ccm mmechanganyikiwa tulizeni akili, pungizeni mihemko. Angalau mtapunguza kipigo kidogo octoba 25. Mmechanganyikiwa sana. Poleni
ndo walichobakiwa nacho
Dah kweli ccm ni wagumu kuelewa kwa kifupi " Mungu hadhihakiwi". Mnajidai mbajua siasa kishenzi pumbavu nyie.
Mtikila alikuwa mbioni kuwaburuza Edward Lowassa na Freeman Mbowe mahakamani. Likiwemo suala la mauaji ya Chacha Wangwe. Mtakumbuka Wangwe naye alikufa kwa staili hiyo hiyo pale alipopingana na Mbowe
chungeni midomo yenu kina nape,jamaa atawamaliza asee,,,miaka 30 anajiandaa kushika madaraka na pesa anazo,mnadhani nini kinamshinda kufanya?....
ulizeni makyembe,siku hizi kashika adabu kwelikweli.....mungu hadhihakiwi
Muuaji wake anajulikana, hivi karibuni amemshambulia sana na akasema hafai kwenda Ikulu. Huyo huyo muuaji ndiye aliyetuma watu kumvamia Humphrey Polepole nyumbani kwake Mbezi beach.
Ugoro wa leo ni mkali...lakini bado naona maluweluwe..sijui ni hili fukuto la El nino tangu juzi sijui!!!!Nipo MAALUM Kuwasaidia WATANZANIA Tena Hasa Wana CCM Ili Mgombea Wao AWE RAIS WENU. Rwanda TUNAMUHITAJI MNO Dr. Magufuli ILI Tushirikiane Nae Vizuri Kimaendeleo Kama Tulivyoshirikiana Na Mzee Wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Bado Wana Rwanda TUNATAKA KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWA CCM Hasa Yale Ya KIMAENDELEO Hasa TUKIAMINI KUWA KIONGOZI WAKE MKUU NA ALIYETUSAIDIA SISI WANYARWANDA HAYATI BABA YENU WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Alikuwa Muasisi Wa CHAMA KIZURI NA MFANO WA KUIGWA AFRIKA NA DUNIANI CHA CCM. Na SISI WANYARWANDA TUTAMPA KILA AINA YA USHIRIKIANO Dr. John Pombe Joseph Magufuli Na TUNAMPENDA Mno.
ALWATAN KIZIGO
Endelea kumdhihaki Mungu tu...... Kwenye suala la kifo unashauriwa kukaa kimya.... Mungu ana kusudi lake kwa alitendalo
hakufunga mkanda na akatupwa nje ya gari akiwa ameshika breaf case yake? Au alikimbizwa kwanza kabla ya kumaliziwa?
duh mbona yupo smart kama ametoka salon, hiyo ajali kweli?
Dah kweli ccm ni wagumu kuelewa kwa kifupi " Mungu hadhihakiwi". Mnajidai mbajua siasa kishenzi pumbavu nyie.
1:si kila gari inayoacha njia basi sababu iwe kupasuka tairi.usiishi kwa kukariri.mf dereva anaweza kusinzia akiendesha kisha akaenda pembeni lakini akashtuka na kuiirudisha gari barabara kuu kwa ghafla,hapo lazima iache njia. 2:jibu unalo .mshtuko3:eneo halisi ni msolwa ,simu zinatofautiana uwezo.mwisho usihukumu uhai wa mwenzio au afya yake.mwache MUNGU AITWE MUNGU
Chacha Wangwe
Grace Mbowe
Regia Mtema
Mohammed mtoi
Christopher Mtikila
??????????????? Loading
Google vyanzo vya vifo vya hao niliokutajia utapata majibu ya Maswali yako.
Gwiji la siasa Tanzania Mchungaji wilbroad Slaa. Mwenyezi mungu akulinde ubaki huko huko Marekani ukiendeleza mapambano dhidi ya hawa UPAWA. Huku kamwe usirudi maana Picha la vifo kwa
Ajali
Ndio limeanza na sterling ni Makengeza
Mmeanza Swine! Watanzania Fanyeni Mambo Yenu Na Iacheni Rwanda Na Maisha Yake. IKIGUSWA Tu Nchi Ya Rwanda Gentamycine SITANYAMAZA Na Hali Ya Hewa ITACHAFUKA Humu. Mtuache WANYARWANDA TUPAMBANE NA MAISHA YETU KWANI GENOCIDE Ya 1994 IMETURUDISHA MNO NYUMA ILA Tunashukuru Mwenyezi Mungu SASA KIONGOZI Wetu Mwenye HAIBA Kama Za Dr. Magufuli KIPENZI Changu His Excellency President Paul Kagame ANAIRUDISHA Rwanda Ktk Economic and Development Map. I Love Rwanda, I Love Paul Kagame, I Love Tutsi Tribe And I Love Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Nyongeza ya swali la 3 eneo la ajali liko mita chache kutoka kituo cha Mafuta cha Msolwa, ni ngumu kidogo.