Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

Swali muhimu kwako...

Je ulifika eneo la ajari nakuona mazingira ya ajari ikiwa na kuangalia maiti na majeruhi wengine pamoja na gari kabla hujajiuliza hayo maswali?
 
Wameshaenda Kupeleka Feedback Ya Aliyewatuma Kufanya KILICHOFANYIKA Na Si Ajabu Hata Wao Pia Wakamfuata MCHUNGAJI Leo Jioni au Kesho ILI KUMALIZA USHAHIDI Wa Scenario Nzima. Principles Za KIMAFIA Na KIJASUSI Duniani Kote HAZITOFAUTIANI Sana. King Maker Sasa Hivi KATULIA Tu KIMYA Huku AKIDHANI Kazi IMEKWISHA Wakati Kumbe Ndiyo Kwanza WANAMUME Wameamka Na Kuanzia Leo Hadi Tarehe 24 Ni Shuka Kwa Shuka Na Ngozi Kwa Ngozi Campaign Huku Tarehe 7 WATU Wawili MAARUFU Na Wao WAKIANZA KUFAGIA NJIA Na KUCHAFUA Kule KOTE Walikopita WALIOMTANGULIZA Reverend Alfajiri Ya Leo.

Hata uzunguke huku na kule ni kuwa wakati mwingine tunapata adhabu za Mungu kwa kauli zetu wenyewe.
Uchaguzi bado wiki kama tatu hivi, waambie wenzako wapande tena majukwaani na wawaite viumbe wa Mungu maiti tena tuone!
 
Hao wengine aliokuwa nao ndani ya gari ni kina nani?

Majina yao tuyajue pia.

Uchunguzi unaanzia kwa hao hao ambao alikuwa nao kwenye Gari, Kama ni hujuma hao hao kwenye Gari ndio wanajua kila kitu wakibanwa watasema kwa nini walisafiri usiku tena na Gari ndogo pengine dereva atakuwa alisinzia
 
Nipo MAALUM Kuwasaidia WATANZANIA Tena Hasa Wana CCM Ili Mgombea Wao AWE RAIS WENU. Rwanda TUNAMUHITAJI MNO Dr. Magufuli ILI Tushirikiane Nae Vizuri Kimaendeleo Kama Tulivyoshirikiana Na Mzee Wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Bado Wana Rwanda TUNATAKA KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWA CCM Hasa Yale Ya KIMAENDELEO Hasa TUKIAMINI KUWA KIONGOZI WAKE MKUU NA ALIYETUSAIDIA SISI WANYARWANDA HAYATI BABA YENU WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Alikuwa Muasisi Wa CHAMA KIZURI NA MFANO WA KUIGWA AFRIKA NA DUNIANI CHA CCM. Na SISI WANYARWANDA TUTAMPA KILA AINA YA USHIRIKIANO Dr. John Pombe Joseph Magufuli Na TUNAMPENDA Mno.

Pumbavu mnyaruanda kajisaidie mwenyewe huko msaada wako hatuhitaji. Kasaidie wanyaruanda wenzako.
 
Hii gar haikuwa na wheel balance kwajinsi inavyo onekana ni gari ambayo inasifa za kugogwa zaidi ya mara 3 ilishapata ajali jingi kifo ni lazima wala siyo hiyari ila kusafiri na gari kama hiyo yataka uwe fundi na dereva mzee ambaye amezowea kuendesha magari vimeo kama hilo !!
!
Ni kweli lakini ikumbukwe kuwa kifo kikifika huwa hakuna cha kuzuia.
 
Inaonekana wwe una utaaramu na mambo ya ajali labda ungetuambia imekuwaje na sijui swali lako unataka ujibiwe na nani nenda police kibaha utoe ushahidi utakuwa umesaidia.
 
kuna msemo unasema"you see what you want to see",means unakiona unachopenda kukiona,na wewe umeleta mada ukiwa na majibu yako yaliyo egemea upande fulani,kueni jamani,mungu hadhihakiwi,tumuombee mchungaji huko aendako,na tusiwe wepesi wa kufanya shiriki kwani humchukiza sana mungu,nakuombea mleta mada ubadilishe mawazo yako ya kishirikina katika hili....R.I.P Mchungaji wangu Mtikila!

nimependa comment yako mkuu
 
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Ndugu yangu mimi binafsi sijakuelewa!
 
{Eddy}huenda ikawa hujawahi ona ajali katika uhalisia hata kama gari ni jipya litatoa vumbi na kila kilichopo kitakwenda nje, je nyanya na vitunguu alikuwa anakimbia nazo? zipo katika picha pia. Fikiria na kutafakari bwana ameto na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe.

Hahahahaha marehemu alikuwa anakimbia na nyanya.. Ndio uzishangae akili za CCM mkuu
 
Mchungaji Mtikila, mtetezi halisi wa Tanganyika, mtetezi wa Katiba, Mtetezi wa Haki za Binadamu, Mungu akulaze mahala pema peponi na kama kuna mkono wa mtu basi Mungu amuweke wazi hadharani kablka jogoo hajawika. umekuwa ni mpambanaji halisi ambaye ulidiriki kuweka usajili wa chama chako rehani kwa kuitetea Tanganyika.

I salute you.

Ni kweli alikuwa mtetezi.. Ndio maana alikuwa anasainishwa pesa na Rostam Aziz
 
Nipo MAALUM Kuwasaidia WATANZANIA Tena Hasa Wana CCM Ili Mgombea Wao AWE RAIS WENU. Rwanda TUNAMUHITAJI MNO Dr. Magufuli ILI Tushirikiane Nae Vizuri Kimaendeleo Kama Tulivyoshirikiana Na Mzee Wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Bado Wana Rwanda TUNATAKA KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWA CCM Hasa Yale Ya KIMAENDELEO Hasa TUKIAMINI KUWA KIONGOZI WAKE MKUU NA ALIYETUSAIDIA SISI WANYARWANDA HAYATI BABA YENU WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Alikuwa Muasisi Wa CHAMA KIZURI NA MFANO WA KUIGWA AFRIKA NA DUNIANI CHA CCM. Na SISI WANYARWANDA TUTAMPA KILA AINA YA USHIRIKIANO Dr. John Pombe Joseph Magufuli Na TUNAMPENDA Mno.

"Kikweke anipe Bandari ya Dar nitailisha Tanzania miaka yote" PK

"I'll hit him at the right time" PK
 
He never reached his destiny...................nothing is the number when you die and our life is like a blink of an eye
 
Chacha Wangwe
Grace Mbowe
Regia Mtema
Mohammed mtoi
Christopher Mtikila
??????????????? Loading

Google vyanzo vya vifo vya hao niliokutajia utapata majibu ya Maswali yako.

Gwiji la siasa Tanzania Mchungaji wilbroad Slaa. Mwenyezi mungu akulinde ubaki huko huko Marekani ukiendeleza mapambano dhidi ya hawa UPAWA. Huku kamwe usirudi maana Picha la vifo kwa ajali.
 
upande wa dereva ndo umepondeka zaidi Mtikila tu ndo wakufa hapo hapo? uchunguzi ufanyike juu ya hiki kifo hapana kwa kweli hainiingii akilini kabisa

Embu iangalie tena vizuri hiyo gari , hapo ilipo na ilivyo iko upside down na kwa hiyo ya gari ni lazima itakuwa RHD hivyo inaonyesha kuwa Marehemu ni kama ndy alikuwa dereva wa hiyo kwa maana yuko upande wa kulia wa gari. Mimi ni dereva na ni mzoefu ni hiyo sehemu kwamba mahali hapo kidogo barabara yake haijatulia so ni rahisi sana kwa gari kuacha njia ikiwa dereva ata overdrive au akasinzia - kumbuka ajali imetokea mida ya alfajili.
 
Back
Top Bottom