1- Kwenye Bold,
Sema ni wewe ndio unajua sababu ni moja tu ya kupinduka kwa gari ni kupasuka kwa tairi, ila sisi wote tunajua zipo sababu nyingi Zaidi ya hiyo!
-
Dereva kusinzia huku akiendesha, hasa kwa mida kama hiyo!
-
Sterling rod kukatika ukiwa kwenye mwendo kasi, inaweza ikapindua gari!
-
Dereva kuchomekewa na gari linguine, akiwa kwenye mwendo kasi na kumfanya aache barabara!
-
Break kufail akiwa kwenye mwendo kasi na hasa dereva akitaka kusimama ghafla kwa kuona hatari mbele yake, aaweza aka opt aachie barabara!
-
Dereva anaweza akapoteza fahamu, akiwa kwenye mwendo kasi!
2. Kwani Sokoine alipokufa, uliona jeraha lolote mwilini kwake katika picha?
-
Umejiuliza swali lolote juu ya internal bleeding?
-
Kama alipigiza kichwa hadikupoteza fahamu?
3.Chalinze ni kubwa sana, labda wewe unajifikirisha Chalinze mjini tu hufikirii nje hapo! Labda kwanza ukanushe hapo ajali ilipo siyo Chalinze!
-
Mbona kuteswa kwa Dr Ulimboka, picha zake tulizoziona ni za asubuhi na siyo za usiku? Kwa maana hiyo alionwa na wapita njia waliopita mida hiyo......au ulitaka tufikirie kuwa aliletwa na kutupwa pale yeye pamoja gari na hao majeruhi wengine?