Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Nauliza tena:

1) Ulipokuja waraka wa wakatoliki hamkuona tatizo ???

2) Maaskofu walipoanza kufanya kampeni za siasa, hamkuona tatizo??

3) Maaskofu, waliyofanya Rukwa, hamkuona tatizo??

4) Maaskofu, kutomtambua Meya Arusha (Sheria na siasa), hamkuona tatizo ???

Wanafiki wakubwa nyie, kama matatizo ya serikali rushwa, ufisadi wote tunapinga. Lakini nafsi zenu zinawasuta kwa sababu mmejaa udini na chama chenu chadema hamtaki watu wawakosoe.

Hao masheikh, Maaskofu ni watu, na watu wanakosea na kufanya makosa. Lakini kwa sababu ya udini wenu mlishindwa kuona hilo...

A bunch of people filled with religious hate, pretending to love this nation, that is JF for you!!!

Hambebeki nyie

Mkapa mkatoliki katoa chuo cha umma cha TANESCO ili kitumiwe na waislam lakini bado mnalalama. Mkapa alisikiliza kilio cha waislam kuvaa hijabu makazini na mashuleni makapewa then mkageuka kwamba hayo sio madai ya waislam

Nyerere kanyanganya shule na hospital za wakatoliki ili zitumike kwa wote na waislam wasomi na viongozi wa leo wamenufaika nazo lakini bado mnalalama.

Mahakama ya kadhi ipo kwenye ilani ya CCM mchakato unaendelea lakini hamridhiki.

Madai yenu yote hata mkipewa hamtaridhika zaidi zaidi mtaibua ambayo hayawezekani ili mtakaponyimwa mseme Serikali na Maaskofu wanawanyanyasa kama hili la kugawa nchi eti eneo lenye waislam wengi ndilo iwe nchi ya waislam SIJUI NCHI HIYO ITAITWAJE? Akili kama hizo ni bora kusikiliza sauti za ndege waiombao mwituni zinafriji na zinafaida kuliko utumbo wa huo waraka
 
Waachae waendelee kutumika. Watatumikaweee mpaka wawe used plus plus then tuwatupe jalalani tutakapo maliza kuwatumia
 
Pamoja na kutumiwa, hawa ndugu zetu hawatapata wanachokitaka maana CCM hawana urafiki wa kudumu ila wana maslahi ya kudumu.

Ningeweza kuwashauri Waislam ningesema waungane na wakristu wahakikishe CCM inango'olewa. Hapo ndipo hayo wanayoyataka yatatekelezwa lakini kwa kuendelea kutumiwa na ccm na wao kukubali wategemee maumivu zaidi
 
Kitu cha kusikitisha sasa ni kuwa mashehe na Idd simba wanapoangalia safu ya uongozi iliopo madarakani wanaona Uislam.

Sidhani kama rais angekuwa mkristo kama wangethubutu kuhangaika kwenye vyombo vya habari na kutoa matamko ambayo yanaonyesha upande walioegemea. Kimsingi nashangazwa na wasiwasi wa hao mashehe ambao wanataka watuaminishe kuwa wao ni mabingwa wa amani. Hata rais sidhani kama anawaunga mkono kwa hili.

Kanisa halitafungwa mdomo kamwe na mashehe, daima litasimama kukemea pale inapoona kuwa baadhi ya watu wachache wanatumika vibaya kuvuruga taratibu na sheria zilizopo. Aidha kanisa ulimwenguni pote limekua likikemea na kukosoa pale inapona haki haitendeki. Mashehe wanadai kanisa lisijihusishe na siasa! hiki ni kichekesho!!! mbona wao wanajihusisha na siasa na misikiti mingi katika mawaidha yao imekuwa ikipiga kampeni za wazi?

Hapa Arusha kwenyewe misikiti kuliendesha vikao visivyoisha wakati wa kura za maoni kuhakikisha dk Buriani anapata ubunge wa Arusha? Kwa wasiojua hili ndio tatizo lilipotokea!! kila mtu alijua hili na juhudi kubwa ilifanyika lakini haikuwezekana. Nashangaa mashehe wa Tanzania wanapojaribu kufundisha wananchi wa Tanzania faida ya kutunza amani, wakati baadhi ya mafundisho yao yanahamasisha katika kudai haki hata kujitoa mhanga ili upate thawabu. Hivyobasi kama mashehe hao dini yao wanauhakika haiwapi fursa ya kujiingiza katika siasa, wabaki misikitini wasihangaike katika vyombo vya habari na kutoa matamko ya kichochezi.

Aidha ni bora watambue kuwa kwa sasa kinachoendelea ni kutatua na kuleta mshikamano uliopotea si kuendeleza na kufukua mambo yaliyopita, hakuna sababu kabisa kupanic kwani serikali ipo makini kwa yote yaliyotokea hivyo hawana sababu ya kukosa usingizi maana amani ya nchi hii haikuletwa na viongozi wa dini tu.
 
waislamu wanatumiwa vibayta na ccm, sheikh kikwete na makamba ndiyo maana ccm kwa shinikizo la sheikh kikwete wakaweka mambo ya dini ya kiislamu ya mihakma ya kadhi kwenye ilani yao
 
Basi Nadhani kwenye katiba mpya tuombe nafasi maalumu za upendeleo bungeni kwa waislamu na nafasi maalum za upendeleo kwa waislamu za Ukuu wa wilaya, ukuu wa mkoa etc.

Kwa maana kama Muislamu mwenzetu JK anateua wakuu wa wilaya ambao ni nyumba ndogo tu! na kuacha waislamu wenzake then tunawatupia lawama maaskofu na wakristo then tunasafari ndefu ya kujikomboa kifikra!

Nadhani mkuu napotoka maana kabla sijawa mwanachama wa JF nilikuwa nina uwezo wa kusoma baadhi ya thread na si zote nakumbuka kuna thread moja ilielezea kuwa "wakristo" wanalalamika kuwa JK ni mdini, mwandishi alitoa maelezo na uthibitisho kuwa JK hana udini na hakuipendelea dini yake. Sasa iweje leo hii uje na wazo la nafasi za kupendelewa kwa waislamu?
 
kwani sheria ya ugaidi ni dhidi ya waislamu?... Mbona waislamu wanajihalisha kuwa wao ni magaidi?

Ni ukweli usiopingika kuwa palio na uislamu pana chuki, visasi, vita, maandamano hovyohovyo, mauaji, utekaji nyara, kujitolea mhanga....

NASEMA DUNIA BILA UISLAMU INGEKUWA SALAMA SANA TUNGEISHI KM ADAM NA EVA WALIVYOKUWA WAMAISHI PALE BUSTANINI EDENI
 
kupanga ni kuchagua kama ambavyo tumekuwa tukiambiwa na wanasiasa, mi huwa najiuliza kama madrasa zingekuwa shule za msingi au sekondari sidhani kama kungekuwa na hii mijadala leo, ila sasa swala linakuja kwamba wenzetu walichagua ziwe madrasa na sio shule za msingi au sekondari. it is all about priorities.
 
hivyo ndivyo mnavywadanganya waislam, eti marafiki pale tu kwa maslahi yenu. kama mnawapenda kweli mbona mnakataa kuwaruhusu pesa za gov kutumika ktk mahakama ya kadhi? linapokuja swala la fiada yenu eti tanzania moja, likja swala lao nooooo. huu urafiki ni wa kinafiki, hatutaki

Ni kweli. na kesho ukitaka kwenda kuhiji Mecca inabidi utumie pesa za serikali.
 
Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.

UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.

Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.

tunajidhalilisha sana.


Maaskofu, hasa wa katoliki wameshikilia siasa za nchi hii. Wameweka mawakala wa kanisa karibu ktk kila idara. Hata kama Rais atakuwa muislamu, hawezi kubadili MFUMO KRISTO ndani ya miaka 5 au 10. Ninacho shukuru ni kuwa sasa waislamu wanajitambua. Na kujitambua ni hatua moja kubwa sana kuelekea ukombozi. Kama wewe ni mtumwa na hujajitambua kuwa ni mtumwa hakika, huwezi kujikomboa.

Kwa wale wanaosema waislamu hawajasoma, hao wanaangalia historia tu. Ni kweli wakristo wengi sana wamesoma kuliko waislamu, lakini ukweli ni huu MUISLAMU MMOJA ALIYESOMA VEMA (ANAEUJUA UISLAMU WAKE na Mwenye hii elimu ya kizungu"Formal"), huwa ana uwezo wa kujenga hoja nzito kuliko wakristo 10. Tunakuja, ukombozi wetu umekaribia. Keki hii ya taifa letu, tutakula wote
 
Haya ndio matatizo ya kukaa cku zima wakicheza bao na drafti mpaka vinawafanya kuwa na upeo mdogo wa kufikiria. Ila wataongea sana bila kujijua wanatumika
 
Jamani , kulalamikaaaaa kutwa, ingekua Rais Mkristo wangesema wanaonewa, adui wetu waislamu ni waislamu wenyewe, Tunajilaum kwa mambo yaliyo ndani yetu. TUNAOGOPA VISIVYO OGOPESHA.

UKITAKA KUJUA SISI NA MASHEHE WETU TUNAJIDHALILISHA ANGALIA MATAMKO YETU, Yamepwaya, hayana uzito wala mantiki, Maaskofu wakikemea Jambo, Mashehe wanakuja kujibu, ahaaaah kinyaa kabisa, Maaskofu wanawapuuza mashehe, kwakua wanaonekana ni watu wasio na ufahamu, uelewa na wala elimu katika maisha ya kawaida.

Soma hiyo thread juu, ni ujinga unaoweza kuukuta ndani ya Gazeti la Annuur na redio Imani sijui ya kule Morogoro.

tunajidhalilisha sana.

Mkuu! Umezungumza suala la msingi sana ..........nina maana untoa comments objectively . Lazima tuwe na mtazamo kama huu ndio tutamaliza matatizo yetu..... kama tuna fikiri mchawi wa matatizo yetu ni ukristo na then tumefikia UKOMO wa FIKRA na mawazo mgando.... ni sawa na mtu aliye jikwaaa kwenye kisiki asubuhi then .... then anasimama na kukilaani mpaka jioni na asubuhi anawahi tena kwenda kuendeleza laana zake. Si wakristo walio tufanya tupeleke watoto madrasa badala ya shule , tukubali hapo tulishindwa ku-strike balance...... Im not there..!!
 
waislamu wanatumiwa vibayta na ccm, sheikh kikwete na makamba ndiyo maana ccm kwa shinikizo la sheikh kikwete wakaweka mambo ya dini ya kiislamu ya mihakma ya kadhi kwenye ilani yao

Samahani naomba nikurekebishe sema "Bakwata" usiseme "waislam" wanaozungumza kwenye majukwaa ni viongozi wa "bakwata" mostly na sio waislam wote na jumuia zao. Ikiwa utawajumuisha waislam kwa ujumla wao utakuwa huwatendei haki
 
Hivi kile chuo cha Tanesco kilichotolewa bure pale Morogoro ili kuwa Chuo kikuu kinaendeleaje? Maana sijakisikia kikiingia kwenye ushindani wa Elimu ya juu. Au kimegeuzwa matumizi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom