahu kwamba anayemlipa mpiga zumari ndo huchagua wimbo...yaani mnataka serikali itumie hela za walipa kodi..harafu muwe independent? kuingiliwa na kufanyiwa maamuzi ndo gharama ya vitu vya bure! Hata sisi tukipokea misaada ya nje..ndo hao hao..wanatufanyia maamuzi...Its normal...kama hutaki epuka vitu vya bure....Na ndo maana wenye akili wanapinga hii biashara ya OIC..maana tunajua athari ya vitu vya bure..kesho hatujakawia kuvalishwa kanzu wote humu nchini....ndo maana tunasema..anzisheni..hiyo misaada mpewe huku huko misikitini....its simple....hivi vitu vina madhara nyinyi hamjui tuu...Free things? Ogopa!
Hivi kuna Muislamu umeshasoma Mufti Act ya Zenji? Kudadadeki..yaani hata Mufti mkuu ni chaguo la mkuu wa nchi....sasa sijui ikitokea Masanja akawa Presida wa Zenji..itakuwaje..mtakubali awachagulie Mufti wakati siyo "mwenzenu"?. leo mnasema mnanyanyaswa..ila walioshika mikoba yote muhimu ya taifa letu ni " wenzenu" I am sorry to say..mimi juzi niliangalia Morogoro Muslim University (Fundi ndo jina halisi hilo?)..haki ya nani..ukiangalia qualifications za walimu..you wonder whether these dudes are really serious with education......Its scary....Mpaka wenzetu mtakapoacha kuchanganya mambo ya dunia na yale ya kule mbinguni..you are in this predicament for a long time to come! Waarabu siko hizi nao wao wako busy wanajifunza mandarin na lugha nyingine..waweze ku-compete kwa hizo opportunities..sisi bado tunaona fahari wanetu kuzungumza kiarabu..well, It might be a good thing..but not good enough to liberate you guys...MI NAWAAMBIA MAADAMU SISI NI WAMOJA..TUPIGANE HAWA MAFISADI WAACHA KUTUIBIA..TUIENDELEZE NCHI YETU..NA WOTE TUFAIDIKE..SASA KAMA MNAONA KWAMBA ITS US VS. THEM..BASI ENDELEENI..ILA MJUE HALI NGUMU NI KWETU SOTE..NDO MAANA TUNAHANGAIKA KUITAFUTA ELIMU DUNIA..
Ushauri wangu kwa hawa ndugu zangu...YOU CANT HAVE IT BOTH WAYS....MNATAKA..SERIKALI IWAPE YAKE YA DUNIA....KWAMBA MNANYANYASIKA..YET YOU DONT WANT TO PAY THE PRICE..
BE CAREFUL WITH WHAT YOU WISH FOR....YOU MIGHT GET IT!