Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Msaada kwenye tuta jamani.
Nimesoma taarifa ya Waislamu sijaona mahali wakilaani ukoloni wa Kiarabu na Biashara yao Haramu ya utumwa.
Je waarabu hawakutugawa na kututawala??
Uarabu ni sehemu ya Utanzania??
Uarabu ni Uislamu??
Hapa USA nina marafiki lundo wa Kikristo kutoka Saudia, Misri, Lebanon, Syria Iraq na Iran.
Kizuri zaidi ukristo wao haukupelekwa na Wazungu waliupata moja kwa moja kutoka kwa Wanafunzi wa Masihi Yesu.
Taarifa hii ya Waislamu inalenga kuukumbatia Ukoloni wa Kiarabu, kuukuza utawala wa ukoloni wa kiarabu kule Zanzibar na Biashara yao ya kuuza miili na Roho za Watanganyika kwao Uarabuni kuwa sehemu ya Uislamu.Aidha ina nia ya kudumisha mila na desturi za ukoloni wa kiarabu na kudharau desturi na mila za ukoloni wa kizungu jambo ambalo haliwapi heshima wala utukufu wowte.
Wazungu walileta dini wakafanya biashara ya utumwa wakatutawala kikoloni. KAtika biashra ya utumwa waliuza waafrika na kuwanunua kama bidhaa, walilala na watumwa wakazaa machotara, wanaume wa kiafrika waliendelea kuzaa na wanawake wa kiafrika na kuendeleza kizazi utumwani.
Waarabu walileta dini wakafanya biashara ya utumwa wakatutawala kikoloni. Katika biashra ya utumwa waliuza waafrika na kuwanunua kama bidhaa. Walilala na wanawake weusi na kuzaa machotara, kibaya zaidi waliwakata pumbu,kuhasi, wanaume wote ili kizazi chao kife.
Wazungu na waarabu wote walikuwa ni wakoloni, walituachia makovu mengi. Mengi ya makovu waliyotuachia ndiyo sababu ya tofauti zetu.
Nimesoma taarifa ya Waislamu sijaona mahali wakilaani ukoloni wa Kiarabu na Biashara yao Haramu ya utumwa.
Je waarabu hawakutugawa na kututawala??
Uarabu ni sehemu ya Utanzania??
Uarabu ni Uislamu??
Hapa USA nina marafiki lundo wa Kikristo kutoka Saudia, Misri, Lebanon, Syria Iraq na Iran.
Kizuri zaidi ukristo wao haukupelekwa na Wazungu waliupata moja kwa moja kutoka kwa Wanafunzi wa Masihi Yesu.
Taarifa hii ya Waislamu inalenga kuukumbatia Ukoloni wa Kiarabu, kuukuza utawala wa ukoloni wa kiarabu kule Zanzibar na Biashara yao ya kuuza miili na Roho za Watanganyika kwao Uarabuni kuwa sehemu ya Uislamu.Aidha ina nia ya kudumisha mila na desturi za ukoloni wa kiarabu na kudharau desturi na mila za ukoloni wa kizungu jambo ambalo haliwapi heshima wala utukufu wowte.
Wazungu walileta dini wakafanya biashara ya utumwa wakatutawala kikoloni. KAtika biashra ya utumwa waliuza waafrika na kuwanunua kama bidhaa, walilala na watumwa wakazaa machotara, wanaume wa kiafrika waliendelea kuzaa na wanawake wa kiafrika na kuendeleza kizazi utumwani.
Waarabu walileta dini wakafanya biashara ya utumwa wakatutawala kikoloni. Katika biashra ya utumwa waliuza waafrika na kuwanunua kama bidhaa. Walilala na wanawake weusi na kuzaa machotara, kibaya zaidi waliwakata pumbu,kuhasi, wanaume wote ili kizazi chao kife.
Wazungu na waarabu wote walikuwa ni wakoloni, walituachia makovu mengi. Mengi ya makovu waliyotuachia ndiyo sababu ya tofauti zetu.