Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Kuna tajir mmoja hapo Mo kilamwisho Wa mwaka alikuwa lazima afanye sherehe kubwa home kwake
Kiingilio chako ni lazima unawe mikono na Maji utakayo yakuta pale getini pamoja na juice usipo fanya hivyo huwez kuingia
Na watu walikuwa wanamiminika balaaa
Ila waganga washenzi sana,unaweza kuta aliambiwa wakimaliza kunawa anakunya kutwa mara tatu,mamikono ya gereji,watoto wa mtaani,wachafu wa mjini wote tumboni dadeki,ndo maana magonjwa ya ajabu ajabu hayawaishi
 
Kulikuwa na mama njuguna alikuwa anauza wochimale sijui kama bado yupo?
 
Kuna yule jamaa wa pale moshi karibu na stendi anayejenga ghorofa kwa awamu na ana mgahawa mkubwa kwa pembeni ni nani? Na buffalo je? Bila kumsahau huyu mwenye Aquline hotel Arusha,wazee wengi wa kichaga waliupatia utajiri kenya,sikujua kenya kuna siri gani ila ndo naanza kung'amua
Walikwepa kodi hao...mali za magendo ziliwapa utajiri mkubwa...
 
Back
Top Bottom