Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

Status
Not open for further replies.
Wakipewa misaada, eti wanapewa tende. Alafu wanaona wamepata kitu cha maana sana?!! Shhuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiii

Ukweli ni kuwa mataifa ya kiislamu (mengi ya Wa arabu) ni tajiri sana. Kwa nini hawaleti misaada zaidi ya ujenzi wa misikiti inashangaza. Na pale wanapokuja nchini kwa shughuli za uwekezaji na uwindaji mara nyingi hawawaheshimu waafrika kwani wanaona ni watu wa daraja la pili. Angalia kule Sudan (hata walipo waislamu weusi wanadhalilishwa).
 
I wonder baada ya say miaka 300 historia ya nchi yetu itakuwaje, maana kama mambo yaliyotokea miaka kumi, ishirini, thelathini na ambayo wengi wetu tulikuwepo yanapindishwa makusudi. Sijui baada ya miaka hiyo 300.
 
Siku zote nilikuwa naliangalia suala la udini kwa kulipuuza. Sijawahi kuamini kwamba ni kitu cha kuangalia kwa makini. Mimi ni mkristo, sijawahi kufundishwa kumchukia muislamu, kuchukia uislamu wala kuupenda ukristo zaidi ya dini nyingine yoyote. Nimeshtuka sana niliposoma hilo tamko. Siamini kwamba tamko kama hilo linaweza kutolewa halafu hakuna kiongozi yeyote wa serikali aliyelizungumzia.

Nataabika na mawazo. Nashindwa kuelewa kwamba tamko hilo halina maana yoyote hivyo limepuuziwa au yaliyosemwa yamekubaliwa.

Vyovyote itakavyokuwa huu udini na dhana ya waislamu kuonewa itatuharibia nchi. Itatuharibia sana. Nimetafakari maneno kama wakristo wamestarehe kwa miaka 50 nikalazimika kumfikiria mama yangu mzazi kule kijijini. Nikafikiria ni starehe gani amepata. Nikajifikiria mwenyewe nikajilinganisha na watoto wa kina Idrissa Rashid, Rashid Kawawa, Jakaya Kikwete, Julius Nyerere, Edward Lowassa, Alihassan Mwinyi, Abeid Karume na wengineo wengi......nikaangalia nafasi ya ukristo wangu sikuiona! Natambua suala hili kuna watu wanaliangalia kwa ujumla na si kwa mmoja mmoja. Lakini bado nabaki kushangaa.

Huo upendeleo uko kwenye nini? Na wakati unafanyika viongozi waislamu wako wapi? Sasa hivi wako wapi kutetea waislamu wenzao? Zimewekwa picha za kamati kuu, hakuna aliyebisha! Mkuu wa usalama wa Taifa ni muislamu, haoni haya manyanyaso? Raisi je? Makamu wa Raisi haoni? Aliyepita haoni? Hawana upeo walio nao hao waliotoa tamko?

Nasita kulichambua tamko. Lakini kwa yeyote aliyeandika hakuwa na nia njema. Tamko hilo haliwakilishi mawazo ya waislamu hata robo! Ni tamko lililoandaliwa na watu wenye maslahi yao binafsi au watu wasio na uelewa mkubwa.

Hizo haki wanazozungumzia wameshindwa kupata wakati huu ambao Raisi, Makamu wa Raisi, Jaji Mkuu, Raisi wa Zanzibar, Makamu wa Raisi wote wawili wa Zanzibar, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Katibu Mkuu wa CCM Taifa ni waislamu zitapatikana vipi ikiwa tofauti? Kama sio kuandaa mazingira ya baadae kuleta vurugu kwa kisingizio cha kuonewa?

Wote walioandaa tamko hilo si watu wenye kututakia mema. Mawazo na mapendekezo waliyotoa ni kuudhalilisha uislamu na viongozi wake. Naamini kabisa kwamba uislamu ni dini bora na ina mafundisho mazuri lakini wachache kwa maslahi yao binafsi au kwa uelewa wao finyu wanaamua kupotosha. Hawatafanikiwa kamwe. JK tafadhali, tuondolee hii balaa inayotunyemelea. Tafadhali sana.

Mkuu, wewe umelelewa vizuri, washukuru wazazi wako. Na wapo wakristo wengi sana wenye mtazamo kama wako, wanawapenda waislam na wanaishinao vizuri kabisa.

Ila mkuu wapo wengine wenye chuki dhid ya Uislam sana, maisha yangu yote ya shule nimeliona hili. Nimesoma seminary, nilitake advantage ya jina langu...kwakweli ni kipind nilichojua kuwa Mapadre ndo source ya haya mambo, na watoto walio soma Seminary, wengi ndio huwa wanajifanya wapo aware na dini, pia huwadharau waislam katika kila jambo.. hata wanapofika university wanaendelea.
 
Nasita kulichambua tamko. Lakini kwa yeyote aliyeandika hakuwa na nia njema. Tamko hilo haliwakilishi mawazo ya waislamu hata robo! Ni tamko lililoandaliwa na watu wenye maslahi yao binafsi au watu wasio na uelewa mkubwa.

Hizo haki wanazozungumzia wameshindwa kupata wakati huu ambao Raisi, Makamu wa Raisi, Jaji Mkuu, Raisi wa Zanzibar, Makamu wa Raisi wote wawili wa Zanzibar, Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Katibu Mkuu wa CCM Taifa ni waislamu zitapatikana vipi ikiwa tofauti? Kama sio kuandaa mazingira ya baadae kuleta vurugu kwa kisingizio cha kuonewa?

Walioandaa tamko si wajinga hata kidog na wasipuuzwe. Wana yao ajenda. Wanataka kuitumia hii kama wale maharamia wa Somalia wafaanyavyo na meli ili watanzania wakubali kuwapa wanachotaka kama ransom ya amani yetu. Wanataka mahakama ya kadhi si kwa hoja bali kwa nguvu. Wanatumia visingizio vya kila namna na vitisho ili watanzania waseme ebu wape mahakama ya kadhi watulie!!!
 
nimesoma vizuri sana, inatia uchungu sana kuona hali hii. makanisa yanaimarika, nchi inateketea
 
Walioandaa tamko si wajinga hata kidog na wasipuuzwe. Wana yao ajenda. Wanataka kuitumia hii kama wale maharamia wa Somalia wafaanyavyo na meli ili watanzania wakubali kuwapa wanachotaka kama ransom ya amani yetu. Wanataka mahakama ya kadhi si kwa hoja bali kwa nguvu. Wanatumia visingizio vya kila namna na vitisho ili watanzania waseme ebu wape mahakama ya kadhi watulie!!!
lkn wakiristo wa nchi wanaona hii ni nchi yao peke yao, wanahaki miliki na wengine ni wapangaji
 
Topical,

Hiv wewe, hujishangai kila mtu anakupinga hapa Jamvini, hata waislam wenzako tunakupinga kwa hoja zako dhaifu,zilizojaa Fitna,uhasidi,uchochezi,zina expose jinsi brain yako ilivyo shallow sawa na hao mashekh waliotoa huo waraka, hebu hiv mtu kama Prof Abdalah Safari anaweza ku support upuuzi unaoulte hapa ambao ni tamko la VILAZA wachache wanaojiita viongozi wa dini yetu tukufu.

Sikiliza Kaka, uislam sio ujinga kama unayvo ji express wewe, sisi wengine ni waislam,tumesoma, tuna Degree zetu (Mimi ni Engineer),tunafanya kazi zetu,tunapata kipato na tunaendesha Familia zetu,suala la ugumu wa Maisha ya Mtanzania sio la Tatizo letu pekee, ni Tatizo la hata pia wenzetu wa kristo, hebu jiulize,R OSTAM ni muislam safi (anajiita hivyo), lakini unaona matatizo karibu yote tuliyo nayo chanzo ni yeye,hatuwezi kumtetea eti kwa sababu ni muislam mwenzetu.

Kusema kuwa hatuwezi kujadili katiba mpya hadi tupewe haki zetu ni upuuzi kubwa sana,hiyo ni Janja ya CCM kukutumia (Upumbafu wa viongozi wetu) kuuwa moto uliowashwa na Wa Tanzania juu ya kupata katiba mpya..
We eng. sio muslim, ucfanye watu wajinga hapa.
Topical kupingwa ni sawa, kwasababu amesema kinyume na matakwa ya wengi....wewe unajua wengi ni kina nani hapa JF.
Unatudhalilisha Eng... au ndo injinia wa St. Joseph Univ.
 
Niambie ni halali kuchota pesa na kupeleka kwenye miradi ya kanisa? pesa za umma through MoU? kama huo ni wivu mkuu basi sijakusoma!

Mbona nyinyi mnakataa mahakama ya kadhi kulipiwa na serikali si ndiyo wivu au nini? tumeshtuka wala hutishi mtu..every muslimu will know and decide!

Harufu ya U FANATICISM!
 
lkn wakiristo wa nchi wanaona hii ni nchi yao peke yao, wanahaki miliki na wengine ni wapangaji
Akili yako ina tatizo. Ulifanya interview ukanyimwa kazi? Ulienda kununua kitu sokoni wakakunyima? Ulikuwa na shamba ukanyang'anywa?

Mi nimeshawazoea walalamikaji type yako! Ndio zenu kulalamika...keep complaining!!
 
Wacha wakejeli tu hili tamko. Nilichofanya ni kuli save kwenye hard disk yangu kisha kuli-email kwa watu wengi niwezavyo, maana najua hii mada haita dumu itafungwa tu. From there tutapita nyumba kwa nyumba tukieleza dhambi hizi wanazofanyiwa waislamu ndani ya nchi yao.

Hili litafanyika contonously kama lilivyoasisiwa na jumuia ya Warsha ya Waandihi wa kiislamu miaka ileeeee ya mwanzoni mwa 80's. Lengo ni vizazi vijavyo vijue dhulma hii na viamue juu ya mustaqbali wa maisha yao katika nchi hii inayodaiwa ni huru.

Wewe ndio yule sheikh Yahya mnajim aliyesema atakaempinga JK atakufa au?
Teheteheee, kweli ndugu zangu mna kazi tena sio ya kawaida, eti kuwalalamikia wakristo kuwa chanzo cha matatizo yenu, pambana na maisha sio unalaumu wengine, wenzenu wanasonga nyie mnalalamika hadi lini? Aiseeeee,, huu waraka unatia aibu kwa waislam.
 
Maneno mengi. Ngoja tuone. Maneno mengi. Ngoja tuone.
 
Kisha niende dini gani? upagani? acha kudharau imani ya mtu kaka hapa tunafahamishana kwa lugha nyepesi kuwa wapo waislam wa kweli ila waliowekwa mfano "bakwatwa" wapo kimaslahi zaidi sijaamanisha kuwa uislam unaniboa hutaniboa na nitakufa nikiwa Muislamu Insha'Allah.
Shossi muda mfupi ulinidai facts kuwa hapa jamvini watu wamekuwa wanalalamikia maaskofu kwa matamko yao dhidi. Umenitaka nilete hizo posts ili zijadiliwe nadhani sasa umepata za kutosha katika thread hii!!
 
Walioandaa tamko si wajinga hata kidog na wasipuuzwe. Wana yao ajenda. Wanataka kuitumia hii kama wale maharamia wa Somalia wafaanyavyo na meli ili watanzania wakubali kuwapa wanachotaka kama ransom ya amani yetu. Wanataka mahakama ya kadhi si kwa hoja bali kwa nguvu. Wanatumia visingizio vya kila namna na vitisho ili watanzania waseme ebu wape mahakama ya kadhi watulie!!!

Nimejaribu kufuatilia comments zako bwana Omulangi, katika hili na nimegundua wewe ni Mlengwa haswa, either ni Askofu au Unafanya kaz kanisani.

Sasa basi, huko nyuma ulishakubali kuwa kweli serikali inasaidia kanisa katika mirad yake ya kuisaidia jamii,
Swali langu: Hizo centres mnazoziita za watoto yatima, mnawalea pia na waislam ? na kama ndio, mnawalea waujue uislam wao? au ni katika mbinu za kutanuka kidini? Kumbukeni mnatumia pesa ya serikali, ambayo ni kodi ya watanzania wote. Waislam wana haki walalamike.

Ukiacha hizo centres za yatima, mnaposaidiwa katika mirad ya shule, je wanaosoma hizo shule ni equal number of muslms & chrstns? au chrstn>muslms? la pili ndio jibu and supposed to be that way, na waislam kamwe hawawez jivunia hzo shule kwan si zao ingawaje umekili kuwa serikali inacontribute. Narudia tena waachen waislam, walalamike sasa, miaka 50 ya kuish katika dhiki ni Mingi sana, huku nyinyi mkineemeka.

Mwisho, Mtakatifu Nyerere(kwa Mujibu wa kanisa) ndiye aliyeasis haya mambo, hapo ndio nachallenge uwezo wake wa kufiri, alidhan hili litadumu milele? Yeye ndiye wa kubeba lawama katika hili, hatukatai kuna mazuri amefanya, alivunja kabisa ukabila.....ila sasa katuachia fukuto la Udini..lanatullah!
 
lkn wakiristo wa nchi wanaona hii ni nchi yao peke yao, wanahaki miliki na wengine ni wapangaji

Hii nchi si ya wakristo wala waislamu ni ya watanzania. Kitu kibaya ni watu wanapotaka kutumia vitisho ili wapewe wanachotaka huku makundi mengine yenye haki na nafasi sawa na wao yakitetemeshwa na kuzibwa midomo kwa viitisho. Napenda ujue kuwa si waislamu pekee wanaweza kupigana. Mara nyingine watu huanzisha ugomvi bila kujua upande wa pili nao waweza kujihami.

Uliza historia ya Lebanon, pale Hizbollah walifikiri wakristo ni waoga wa vita. Lakini ukweli ulikuja onekana ni kinyume. Kila mtu yuko tayari kuifia dini yake. Ndiyo maana vitisho si vizuri bora watu wasikilizane kwa hoja
 
Nimejaribu kufuatilia comments zako bwana Omulangi, katika hili na nimegundua wewe ni Mlengwa haswa, either ni Askofu au Unafanya kaz kanisani.
Sasa basi, huko nyuma ulishakubali kuwa kweli serikali inasaidia kanisa katika mirad yake ya kuisaidia jamii,
Swali langu: Hizo centres mnazoziita za watoto yatima, mnawalea pia na waislam ? na kama ndio, mnawalea waujue uislam wao? au ni katika mbinu za kutanuka kidini? Kumbukeni mnatumia pesa ya serikali, ambayo ni kodi ya watanzania wote. Waislam wana haki walalamike.

Ukiacha hizo centres za yatima, mnaposaidiwa katika mirad ya shule, je wanaosoma hizo shule ni equal number of muslms & chrstns? au chrstn>muslms? la pili ndio jibu and supposed to be that way, na waislam kamwe hawawez jivunia hzo shule kwan si zao ingawaje umekili kuwa serikali inacontribute. Narudia tena waachen waislam, walalamike sasa, miaka 50 ya kuish katika dhiki ni Mingi sana, huku nyinyi mkineemeka.

Mwisho, Mtakatifu Nyerere(kwa Mujibu wa kanisa) ndiye aliyeasis haya mambo, hapo ndio nachallenge uwezo wake wa kufiri, alidhan hili litadumu milele? Yeye ndiye wa kubeba lawama katika hili, hatukatai kuna mazuri amefanya, alivunja kabisa ukabila.....ila sasa katuachia fukuto la Udini..lanatullah!

Huduma zinazotolewa na makanisa zimewasaidia sana waislamu. Kama unafikiri ni uongo mwulize jk amepata wapi elimu iliyomwezesha kuongoza taifa akiwa mwislamu. Mahospitali ya ngazi zote ya kanisa yanawasaidia wakristo na waislamu bila ubaguzi.

Ni ukweli kuwa ukimpa mkristo akufundishie mwislamu habari ya imani atamweleza uislamu kwa perspective ya kikristo. Hii ni common sense. Nina watoto wakristo ambao kutokana na kusoma shule za waislamu wanaimba kaswida na wanajua adhana. Mimi mwenyewe wajomba zangu wengi ni waislamu na wakati wa Idd sote tulienda huko kula siku kuu. Hivyo tungeimba nao kaswida na kufuatana nao misikitini.

Huu ndio ukweli.

Siku hizi kuna vituo vingi vya watoto yatima vinaendeshwa na taasisi za kiislamu. angalia vizuri hata katika luniga wote wanavalishwa hijabb.
 
Kisha niende dini gani? upagani? acha kudharau imani ya mtu kaka hapa tunafahamishana kwa lugha nyepesi kuwa wapo waislam wa kweli ila waliowekwa mfano "bakwatwa" wapo kimaslahi zaidi sijaamanisha kuwa uislam unaniboa hutaniboa na nitakufa nikiwa Muislamu Insha'Allah.

Totally agree with you Mkuu! you have made my evening. Mambo ya imani na dini ya mtu sio jambo la kupuuzia na kuzarau. Something always strikes my head ni kuona baadhi ya binadamu kutoheshimu imani ya wenzao. Watu wanaweka dini mbele mahala pasipohitajika, ni kwa nini watu wasiheshimu kile ambacho mwengine anapractice?

Nadhani there is an urgency in Tanzania to educate our youngsters in the mainstream schools about respecting others beliefs, to avoid ignorance and fanaticism among different religious groups in Tz maana kuna dalili za huko tunakoenda kukawa kunatisha.
 
Hii nchi si ya wakristo wala waislamu ni ya watanzania. Kitu kibaya ni watu wanapotaka kutumia vitisho ili wapewe wanachotaka huku makundi mengine yenye haki na nafasi sawa na wao yakitetemeshwa na kuzibwa midomo kwa viitisho. Napenda ujue kuwa si waislamu pekee wanaweza kupigana. Mara nyingine watu huanzisha ugomvi bila kujua upande wa pili nao waweza kujihami.

Uliza historia ya Lebanon, pale Hizbollah walifikiri wakristo ni waoga wa vita. Lakini ukweli ulikuja onekana ni kinyume. Kila mtu yuko tayari kuifia dini yake. Ndiyo maana vitisho si vizuri bora watu wasikilizane kwa hoja

Mshaanza kumbwera eeh?
Napenda kurudia hii part tena na tena:
Anayedhulumiwa ni mtu anayeteseka. Asipopambana na huyo dhalimu, yeye ataendelea kuteseka wakati dhalimu anastarehe kwa amani. Akiamua kupambana, wote yeye na dhalimu watateseka- Nyerere

Waislam walio wengi wameendelea kuteseka na maisha kwa miaka mingi, huku wakiwa tayari wamekosa fursa za kielem kwasababu zilizoelezwa kwenye waraka, mbaya zaid wakristo sasa wanawacheka kwa dhiki waliyo nayo huku wakijiona wao ndio wanastahili raha zote walizo nazo leo.
Basi wataamua kupambana na dhalimu, ili japo wateseke wote.

Huyu nyerere was sometimes clever, sometimes zero. alitoa hiyo kauli mwenyewe, halafu akawanyima waislam fursa za maendeleo, hakujua kuwa atawasababishia maisha magumu na baadae wakaamua kudai haki zao na statement yake kuwa VALID?
 
TAMKO LA WAISLAMU DHIDI YA KAULI ZA MAASKOFU
Kufuatia kauli hiyo Waislamu watatu wa Muhimbili ambao ni Waislamu akiwemo Profesa wa Micro-Biology walitiwa mbaroni.
WABILLAHI TAWFIQ

Duh, kaazi kweli kweli !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom