Topical,
Hiv wewe, hujishangai kila mtu anakupinga hapa Jamvini, hata waislam wenzako tunakupinga kwa hoja zako dhaifu,zilizojaa Fitna,uhasidi,uchochezi,zina expose jinsi brain yako ilivyo shallow sawa na hao mashekh waliotoa huo waraka, hebu hiv mtu kama Prof Abdalah Safari anaweza ku support upuuzi unaoulte hapa ambao ni tamko la VILAZA wachache wanaojiita viongozi wa dini yetu tukufu.
Sikiliza Kaka, uislam sio ujinga kama unayvo ji express wewe, sisi wengine ni waislam,tumesoma, tuna Degree zetu (Mimi ni Engineer),tunafanya kazi zetu,tunapata kipato na tunaendesha Familia zetu,suala la ugumu wa Maisha ya Mtanzania sio la Tatizo letu pekee, ni Tatizo la hata pia wenzetu wa kristo, hebu jiulize,R OSTAM ni muislam safi (anajiita hivyo), lakini unaona matatizo karibu yote tuliyo nayo chanzo ni yeye,hatuwezi kumtetea eti kwa sababu ni muislam mwenzetu.
Kusema kuwa hatuwezi kujadili katiba mpya hadi tupewe haki zetu ni upuuzi kubwa sana,hiyo ni Janja ya CCM kukutumia (Upumbafu wa viongozi wetu) kuuwa moto uliowashwa na Wa Tanzania juu ya kupata katiba mpya..