Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Ongezea na je alitokea wapi? nani alifika eneo hilo wa kwanza? uzoefu wa dereva wake? gari ile ilikuwa service lini na wapi? je aliokuwa nao ndiyo hao wa siku zote au walikuwepo wapya? Je alikuwa na mission gani wiki kesho nk

Pima mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Kama gari hujaona kwenye picha imeharibika basi wewe utwambie ndio umemuua.
 
Gari inaonekana kuharibika na taarifa zinasema walikuwa wanne wenzake wameumia na kuwahishwa hospitali TUMBI je hakuna hata majina yao jamani au maelezo kidogo mbona mnatufanya watanzania malofa kiasi hichi.
 
Duh! ............... MAADUI WALIKUWA WANAMFUATILIA KWA NYUMA.......... ALIPOJISHTUKIA AKAONGEZA SPIDI.............. NAO WAKAFURAHI NA KUZIDI KUMFUKUZA! ................... WALIPOFIKA SEHEMU HATARISHI, YENYE KONA NYINGI NYINGI, WALIMUOVATEKI KWA SPIDI KALI NA KUMTWANGA 'LASER BEAM' YA MACHONI ................!
pirate-skull-crossbones-pink-hi.png
 
Ndugu Kizigo, maswali yako mbona hayana msingi ,kama wewe ni dereva basi unajua kuwa kuna kuchoka, usingizi pia hii ndio uleta ajali nyingi sana barabarani, hao watu walikuwa wanasafiri usiku atujui walifanya nini kabla ya safari, walilala usingizi wa kutosha?

Walilewa? Na kufa kwenye ajali sio lazima uupasukepasuke mwili, kuna mshtuko pia unaweza kusababisha mauti, je alifunga mkanda?

Tuache kujiuliza maswali ambayo majibu yake magumu. Tuache vyombo husika vifanye kazi yao tutapata majibu, nini kimesababisha ajali hiyo.

Mungu amuweke mahali pema peponi Marehemu!
 
Kuna mwingine eti kaona kamba shingoni kwa mchungaji.
 
Kwa kuanzia tuchukulie kuwa ni ajali. hakuna sababu ya kuhusisha na siasa kwa sababu hakuwa na impact kubwa. wanaoweza kudhuriwa ni wagombea kwa faida ya siasa. Tuachie kwanza wataalam
 
Wameshaenda Kupeleka Feedback Ya Aliyewatuma Kufanya KILICHOFANYIKA Na Si Ajabu Hata Wao Pia Wakamfuata MCHUNGAJI Leo Jioni au Kesho ILI KUMALIZA USHAHIDI Wa Scenario Nzima. Principles Za KIMAFIA Na KIJASUSI Duniani Kote HAZITOFAUTIANI Sana. King Maker Sasa Hivi KATULIA Tu KIMYA Huku AKIDHANI Kazi IMEKWISHA Wakati Kumbe Ndiyo Kwanza WANAMUME Wameamka Na Kuanzia Leo Hadi Tarehe 24 Ni Shuka Kwa Shuka Na Ngozi Kwa Ngozi Campaign Huku Tarehe 7 WATU Wawili MAARUFU Na Wao WAKIANZA KUFAGIA NJIA Na KUCHAFUA Kule KOTE Walikopita WALIOMTANGULIZA Reverend Alfajiri Ya Leo.

Mmh it alarming in here!
 
Ajali yoyote haihitaji mfanano wa tukio, iwe ya kupinduka au ya kugongwa.
Gari huhitaji dimensions ya ubavuni kupondeka ili kuthibitisha uharibikaji wa gari, maana likipinduka hata mara moja sio gari zima litaharibika.
Mbona hujaquestion kuharibika kwa "buti" la gari???

Kuhusu tai yake, we huoni kwamba ni picha baada ya ajali?? Ulitaka marehemu apigwe picha akiwa katika hali ya umauti wa fedheha??
Je huoni kwamba mpiga picha (yawezekana) alifanya uokozi kwa wahusika wa ajali kwa kuwatoa nje ya gari???
Lakini pia kwa akili ndogo tu, unawezaje kunyongwa huku tai ikiwa UTOSINI???
Haikuingii akilini kwamba, baada ya kuona kuwa mpendwa Mch. Mtikila amefariki huku akiwa "ameacha kinywa/mdomo wazi" waliamua kuzungushia tai ili taya zisikakamae na kumpa sura ya aibu marehemu???

Lakini pia, hujaona kwamba picha Ile imepigwa huku ASKARI POLISI / TRAFFIC OFFICERS wakiwemo?!!
Je hujaona kofia ya traffic kwenye Tairi ya nyuma ya gari ikionekana???
Au traffic naye ni mhusika wa mauaji??!

Lakini hiyo conclusion ya marehemu kukosa pumzi, je kama (mimi sio daktari) marehemu alivunjika shingo wakati wa ajali hiyo, koo la hewa likashindwa kufanya kazi yake, huoni bado hali hiyo ingejitokeza pia??!

Lakini pia, hiyo conclusion ya mti kukatika kisa upo karibu na gari? Muandika hiyo mada alifika eneo la tukio na kuthibitisha IMPACT ya gari kwenye huo mti?! Kwamba ulitaka mti ukatike ili kuonesha kwamba impact ya gari ilikuwa kubwa, vipi kama mizizi ni mirefu na mti ni mgumu??

I highly doubt about THINKING CAPACITY na UCHAMBUZI MAANDAZI wa watu....

Tumuache Mch. Mtikila apumzike kwa Amani
😒😒😒😒😒😒
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Yani uneshindwa kusema i love Rwanda bila kuweka i love Tutsi tribe??hivi nyie ukabila utaendelea kuwatafuna hadi kiyama.
 
I smell shit kuna mtu alikatwa na baraza kuu kwa tabia ya visasi
 
Hakuna mtu unaweza anayemua mtu mwingine, ajali ni ajali tu na ikitokea hata mshutoko tu unaweza kukuondoa. Mungu pia hadhihakiwi. Na usihukumu mtu kwa usilolijua. Binadamu sisi hatuna haki ya kuhukumu wenzetu ila Mungu peke yake. Mwamcheni Mungu aitwe Mungu. RIP Mtikilila
 
Chacha Wangwe
Grace Mbowe
Regia Mtema
Mohammed mtoi
Christopher Mtikila
??????????????? Loading

Google vyanzo vya vifo vya hao niliokutajia utapata majibu ya Maswali yako.

Gwiji la siasa Tanzania Mchungaji wilbroad Slaa. Mwenyezi mungu akulinde ubaki huko huko Marekani ukiendeleza mapambano dhidi ya hawa UPAWA. Huku kamwe usirudi maana Picha la vifo kwa
Ajali
Ndio limeanza na sterling ni Makengeza
Alimuua pia Mwaikusa, Mvungi, Akataka kuwamaliza kina Mwakyembe,
Ulimboka, Kolimba, Kubenea list goes on
 
Back
Top Bottom