Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Vp msimamo wa wanyarwanda kuhusu mchungaji mtikila?unafanana na huyu mtu anayejiita mnyarwanda mchambawima1
 
Last edited by a moderator:
maswali yote sijaona logic ya kuoanisha Na unachokiwaza. kama Mwalimu wako wa driving school alikuambia gari kuacha njia lazima tyre lipasuke naomba urudi chuo kingine ukalisiti driving. muda wa ajali na picha nalo sio ksb kama ajali imetokea saa kumi na moja unataka kutuambia kuwa ilikuwa lazima kuwa watu wa kwanza kufika eneo la tukio wasisaidie majeruhi wapige picha kwanza na kuzituma kwenye mitandao na hata kama hawakuwa na camera. mwisho daktari wako alikuambia kuwa kifo cha ajali ya gari lazima uwe na external wound na nguo zichanikane kana kwamba ilikuwa vita . ya mungu mengi .

Achana nae huyo ana supp ya driving.
 
...upuuzi mtupu; hayo maswali yako muulize Mungu, kenge wewe..
 
muuluzeni huyo kwenye basi linapo pata ajali si lazima wote wakapatwa na dhoruba
 
Wewe ccm ma.ta.ko kabisa yaani gari kuacha njia kunasababishwa na kitu kimoja tu? Kwa nini hufikrii Dereva kusinzia? Yaani SAA 11 ni usiku kwa maeneo ya mashariki?
 
Embu iangalie tena vizuri hiyo gari , hapo ilipo na ilivyo iko upside down na kwa hiyo ya gari ni lazima itakuwa RHD hivyo inaonyesha kuwa Marehemu ni kama ndy alikuwa dereva wa hiyo kwa maana yuko upande wa kulia wa gari. Mimi ni dereva na ni mzoefu ni hiyo sehemu kwamba mahali hapo kidogo barabara yake haijatulia so ni rahisi sana kwa gari kuacha njia ikiwa dereva ata overdrive au akasinzia - kumbuka ajali imetokea mida ya alfajili.

Naam! Tunaambiwa kila siku na vikosi vyetu vya usalama barabarani hayo maeneo alfajili kuna ukungu na utelezi lakini tunaongeza mwendo. Wanasiasa acheni propaganda tusiliyumbishe taifa.
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Mkuu wewe ni mtu wa Rwanda? Unakubaliana na kauli aliyotoa majuzi marehemu Mtikila Star tv kuwa Watutsi wakiongozwa na Kagame wanataka kumweka mtu wao (Lowassa) ikulu ili kufanikisha mkakati wao wa kujenga ufalme wa Wahima (Hima empire) Afrika mashariki na kati? Na pia mpango huo unahusu kumtibua (destabilize) Nkurunzinza huko Burundi hadi aachie ngazi?
 
Kuhusu picha kuwa wakati wa asubuhi kukiwa peupe inawezekana mpiga picha wa kwanza alipiga muda huo. Lakini pia kwa mwezi huu saa 11:30 alfajiri ni mwanga kabisa, maana majira yamebadilika.

Suala la kujiuliza ni je gari lilikua la nani, dereva kilimsibu nini hadi likapinduka. Kwa kuangalia picha tu hakuwez kukupa jibu. Kifo kinaweza kusababishwa na mshtuko, kuvuja damu ndani kwa ndani na bado mwili ukawa uko kamili lakini pumzi ikakata. Hivyo picha haiwez kukupa jibu.

Je aliyekuwa anaendesha ana undugu na Rev au ni dereva wake au aliomba lift?
 
Mkuu wewe ni mtu wa Rwanda? Unakubaliana na kauli aliyotoa majuzi marehemu Mtikila Star tv kuwa Watutsi wakiongozwa na Kagame wanataka kumweka mtu wao (Lowassa) ikulu ili kufanikisha mkakati wao wa kujenga ufalme wa Wahima (Hima empire) Afrika mashariki na kati? Na pia mpango huo unahusu kumtibua (destabilize) Nkurunzinza huko Burundi hadi aachie ngazi?

Kumbe Alisema hivyo? Hayo ni mambo makubwa saana yenye lengo lisilojulikana AFADHALI AMEKUFA
 
Yule mzee wa kujinyea ni mshirikina sana, huyo mzee wa kunya kwenye nguo ndio amefanya haya yote na kumuua Mtikila. Mara nyingi sana ajali kama hizi huwa ni za kishirikina tu. Mzee wa kujinyea ni hatari sana, lakini mimi simuogopi ng'ooo wala siogopi kufa. Inasemekana hata watu wanaomshabikia wamepumbazwa akili kishirikina.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
RIP Mch. Mtikila.

Mchango Wako Katika Mageuzi Nchini Hautasahaulika Hata Kama Yote Uliyopigania Sio Wote Walikubaliana Nayo
 
Back
Top Bottom